Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Yeaaah.... Ndo huwa inakuwa hivyo unawasoma kwanza wadau. Halafu unaangalia jinsi ya kuwapiga chenga angalau kidogo.Anaangalia reaction ya watu alafu achague option moja ya hii hadithi yake sababh ana option mbili za muendelezo๐
senkiyuAsantee aposto nimefika!!
Wapii Bantu Lady Tayukwa leadermoe Lovelovie Njemba Soro Kigi Makasi kaburungu Unforgettable Kalpana Lastmost Tyrone Kaijage Mbobo mmash Restless Hustler mtzmweusi
Mtendaji wa kijiji tayari katupia
Mkuu Apostoo umeamza kuchelewesha portion kumbe upo na Mzee KY anakuvuruga akili, mwambie akukatie kiasi cha maana utambae... achana na jiji, kisha rudi kwa mganga akugange dhidi ya mstaafu! vinginevyo utawaangaisha wazazi wako kwa mara nyingine...Nisameheni sana wakuu, bahati mbaya dharura haiji na taarifa. Kune emergency ilijitokeza kwa upande wangu, that's why nilikuwa kimya tokea jumamosi jioni.
Twende pamoja, tumalizie [emoji120][emoji120]
Uyo alikuwa anaimbisha ule wimboGily hawezi kuwa mseminarily. Tuliosoma seminary hatupo kama yeye ๐ ๐
No one went to help au of help? Anyway possibly people thought he was a mad man and by the way kule ni sehemu ambayo people are so busy. Huwezi pigwa na watu wanne sehemu yenye polisi then wakuteke ibaki hivyo hivyo. Sema kwenye kunogesha story unaweka tu wasomaji wenyewe wengi vilaza hawajielewi. Unapopata nafasi ya kutunga uwe makini.Juzi jumamosi maeneo ya buguruni chama, ukilivuka tu daraja la treni, kuna jamaa muokota makopo aligongwa na bodaboda. Alistrugle pale hadi akafa, no one went of help. Nilipita around saa moja nikiwa ndani ya gari, nikakuta ameshakufa, raia walichofanya ni kumfunika tu. Trafk yupo anaita magari tu ili kupunguza foleni.
Raia wapo, askari wapo, wenye magari na usafiri wapo, ila yule jamaa alikufa wanamuangalia. Sembuse kupigana? ๐ ๐ ๐
Asante dear
Nisameheni sana wakuu, bahati mbaya dharura haiji na taarifa. Kune emergency ilijitokeza kwa upande wangu, that's why nilikuwa kimya tokea jumamosi jioni.
Twende pamoja, tumalizie [emoji120][emoji120]
Mkuu hilo jina lako , naweza kushare jambo na wewe ikiwa unatokea sehemu hiyo ? Samahani lakiniMkuu Apostoo umeamza kuchelewesha portion kumbe upo na Mzee KY anakuvuruga akili, mwambie akukatie kiasi cha maana utambae... achana na jiji, kisha rudi kwa mganga akugange dhidi ya mstaafu! vinginevyo utawaangaisha wazazi wako kwa mara nyingine...
kwa hiyo wewe umeona 'of help' ndiyo sahihi zaidi!? ...hujui kitu na hujui kuwa hujui... huna tofauti na mstaafu kwenye hii storiNo one went to help au of help? Anyway possibly people thought he was a mad man and by the way kule ni sehemu ambayo people are so busy. Huwezi pigwa na watu wanne sehemu yenye polisi then wakuteke ibaki hivyo hivyo. Sema kwenye kunogesha story unaweka tu wasomaji wenyewe wengi vilaza hawajielewi. Unapopata nafasi ya kutunga uwe makini.
Msikilize[emoji23][emoji23][emoji23]Cuzo nimeokoka huyu mzee ERoni anataka kunirudisha tena [emoji23]
karibuMkuu hilo jina lako , naweza kushare jambo na wewe ikiwa unatokea sehemu hiyo ? Samahani lakini
Pole[emoji23]Mbona unanifanyia vayolensi dear[emoji53][emoji8]
Hiyo ni typing error tu, na sikutaka kuandika of, Bali for, na sio To kama ulvyosuggest ww, ila anyway nashkuru kwa kunirekebisha.No one went to help au of help? Anyway possibly people thought he was a mad man and by the way kule ni sehemu ambayo people are so busy. Huwezi pigwa na watu wanne sehemu yenye polisi then wakuteke ibaki hivyo hivyo. Sema kwenye kunogesha story unaweka tu wasomaji wenyewe wengi vilaza hawajielewi. Unapopata nafasi ya kutunga uwe makini.
Sio ujutahidi wekaa na ikiisha anzisha mpya ๐Ntajitahidi after iftar niweke portion nyingine.
Nataka niimilize before ijumaa
Check Pm yakokaribu