Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
walikua wamekuoa waka kuacha au mlikuwa mna injoi tuu?Ndio.
Mmoja ni mchungaji.
Sijawahi kuwa na mwanaume asiyempenda Munguš
Ukitaka kuuelewa Uzi soma comment za superchager turuboAmina Dada.
Ila huu uzi sijauelewa kabisa
Sema jamaa unatumia kauli ngumu Sana Kwa mleta mad
Kifupi Binti anatuhumiwa kuwa ni muhuni lakini anashindwa kuthibitisha Hilo . Badala yake anapeleka kimeseji kimoja Cha boya aliemkataaKuna kitu hakiko sawa japo hataki kukisema maana hata maelezo yake hayajanyooka. Tena kimetokea huko huko kanisani kwao na mwamba kajua...na hawa ma ex wanaomjaza upepo hawa ndo kabisaa wanazidi kuharibu!
Kwa kulijua hilo, fanya basi umuombe hata msamaha ili naye apate angalau ka-farajaHuyu Binti asaidiwe kwakweli, maisha ya changamoto hayamudu kabisaaaaaa.
Hofu yako ya mim kujibanza kwenye mwamvuli wa imani ingeniathiri iwapo niko hapa kutafuta mwenza..Kuna vita kali sana kati ya expectations na reality
Ila mda mwingine we unajijuaje kwamba una sifa za kwenye mithali 31? Sijajua changamoto yako kiundani na ningejua pia ningetamani kujua mwenza wako nae anasemaje š¤š¤
Lkn kama member ultra pro max šwa kataaa ndoa hua naogopa sana mwanamke anaejaribu kutumia Imani/kujibanza katika mwamvuli wa maandiko ktk kujaribu kuamini ndo solution.
Najilaumu kufuta Neno 'mpuuzi' maana huku mbele nimegundua kuwa anastahili. Kwakifupi ni Binti ambae ni mlokole lakini anamahusiano ya karibu na ma ex, wanaume wakimtongoza anamuonesha meseji jamaa za aliowakataa tu, tuhuma zinazomtafuna ni za kimahusiano na jamaa kafika mwisho badala ya kuomba msamaha na kuyamaliza anafungua Uzi na hasemi mpaka achimbwe Sana ndo anafunguka Moja Moja.Kwa kulijua hilo, fanya basi umuombe hata msamaha ili naye apate angalau ka-faraja
nimekariri nini mkuu?Umekariri mkuu
Kwa kiasi flan mi nimekuelewa ila kusema ungetafuta mwenza ndo uthibitisho sio kweli kuna sehemu kwenye andiko lako ulisema nlijitahidi niwe mwanamke wa kwenye mithali 31..... sasa nani aliku-asses kwamba una hvo vigezo?Hofu yako ya mim kujibanza kwenye mwamvuli wa imani ingeniathiri iwapo niko hapa kutafuta mwenza..
Kwani mkuu kwa mfano ukiwa mlevi au mzinzi si utajua mim ni mzinz sbb sifa za mzinz zinajulikana.?
Najilaumu kufuta Neno 'mpuuzi' maana huku mbele nimegundua kuwa anastahili. Kwakifupi ni Binti ambae ni mlokole lakini anamahusiano ya karibu na ma ex, wanaume wakimtongoza anamuonesha meseji jamaa za aliowakataa tu, tuhuma zinazomtafuna ni za kimahusiano na jamaa kafika mwisho badala ya kuomba msamaha na kuyamaliza anafungua Uzi na hasemi mpaka achimbwe Sana ndo anafunguka Moja Moja.
kwamuktadha huu wewe unadeti na waumini wenzako.Ndio.
Mmoja ni mchungaji.
Sijawahi kuwa na mwanaume asiyempenda Munguš
hamna tusi hatamoja mbona hapa?huwezi kujibu Sababu vyote nilivyo kutuhumu umevifanya.Wee kila ninachojibu unatumia kunitukana siwez kukujibu