Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

Gari ya 2012 ushuru wake ukoje mkuu?

Sijawahi kuiona bongo hii

Naona ina jiko dogo tu 1.6L

Nazani mrithi bora wa premio kwa vijana[emoji91]
zipo bongo hizi, zina balance kwa mala y kwanza niliendesha collora kama hiyo zipo mwake sana
 
Kuna Grand Cherokeee SRT nimeshakutana nayo sana mikocheni. Huyu anamchapa LC300 vizuri tu.
kuna GLE AMG , kuna G-Wagon, kuna Range Rover Sport Svr, kuna Range vellar edition, kuna GLS650 maybach kadha wa kadha hapo bongo zinaikalisha hiyo Lc300 mchana kweupeee.... c.c 100 others
 
Screenshot_20221229_224013.jpg
 
se-image-204c6caaa086fafe35dc6199ebe10880.jpg


Mkuu bila shaka hio ni chiron, hio utawanyanyasa autobhan lakini kwa Tanzania ukitaka watu wakuonee mwezini chukua mnyama RAM Hennessy Mammoth 1000, chuma ina HP 1000, halafu lilivyo juu sasa utakubali, hili bumps linafukia tu.
Ni bonge moja ya chuma imekwenda hewani lakini ligi zake Lamborghini ikiwa ya kizembe haina nafasi hapo.
TopGear%20-%20Hennessey%20Mammoth%201000-064.jpg


Chuma lina vurugu sana.... Yani hili kupanda bumps na 140 ni kawaida...

hennessey-mammoth-1000-suv_400x333.jpg

mammoth-1000-ram-rtx-31-768x512.webp


Kuna hao jamaa wanaitwa heneessy wanazi mod hizi gari, balaa tupu.
American cars are jokes to European car [emoji1787][emoji1787][emoji1787]magari ya USA ni Mjapani aliyechangamka
 
Tulinganishe na Mjerumani 2013?
Ruksa japo umesema hamna lexus ya kuendana na mjerumani kwa ubora. Kwa comfort tu Lexus GS inaenda on par with BMW 5 series. Chukua hio 2013 model halafu angalia utakuja nishukuru. Na wabongo wengi wana 520i sababu wanaogopaga engine kubwa. Ukiweka gs 350 na huyo 520i anakalishwa vizuri tu.
 
Ruksa japo umesema hamna lexus ya kuendana na mjerumani kwa ubora. Kwa comfort tu Lexus GS inaenda on par with BMW 5 series. Chukua hio 2013 model halafu angalia utakuja nishukuru. Na wabongo wengi wana 520i sababu wanaogopaga engine kubwa. Ukiweka gs 350 na huyo 520i anakalishwa vizuri tu.
why upambanishe Lesux GS 350 na BMW 520i, wakati ipo ya size yake ambayo ni BMW 535i? Fanya mlinganisho wa GS 350 na 535i zote mwaka 2013.. ndio mtuletee majibu hapa.. maana ndio gari zinaendana spec
 
Back
Top Bottom