Jamaa kasikitika sana
Hiyo hapo.... Yaani walitest Dodge Ram, Ford Ranger, na VW Amarok tena kwa speed kubwa kuliko waliyotumia kwenye Hilux lakini lakini zikaperform vizuri....,
Hizi tests wenzetu wanaziconsider sana. Maana ndio zinatuambia resistance ya gari dhidi ya rollover,
Hata rav 4 imefanya vibaya sana kwenye hizi tests.
Hamna gari ya mbio nyepesi mkuu. Na kama ikiwa nyepesi inakuwa na ground clearance ndogo.1. Gari ni nyepesi (sio kwa uzito) ni nyepesi inachomoka sana. Hilo librevis lako linachukua muda kuchanganya.
Range Rover ni nzito halafu unaweza kuadjust riding height. Unlike harrier.2. Gari iko juu sio kwamba haina balance umezoea vigari vya chini kwa hiyo hii unajiona kama uko juu ya mti. Hata ukiendesha Range Rover utalalamika hivihivi. Hakuna kesi nyingi za Harrier kupinduka.
Difference ya bei nadhani ni demand tu kubwa ya harrier sokoni. Ni kama tofauti ya bei ya IST na gari zingine ambazo wako segment moja. Pia gari za direct injection hazina bei sana sokoni kama gari ambazo siyo direct injection.3. Comfortability ya gari kubwa huwezi kulinganisha na hiyo brevis yako. Watu wana akili zaidi yako ndio maana Harrier inauzwa Mil 38 na Brevia Mil 15. Hiyo tofauti kubwa ya bei ni pamoja na comfort utakayoipata kwenye Harrier.
Wabongo wananunua gari kwa mkumbo, hamnaga analysis yoyote.5. Niliwahi kuwa na Harrier na sasa nina hiyo XT. Harrier ni noma aisee. Ukiona gari imenunuliwa sana we nunua tu, kuna watu walishafanya analysis na kuipitisha.
Yes kasikitika kwamba walitest hilux ya mwaka 2007 ikaperform poor then wamekuja kutest ya 2016 mambo ni yale yale.Jamaa kasikitika sana
Key word - "karibia zote"Je nissan patrol safari nazo ni nyepesi
Nami gari ya chini huwa sina mzuka nayoπππππ ukiendesha hizo gari hapo mkuu hutamani kuendesha gari zingine ndefu aisee
Njoo nikuonjeshe ladha ya mjerumani yupo chini ndio ujue kwanini nataka nikachumbie MaghojoaππππNami gari ya chini huwa sina mzuka nayo
Kwa umri huu huwezi nifundisha chochote we dogo.Njoo nikuonjeshe ladha ya mjerumani yupo chini ndio ujue kwanini nataka nikachumbie Maghojoaππππ
Uasherati sifanyi ila kwenye ndiga labda kama uliendesha mbojo kabla yangu au vile vya kijapani mzee wangu wagholaKwa umri huu huwezi nifundisha chochote we dogo.
Vya chini niliendesha kabla yako...nilipohamia juu chini sitaki.
Ukaoe umche Mungu uache uasheratiπ
Usinichukulie poa dogo languUasherati sifanyi ila kwenye ndiga labda kama uliendesha mbojo kabla yangu au vile vya kijapani mzee wangu waghola
ππππ njoo huku chini toka huko juuUsinichukulie poa dogo langu
Mimi ni wajuuππππ njoo huku chini toka huko juuView attachment 2460672
Japo kuna chuma ya juu nailia rada nikikosa kabisaa naenda chukua mkopo niishushe maana daah utamu wake sioMimi ni wajuu
HioJapo kuna chuma ya juu nailia rada nikikosa kabisaa naenda chukua mkopo niishushe maana daah utamu wake sio
Siwezi kukopa ninunue gari no.Japo kuna chuma ya juu nailia rada nikikosa kabisaa naenda chukua mkopo niishushe maana daah utamu wake sio
Mkuu nawiwa mno kuwa na Discover 4 hivi ila liwe na km japo 20 elfu tuChuma gani
Hio