Sijapenda Rais Putin kuruhusu usafirishaji chakula kutoka bandari za Ukraine

Sijapenda Rais Putin kuruhusu usafirishaji chakula kutoka bandari za Ukraine

Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri Russia kudondosha kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
Hapo tuseme ze comedian kaingizwa nyavuni na mabeberu wa ulaya na America 🏃
 
ulitaka Ukraine hakae kimya baada ya kuvamiwa ?
Mtu aje nyumbani kwako aseme ni kwake utaweza kumuachia?
 
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri Russia kudondosha kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
Duuu we jamaa,yaani Iddi amini amevamia Tanzania halafu tujikalie kimya,Kwa mawazo yako huwezi kutetea familia yako ikivamiwa utajikalia kimya.
 
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri Russia kudondosha kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
Vita hii si sawa tu na Ile support ya SYRIA na nchi zingine anazotoa sasa anakataje pumzi
 
Putin nae anatukosea Sana ss warusi weusi,huruma zake zinatukosea sana,hiyo misos ilikuwa ni siraha yetu nyingine .najua tunajiamini ,Ila apunguze huruma !!anatukosea Sana ss warusi weusi[emoji16].

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila bado hajaruhusu ametoa sharti maandalizi ya kuandaa mazingira salama ikiwa ni pamoja na kuondosha mitego ya mabomu kwenye njia ya bahari na bandari ifanywe na jeshi lake na pia kabla ya ruhusa ya kusafirisha nafaka alizoshikilia mateka mabeberu wa ulaya na marekani wawetayari kumwondolea vikwazo uchwara 🚶
 
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua kujikalia kimya kwenye majumba yao na siyo kutunisha misuli na misuli hawana wanategemea support ya watu flani anayekupa support anaweka masharti yatakayo mnufaisha yeye hivyo usitegemee apende vita kwisha kwa kitendo Cha wao nao kukosa huduma za chakula wangetoa ushawishi wa Vita kumalizika kwa sasa wasitegemee mrusi ataishiwa pumzi kwani hata akiishiwa pumzi atapata support turejee Vita ya dunia ilikoma baada ya kitu kizito kudondoshwa Kama Mambo yatakwenda hivyo tusubiri Russia kudondosha kitu kizito baada ya pumzi na support kuisha kwa Russia.
Kama wewe ni mtanzania basi taifa limepata mtu muog, pushover, greenhorn na mpuuzi ambae anatukuza unyonye, si ajabu ndio maana aliwahi kutokea mtu akazuia watu wasije mjini bila kuoga
 
Back
Top Bottom