Hamna gari pale.Asante sana nimeona utofauti gari nyepesi kwenye kukata kona sio ya kuamini yaweza binuka anytime. Na watu wanavyoipenda sasa sijuhi kama wanafahamu hili au ubishi tu ila wanajua?
Hahahahahah kwenye kona lazima wanyunyuzie 🤣 wakikuiga wameishaSedan acha mkuu, juzi nimekuta vanguard na Harrier wanasumbua nikawapita kwemye kona moja nadhani hawakuamini walichokiona, na nilisubri kwemye hizo kona ili wasinicheleweshe.
Mtu wa mbio mbio naona lilimfurahisha sana kwenye kuchapa lami.Ukipata isio na headache hutatamani kitu kingine. Iwe 3.0sdv6 amazing
Umeongea ukweli.. Tanzania kwa usalama wako na watumiaji wengine wa barabara haitakuwa uzidishe 80 nje ya mji na Dar hutakiwi uzidi 60
Premio ana ndugu yake anaitwa Avensis...Premio ya 1.8L ingemkalisha huyo pimbi wa CVT labda kama ilikuwa engine ndogo
Avensis ni chuma kweli.Premio ana ndugu yake anaitwa Avensis...
Ukipata ya 2.0L gari nzito kama mjerumani.
Mjerumani ninayo mkuu ndio nazipendaSiku kuiendesha Mjerumani hutotamani kuendesha mjapan wowote
Mzuka tu.Huyu wa premio alikua amemtangulia mwenzake hii barabara ya moro-dar jioni ilikua kidogo watupane kwenye mitaro. Sijui hua wanapata flavor gani kuwekeana ligi barabarani vijana
Ni hatari sanaMzuka tu.
Yeah ajali nje nje maana hawatumii tena akili ni mihemko tuNi hatari sana
Mie kuna siku nimepitwa na BMW X3 aisee jamaa alipita kama kishada shaaaa!![emoji1787][emoji1787] Nikasema what? Hapo niko 100km/H tena ni kwenye ile miteremko ya Kitonga mbele mbele huko nikajisemea acha aende tu safari ni safari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sedan acha mkuu, juzi nimekuta vanguard na Harrier wanasumbua nikawapita kwemye kona moja nadhani hawakuamini walichokiona, na nilisubri kwemye hizo kona ili wasinicheleweshe.
Kuna watu machizi unawaacha waende tuMie kuna siku nimepitwa na BMW X3 aisee jamaa alipita kama kishada shaaaa!![emoji1787][emoji1787] Nikasema what? Hapo niko 100km/H tena ni kwenye ile miteremko ya Kitonga mbele mbele huko nikajisemea acha aende tu safari ni safari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sure yule jamaa ni mbishi aisee sio poa kwa namna alivyonikata ni kama alikua ananivimbia mie niko na SUV yeye Sedan ila hiyo speed aisee hatari kubwaKuna watu machizi unawaacha waende tu
Kuna muda flani ukitulia kwenye uskani hutaki kuona gari mbele 🤣🤣🤣 au kama kuna mjinga anakuwekea usiku haeleweki unamchapa tuMzuka tu.
Jamaa anaringia German machine. Hio moment ishanikuta na mwana aliekuwa na Vanguard huwa wanatembea sana highwaySure yule jamaa ni mbishi aisee sio poa kwa namna alivyonikata ni kama alikua ananivimbia mie niko na SUV yeye Sedan ila hiyo speed aisee hatari kubwa
Uongo uliotukuka! Tafta Lexus hata GS tu ya 2013, kisha rudi usome hiki ulichoandika.Siku kuiendesha Mjerumani hutotamani kuendesha mjapan wowote
Jamaa wanamwaga moto vibaya mno.Jamaa anaringia German machine. Hio moment ishanikuta na mwana aliekuwa na Vanguard huwa wanatembea sana highway
Nilifuatilia kunani ila nilipogundua vanguard na kilitime zina gear 7 nikawa nishaelewaJamaa wanamwaga moto vibaya mno.