Sijawahi kuambiwa maneno yakaniuma kama aliyoniambia aliyekuwa mpenzi wangu, sitayasahau kamwe

Why all this rudeness mkuu?
 
Why all this rudeness mkuu?
 
Sijakuelewa Georgina mwanadada
 
"......tena nasema kwa kujiamini kuwa nimemzidi mwanamke wa Mith. 31-10-31 kwa ubora....(YES)......"

☝☝☝ wanaume huwa hatupendi wanawake ma narcissist
 
Why all this rudeness mkuu?
Sipo rude ila nimejaribu kung'amua mambo machache kutoka kwa maneno yako na ndo maana nimekwambia hivo. Jaribu kuishi uhalisia wako itakusaidia sana kuliko kuigiza kama mithali lady kumbe kiuhalisia haupo hivo
 
"......tena nasema kwa kujiamini kuwa nimemzidi mwanamke wa Mith. 31-10-31 kwa ubora....(YES)......"
Huyu anaishi nje ya reality kwa kujifananisha na mtu ambaye kamuacha mbali kitabia na kisifa

Kwenye mithali 31:30 utagundua kuwa mume wa huyo mwanamke alikiri wazi kuwa katika mabinti wengi aliowaona ni huyo pekee kawazidi wote (hata bukuku alitungia wimbo huu mstari)...

Lakini kwa huyu dada yetu haipo hivo. Huyo jamaa yake kagundua kuwa hajamzidi yeyote kati ya waliopo. Kamtajia makandokando yake ambayo pengine alihisi hayawezi julikana na ndio maana kawa desperate.

Siku zote ukweli huwa unauma hasa ukiambiwa na mtu anayekujua kiundani.
 
Sipo rude ila nimejaribu kung'amua mambo machache kutoka kwa maneno yako na ndo maana nimekwambia hivo. Jaribu kuishi uhalisia wako itakusaidia sana kuliko kuigiza kama mithali lady kumbe kiuhalisia haupo hivo
Okay but My prayer is to die as a Mithali lady and that shall be🙏.
 
Mwanamke akishashika sana dini au akiwa mlokole sana hafai kuolewa na hafai kuwa mke.

Kosa lako ndiyo hilo.

Jitahidi kubalance ili uwe mke mwema.
 
Jamani mkuu hebu inhale kidogo😁.

Sikiliza mpendwa wangu wakati naandika huu uzi nilikia ktk hali ya maumivu makali si kwa sababu niko desparate ni kwa sababu nilimpenda.

Kama anao wengi na nimeonekana mimi ndio mwenye madhaifu kuliko wengine sitajiua bali nitafanyia kazi madhaifu yangu ili niwe mithali lady 😁 asiye na kasoro kwa my next man.

Kingine tu,huyo mwanaume hanijui kiundani kama unavyodhani.
 
Mwanamke akishashika sana dini au akiwa mlokole sana hafai kuolewa na hafai kuwa mke.

Kosa lako ndiyo hilo.

Jitahidi kubalance ili uwe mke mwema.
Siwezi kujiweka mbali na Mungu wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…