Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

7th Portion:

... Mzee Dingi akaniambia "Hela ikishafika mkononi mwako, alaf ukairudisha ilipotoka, utasumbuka sana kupata hela tena. Hela hairudishwi apostle"

Ilo jina apostle lilishaanza kunikera. Japo wanasema jina ukilikataa ndio linakua, ila sikuwa na namna, nikajikuta namjibu kwa hasira "Yule anafamilia inamtegemea, sio haki kumdhurumu, alafu na ilo jina la apostle sitaki kulisikia tena, umesikia we Mzee?". Mzee Dingi akabaki ameniangalia tu, alaf nae akawaka "Sikia apostle, nani ambae hana familia hapa?, Mimi mwenyewe napambania familia yangu vile vile". Akaendelea "Nyumbani hawajali hela naipataje, wao wanachohitaji ni matunzo, hata kama siipati kwa njia halali, ila nyumbani ikifika, inatatua shida zao, na wananishukuru kama Baba"

Nikamkatisha "Utajisikiaje unampa mkeo hela kwa ajili ya ada ya watoto, alaf anatokea mtu anamtapeli?". Wote wawili wakacheka, alaf Mzee Dingi akaniambia "Hiyo ndio itakuwa tiketi ya kurudi kwao, maana siwezi kuwa na mke mwenye tamaa. Huwezi kutapeliwa kama huna tamaa". Nikataka kuongea kitu, yule mwanasheria feki akaingilia "Apostle, kama unamuonea huruma, kamrudishie walau hiyo laki, haya shuka kwenye gari". Sikutaka kuendelea kuongea nao, nikashuka.

Nilivyoshuka kwenye ile gari yao, wao wakaondoka bila kuniambia wanaelekea wapi. Ila Mimi niliendelea kubakia eneo lile lile, nikiwa natafakari nini cha kufanya. Yule jamaa wa mkaa nilikuwa namuonea huruma, ila hapo hapo upande wangu nilikuwa nimefulia sana, kiasi kwamba nafsi ikawa inagoma kurudisha ile hela, jobless upate laki alafu urudishe? Labda Ulaya. Lakini upande mwingine nikajifikiria, endapo nitamrudishia ile laki, basi hapo nitakuwa nimejiingiza matatizoni. Potelea pote, nikaamua kurudi zangu gheto.

Ila nikawa nimepitisha uhamuzi wa kuwapotezea kina Mzee Dingi, maana kampani yao niliiona ni kama ticket ya jela.

Kesho yake mida saa sita, Mzee Dingi akanipigia simu, sikupokea, akapiga tena, sikupokea. Akaamua kutuma msg "Apostle, njoo mtaa wa Msimbazi na Lindi, kuna Kijiwe wanauza kahawa, fanya haraka". Nikaisoma, alaf nikaipotezea, nae akakausha. Ilivyofika wik end, siku ya jumapili, akaniita tuongee. Ila hakutaka tuongelee pale nyumbani, tukaenda kwenye kipub fulani hivi.

Kufika pale, ndio akaanza kuniambia "Sikiliza mdogo wangu, haya maisha yanahitaji kupambana, najua umesoma na unaelimu nzuri, lakini hiyo sio njia pekee ya ww kuingiza hela. Kama kuna kitu hujui ni kwamba, unakismart cha kuaminiwa, nyota yako inang'aa Apostle. Ni rahisi sana mtu kukuamini wewe, alaf na ulivyo muongeaji, na unavyojua kupangilia maneno, wewe ni mtu sahihi kabisa ambaye ofisi yetu ilikuwa inamkosa"

Nikamwangalia yule Mzee wee, sikusema chochote. Mzee aliongea vyote anavyojua ila kwa upande wangu nilishadhamiria siingii kwenye kazi zao. Nikaamua kuondoka eneo lile. Wakati naondoka, akawa ananisindikiza na maneno, "Ulivyokuja kuniomba nikuunganishie michongo, ulitegemea ufanye kazi ikulu? Au ulitaka ofisi yenye A.C? Mshamba sana we mtoto"

Sikumjibu kitu, nikamuacha kwenye ile pub, nikaelekea zangu betting center kupoteza muda.

Siku zilisogea, niliendelea na harakati zangu za kuunga unga kama kawaida, ila Mzee Dingi aliendelea kunishawishi nijiunge na timu yao. Ilifikia hatua ikawa kero sasa, hadi nikaanza kujutia kwanini nilimfataga kumwambia aniunganishie mchongo.

Nilivyoona usumbufu umezidi, nikaamua kuhama eneo lile. Nikahamia sehemu moja Tabata chang'ombe, karibia na hospital ya Kundy. Mimi na yeye tukawa tunaonana mara chache chache sana, hasa kwenye vituo vya dalala au njiani.

Kiuhalisia, baada ya kuhama, hata yeye akaamua kunipotezea kabisa. Ila miezi kama minne tokea nihame pale nilipokuwa nakaa mwanzo, Mzee Dingi akanipigia simu, mpaka kufikia pale, niliamini alishakubaliana na msimamo wangu, so sikuona tabu kupokea simu yake.

Nilivyoipokea, after salamu akaniambia "Apostle, fanya mpango tuonane wik end hii, kuna kitu nataka tujadiliane". Nikamuuliza "Kitu gani?". Akajibu "Usiwe na wasi, sio zile dili za kipindi kile, hii ni issue nyingine, wik end fanya unitafute". Nikamwambia fresh.

