Sasa huo mstari wa mwisho kama umeiua.Forester ni kitu ingine bro!
Hii gri nmenunua sasa ni toleao la tatu, SF, SG, na SH models.
Zote ni bomba kwa maneuverability, comfort na take off speed.
Sijawahi kusikitika kwa hii gari hata kwa safari za masafa marefu.
Tatizo lake tu ni kuwa ziko very light.
Hapana ndugu yangu, hii ni kutake care tu.Sasa huo mstari wa mwisho kama umeiua.
Yeyote anayehisi gari zote ni sawa aangalie hii video.
Hio situation huwa inatokea, mtu kavuka ghafla au gari imehama ghafla.Sasa braza mpaka uanze kugara gara na gari kiasi hicho ni nini hasa unakuwa unatafuta?
Hio situation ni ngumu kwa nchi za kiafirika, ni ama kiumane uso kwa uso au umeze kicheche 🤣🤣🤣!Hio situation huwa inatokea, mtu kavuka ghafla au gari imehama ghafla.
Niliishuhudia hii mwigumbi nilikuwa nyuma ya LC70 kwenye roundabout tairi mbili za upande mmoja zilinyanyuka kabisa zikaiacha lami, ila ali recover.Sasa braza mpaka uanze kugara gara na gari kiasi hicho ni nini hasa unakuwa unatafuta?
Si gari nzito japo ina handle vizuriSasa huo mstari wa mwisho kama umeiua.
Si gari nzito japo ina handle vizuriSasa huo mstari wa mwisho kama umeiua.
Round about max ni 30kph yeye alitembea na above hio bila shakaNiliishuhudia hii mwigumbi nilikuwa nyuma ya LC70 kwenye roundabout tairi mbili za upande mmoja zilinyanyuka kabisa zikaiacha lami, ila ali recover.
Mbele alipaki pembeni. Na hakuwa kibati.
Unaendesha tractor? Watu tunanyoosha hizo kama hazipo.Round about max ni 30kph yeye alitembea na above hio bila shaka
For a second nilijua nashuhudia ajali. Asingezungusha usukani upande sahihi alikuwa anaibwaga.Round about max ni 30kph yeye alitembea na above hio bila shaka
Pole sana, tushaepuka hizo situation ndio maana tunamkubsli mzungu. Maneno yako kama mtu ambae hajakaa sana barabarani. Hio ni disadvantage ya suv na 4*4 karibu zote si Toyota tu kwahio usihangaike sana kuitetea hio weakness.Hio situation ni ngumu kwa nchi za kiafirika, ni ama kiumane uso kwa uso au umeze kicheche 🤣🤣🤣!
Hizo moose test tuwaachie wazungu wao ndio wana hela za kuchezea hio michezo.
Hizi teksi zina raha yake.For a second nilijua nashuhudia ajali. Asingezungusha usukani upande sahihi alikuwa anaibwaga.
Yote hiyo kisa ligi na viteksi vya chini. Nilimkata huko nyuma, nadhani hakupenda akaja akanikata vibaya na kuniachia vumbi kubwa kwenye kipande kibaya cha kama kilomita mbili kilichokuwa kinatengenezwa. Nilisimama mpaka vumbi aliloacha liishe.
Lami ilipoanza tena nikamfukuzia, kufika round about ndo akapata matokeo yake, akapaki kushoto apooze moyo.
SH Ni moja Kati ya Gari yenye seating position mbaya kabisa,yaani ukikaa Ni unadumbukia Kama uko kwny saloon vile.Forester ni kitu ingine bro!
Hii gri nimenunua sasa ni toleo la tatu, SF, SG, na SH models.
Zote ni bomba kwa maneuverability, comfort na take off speed.
Sijawahi kusikitika kwa hii gari hata kwa safari za masafa marefu.
Tatizo lake tu ni kuwa ziko very light.
Mtu wako wa karibu mkeo au?#1 wewe ni mtu wa pili kusema nyepesi, nina mtu wangu wa karibu aliwahi niambia hivyo.
Cheki pembeni mwa kiti chako.SH Ni moja Kati ya Gari yenye seating position mbaya kabisa,yaani ukikaa Ni unadumbukia Kama uko kwny saloon vile.
Yaani nilishafanya setting zote lkn bado Ina seating position mbaya kabisa,na hii sio kwangu tu nimeshajaribu kuuliza wengine nao majibu Ni hayo hayo tu.Cheki pemneni mwa kiti chako.
Unaweza rekebisha seating position kulingana na mwili wako.
SH5 ndiyi Subaru yenye nafasi kubwa kwa dereva na abiria kuliko SF na SG.
kwenye roundabout ndio sehemu ya kukanyagia hata 120+ ndio mahala pakusikia utamu wa gari..hiyo 30 unasafirisha mwili wa marehemu ?Round about max ni 30kph yeye alitembea na above hio bila shaka
Hahahah utaskilizia utamu wa kifo kama hauko kwenye sedankwenye roundabout ndio sehemu ya kukanyagia hata 120+ ndio mahala pakusikia utamu wa gari..hiyo 30 unasafirisha mwili wa marehemu ?