Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

Huyu wa premio alikua amemtangulia mwenzake hii barabara ya moro-dar jioni ilikua kidogo watupane kwenye mitaro. Sijui hua wanapata flavor gani kuwekeana ligi barabarani vijana
Kuwekeana ligi barabarani ni raha asikwambie mtu...mimi hii ndo michezo yangu na kwa barabara angalau inayosuuza roho yangu ni daraja la nyerere Kiga mpaka huku TPA ( watu wa hizo barabara wanapenda kushindanisha mbio sijapata kuona[emoji848]
 
Aisee sijui labda wadau watujulishe ila atakayekimaliza hicho kisahani ni mwamba... kufika nusu yake tu ni changamoto kubwa sana
Kwa Bugati Veyron yenyewe ikitembea kwny top speed yake non stop then Tyre zake zitaisha ndani ya dakika 15 na tank lake la Mafuta litaisha ndani ya dakika 12 tu.
 
Yeah ajali nje nje maana hawatumii tena akili ni mihemko tu
Kuna kajamaa juzi kalikuwa na Subaru sijui kafunga na mabomba mengi mengi huko nyuma uwii tulilianzisha kuanzia round about ya kuingia TPA eti kisa nilimpita huko waterfront....mseng€e anaendesha gari kama kalogwa vile ...yaan alinipita kama upepo pale TPA jumapili hiyo hakuna foleni, si nikamkimbiza[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sikumpata!

Tukalipia kivuko, huku ananichungulia dirishani, nikamkimbiza tena, jamani alitoka nduki mjinga yule sikumuona tena hadi nafika round about ya kibada sikuona hata kakatishia wapi[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji2]

Nilicheka sana aseee
 
Kwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.

Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.

Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:

1. gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol ..

2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..

3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.

4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)

5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.

N:B matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.
Uko sahihi
 
Bora hata hizi Old model kuliko hayo makalio ya nyani
BF492263_c12345.jpg
 
Kuna kajamaa juzi kalikuwa na Subaru sijui kafunga na mabomba mengi mengi huko nyuma uwii tulilianzisha kuanzia round about ya kuingia TPA eti kisa nilimpita huko waterfront....mseng€e anaendesha gari kama kalogwa vile ...yaan alinipita kama upepo pale TPA jumapili hiyo hakuna foleni, si nikamkimbiza[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sikumpata!

Tukalipia kivuko, huku ananichungulia dirishani, nikamkimbiza tena, jamani alitoka nduki mjinga yule sikumuona tena hadi nafika round about ya kibada sikuona hata kakatishia wapi[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji2]

Nilicheka sana aseee
Uikua na chuma gan?
 
se-image-204c6caaa086fafe35dc6199ebe10880.jpg


Mkuu bila shaka hio ni chiron, hio utawanyanyasa autobhan lakini kwa Tanzania ukitaka watu wakuonee mwezini chukua mnyama RAM Hennessy Mammoth 1000, chuma ina HP 1000, halafu lilivyo juu sasa utakubali, hili bumps linafukia tu.
Ni bonge moja ya chuma imekwenda hewani lakini ligi zake Lamborghini ikiwa ya kizembe haina nafasi hapo.
TopGear%20-%20Hennessey%20Mammoth%201000-064.jpg


Chuma lina vurugu sana.... Yani hili kupanda bumps na 140 ni kawaida...

hennessey-mammoth-1000-suv_400x333.jpg

mammoth-1000-ram-rtx-31-768x512.webp


Kuna hao jamaa wanaitwa heneessy wanazi mod hizi gari, balaa tupu.
Hili dubwana lote la nini?

Amarok tu inacharaza watu viboko hawaamini wanachokiona.
 
Kwani gearbox iliyopo humu ni ya mzungu?

Ipo hivi,

Asilimia kubwa gari iliyotengenezwa kwa ajili ya Eu market hata kama ni toyota huwa ina standards tofauti na gari iliyotengenezwa kwa ajili ya JDM.

Nunua nunua baadhi ya matoleo ya Rav 4 ya EU market, ikikuharibikia gearbox unaweza kuipark. Gearbox yake unakuta inafunga kwenye gari kama Solara, Sienna, Avalon, Avensis, Camry, n.k. Ni gari ambazo nyingi huwezi kuzikuta huku kwetu.
 
Back
Top Bottom