Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asanteee,ngojaa nisome
Wale wazee walikomaa hadi ilo jina likanikaa [emoji28][emoji28]
Et tou mon ami ! Merci!Merci beacoup [emoji120]
Hata mimi nimecheka sana kwenye baadhi ya scenario. Kuna ile sehemu mchaga kapigwa roba na mzee [emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa story yako ina chekesha Sana inaonekana ulikuwaga kiboko
Appostle Analyse kuna muujiza huku, nini kimetokea? Naona mama kazimia baada ya wewe kuingia na jishangazi.Wale wazee walikomaa hadi ilo jina likanikaa [emoji28][emoji28]
sikutarajia kumuona pale, nikajikuta nimeita "Baba?". Yule Mchaga alikuwa bado hajausoma mchezo, akaitikia "Naam jembe langu".
[emoji23][emoji23][emoji23]
Pamoja sana mkuuHata mimi nimecheka sana kwenye baadhi ya scenario. Kuna ile sehemu mchaga kapigwa roba na mzee [emoji23][emoji23][emoji23]
Na pale mama alipozima baada ya kuhisi mwamba kaenda tambulisha jimama. Sema nini Analyse anajua kusimulia mpangilio safi comedy kiasi chake kifupi story iko vyedi
twende nao tu hivyo hivyo dear hakuna namnaJf wanakwama sana kwenye notifications sikuhizi!