CIA mgumu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2022
- 962
- 1,934
Hahahhaha ๐ ๐ ๐ ekari 4 zipo pale mtumba nazipigia hesabu kabla ya ccm hawajaniporaSiwezi kukopa ninunue gari no.
Bora isiwepo au nisubiri.
Ufahari wa kukopa siutaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhaha ๐ ๐ ๐ ekari 4 zipo pale mtumba nazipigia hesabu kabla ya ccm hawajaniporaSiwezi kukopa ninunue gari no.
Bora isiwepo au nisubiri.
Ufahari wa kukopa siutaki
Utakuwa falla wa karne hii.Hahahhaha ๐ ๐ ๐ ekari 4 zipo pale mtumba nazipigia hesabu kabla ya ccm hawajanipora
๐๐๐๐๐๐ Umeielewa sana ile chuma?Mkuu nawiwa mno kuwa na Discover 4 hivi ila liwe na km japo 20 elfu tu
Sio fala kivile ni vile idodomia sijawahi kuwaza kuishi mihekari ipo mingi tu tulijipimia kwa urefu wa kamba zetuUtakuwa falla wa karne hii.
Ardhi ni kila kitu ina aprishieti kila siku lkn gari ina diprishieti kila uchao from day one
Acha kabisaa mkuu niliazimwa siku moja dar to Iringa looh nilihisi nipo peponi๐๐๐๐๐๐ Umeielewa sana ile chuma?
Siku za usoni zitalipa sana dogo.Sio fala kivile ni vile idodomia sijawahi kuwaza kuishi mihekari ipo mingi tu tulijipimia kwa urefu wa kamba zetu
Eneo moja pale karibu na shule ya vipofu njia panda Chamwino huko ndio nitaweka frem au apartment kadhaa hivi ila kwingine napiga mnada nisijeporwa na wahuni wa kijani aisee maana tayari moja liliponea chupu chupu isingekuwa mzee wa kazi chafu ningekomaSiku za usoni zitalipa sana dogo.
Au ukiuza ubadili tu na kitu ya maana sio gari
Tena upate LC 200๐ข๐ข๐ข๐ขGari makini za Toyota ni land cruiser types basi ,hayo mengine ni matakataka
Wewe uza tu hata ukitumia kuoa mtoto mweupe wa kinyaturuu ni wewe tu baba๐คฃEneo moja pale karibu na shule ya vipofu njia panda Chamwino huko ndio nitaweka frem au apartment kadhaa hivi ila kwingine napiga mnada nisijeporwa na wahuni wa kijani aisee maana tayari moja liliponea chupu chupu isingekuwa mzee wa kazi chafu ningekoma
Advantage nyngne ya suv n kwamba wakat unaingia kwny gari Unainua mguu juu yaan unainuka hv juu. Lakn hz sedan akina crown athlete na wenzake ukiwa unaingia kwny gari, unainamisha mgongo na shngo kama vile nyoka anatafuta pango lake[emoji3]Suv ina advantage gani zaidi ya ground clearance? Hizi suv za mchongo harrier,rav4 msiziweke kwenye proper suv akina lc. Hizi kwenye barabarani korofi kidogo tu hazitoboi kama sedan tu.
Rav 4 ana edition/models nyng sana mpaka nyngne huwez jua hii gar n rav 4 mpaka uisome pale nyuma.Rav 4 unayoita ya mchongo ndio SUV maarudu zaidi Duniani zaidi ya LC.
Imevunja rekodi ya mauzo ya SUV zote Amerika na Ulaya.
Sasa sijui huo umchongo unaousema unatoka wapi.
View attachment 2453944![]()
United States: best-selling SUV/crossover models 2023 | Statista
Out of all the SUV/Crossover models purchased by American consumers, the greatest number of sales was generated by the Toyota RAV4, with 434,900 sport-utility vehicles sold.www.statista.com
Tatizo humu ndani watu mnaongozwa na hisia na matamanio yenu kuliko uhalisia.
Hii ni gari nzuri ila inabidi uwe na hela. Pia jitahidi ununue yenye low mileage na miaka ya karibuni. Sio unanunua ya 2009 100,000miles utatukana magari ya watu.Mkuu nawiwa mno kuwa na Discover 4 hivi ila liwe na km japo 20 elfu tu
Ha ha ha suv unapanda,sedan unadumbukia.Advantage nyngne ya suv n kwamba wakat unaingia kwny gari Unainua mguu juu yaan unainuka hv juu. Lakn hz sedan akina crown athlete na wenzake ukiwa unaingia kwny gari, unainamisha mgongo na shngo kama vile nyoka anatafuta pango lake[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unalinganisha gari ambayo mtu anapanda na gari ambayo mtu anatumbukia.
Niliongea na member mmoja humu Isanga za South ๐ฟ๐ฆ ni nzuri sio?Hii ni gari nzuri ila inabidi uwe na hela. Pia jitahidi ununue yenye low mileage na miaka ya karibuni. Sio unanunua ya 2009 100,000miles utatukana magari ya watu.
Hahahhaha ๐ ๐ ๐ ๐Wewe uza tu hata ukitumia kuoa mtoto mweupe wa kinyaturuu ni wewe tu baba๐คฃ
Huyu dogo wa moto sana hata ya 2006 atabeba tu๐คฃ๐คฃHii ni gari nzuri ila inabidi uwe na hela. Pia jitahidi ununue yenye low mileage na miaka ya karibuni. Sio unanunua ya 2009 100,000miles utatukana magari ya watu.
Aaah wee nilishapeleleza sana kuhusu hii gari hivyo siwezi nunua lilopitwa na mda sana mkuu ila ukweli naipendaHuyu dogo wa moto sana hata ya 2006 atabeba tu๐คฃ๐คฃ
Hapa tupo pamojaAaah wee nilishapeleleza sana kuhusu hii gari hivyo siwezi nunua lilopitwa na mda sana mkuu ila ukweli naipendaView attachment 2460747