Sijapenda Rais Putin kuruhusu usafirishaji chakula kutoka bandari za Ukraine

Sijapenda Rais Putin kuruhusu usafirishaji chakula kutoka bandari za Ukraine

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri Russia kudondosha kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
 
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
Ndo akili zako za ma**Ko zilipoishia...upo zako buza ushashiba wali wako wa amira unaombea ujinga
 
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
Sasa vipi,mbona maelezo na kichwa cha habari mbali mbali.
 
Acha tuonyeshe dunia kuwa Urusi ni nchi ya huruma sana, sasa ingelikua nchi ile acha kuzuia chakula hata maradhi ya ajabu wangelisambaza kwa jamii, hii operation ya Urusi tunajifunza mambo mengi sana miongoni ni kuwa Urusi sio nchi katili kama tunavyoaminishwa

Kila wanachokifanya Russia huwaga kishapitishwa na vichwa vyenye akili nyingi
 
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
Urusi ni muungwana sana,anaelewa watakao angaika na njaa hawana hatia!
 
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri Russia kudondosha kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
Wewe utakuwa mchawi hata km hujawahi kuroga au kumchawia mtu, maana sio kwa roho mbaya hiyo.
 
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri Russia kudondosha kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
nyiny ndio Makonda alikuwa anawatafuta , mna dalili za ushoga , uvamiwe hlf ukubali tu , tabia za kike
 
Acha tuonyeshe dunia kuwa Urusi ni nchi ya huruma sana, sasa ingelikua nchi ile acha kuzuia chakula hata maradhi ya ajabu wangelisambaza kwa jamii, hii operation ya Urusi tunajifunza mambo mengi sana miongoni ni kuwa Urusi sio nchi katili kama tunavyoaminishwa

Kila wanachokifanya Russia huwaga kishapitishwa na vichwa vyenye akili nyingi
hiyo nchi imefanya peace operation nying ila umewai sikia inshu za njaa?
 
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri Russia kudondosha kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
Hii inaweza kuwa ndiyo sentensi moja ndefu kuliko zote Duniani,inapaswa iingie kwenye Guiness record.
 
Back
Top Bottom