Ilivyofika jumapili tukakutana bar. Story mbili tatu, ndio akaniambia alichoniitia. "Sikia apostle, kuna kiasi fulani cha hela ninacho, nataka nianze kufanya biashara halali, sitaki tena dhuluma". Nikamjibu "Ni jambo zuri, ila sijaelewa Mimi nahusika vipi hapa?". Akasema " Sikia apostle, nahitaji mawazo ya biashara na mtu ambae naweza kufanya nae. Nahitaji tushirikiane"

Baada ya blah blah hapa na pale, kuna wazo nikalitoa, ambalo nililifikiriaga muda mrefu, ila mtaji ikawa ndio shida

Na ilo wazo lilikuwa kutoa mkaa vijijini, kisha unakuja kusambaza mjini, kama jinsi alivyokuwa anafanya yule jamaa aliyetapeliwa na kina Mzee Dingi. Nilipomuelezea, akafikiria kwa muda kidogo, Kisha akaniuliza vitu kadhaa kuona uelewa wangu kwenye hiyo biashara. Alivyoona maelezo yangu yapo clear, akasema ngoja atafakari zaidi, huku akiwa anaangalia uwezekano wa kupata madalali hapa mjini, ili mzigo ukifika, tusisumbuke kupata soko.

Tukaagana, nikaondoka eneo lile.

Baada ya kama siku tatu, akanipigia tena. Akaomba tuonane, ila safari hii akaja mpaka nilipohamia. Baada ya maongezi ya hapa na pale, tukawa tumekubaliana kufanya biashara. Kwavile sikuwa na mishe ya kueleweka, hii niliichukulia kama nafasi pekee ya kunitoa kwenye ukata. Nikadhamiria kuifanya kwa moyo na uaminifu, ili kujitengenezea kipato, lakini pia kumuonesha Mzee Dingi kuwa inawezekana kuingiza hela kwa njia halali.

Nilijidanganya. Nilichokuwa nawaza Mimi, sicho alichokuwa akiwaza Mzee Dingi.....
Apostle mbona tagging zako sizioni 😁
 
8th Portion:

.... Mtaji wa hela taslim aliokuwa nao Mzee Dingi ni milioni 3, japo tulivyopiga mahesabu tulitakiwa walau tuanze na milioni 5. Akasema hakuna shida, tunaweza anzia hiyo, then million mbili ataiongezea baadae. Nilitamani kumuuliza ataitoa wapi hiyo hela ya kuongezea, ila nikaamua kukausha.

Biashara ikaanza. Mkaa nikawa nachukulia Iringa, Mufindi, kuna Kijiji kinaitwa Usokani, huko ndio nikawa nachukulia mzigo. Nikiufikisha town, Mzee Dingi anaukabidhi kwa madalali wake, Kisha anasimamia makusanyo ya hela mpaka mzigo uishe. Ukiisha, narudi tena porini.

Mwanzoni wakati tunaanza, ilikuwa tunaleta trip moja, ila biashara ilivyo changanya, ikawa trip moja ikishafika town ikapokelewa na Mzee Dingi, kule kijijini naanza kukusanya mzigo mwingine. Sometime demand ikiwa kubwa, nilikuwa naenda hadi vijiji vingine kukusanya mzigo, mara nyingi nilipendelea kwenda maeneo ya Nyololo, kuna Kijiji kinaitwa Mzizi. Kutokana na kuzoeleka, ikafikia wakati tunaweza kusanya mzigo wa gharama kubwa hata kama hatuna hiyo hela. Mwanzoni usafiri tulikuwa tunatumia fuso moja ambayo ilibeba gunia 170, ila ikafikia wakati tukawa tunatumia kipisi chenye kubeba gunia 280, na sometime trip moja ingeweza kuwa na vipisi viwili.

Waliosemaga Ex ni kama furushi la miba, hatakiwi kurudiwa hata akija analia, maana ukimpa nafasi lazima atakuchoma tena, hawakukosea. Biashara ikiwa imenoga, vipisi viwili vipo town vinafaulisha mzigo, muda huo nipo kijijini najaza kipisi kingine nacho kiende mjini, Mzee Dingi akanipigia simu, kuwa uhitaji umekuwa mkubwa, hivyo nifanye mchakato wa kipisi kingine (Yani jumla viwe viwili) Kisha niviagize mjini. Kwavile hela ilikuwa haitoshi, iki kipisi nilichokuwa nasimamia muda huo, na kingine ambacho nimeambiwa nikiongeze, vyote ukiachana na gharama za usafirishaji na gharama za barabarani (ushuru, mizani,nk), gharama zingine zote hasa za mkaa wenyewe, kujaza, kushona na kupakia, zikawa ni Kwa Mali kauli, nikiwa naimani tutazilipa pindi mzigo ambao ushafika mjini utakapoisha.

Ila Cha ajabu, mzigo mwingine hadi nao unafiki mjini, ule wa mwanzo hela haijatumwa. Nikimchek Mzee Dingi, sound zinakuwa nyingi. Sikutilia mashaka kabisa. Kwavile hapakuwa na cha kufanya kule kijijini, nikawa nimesogea maeneo ya Mafinga ili kupumzisha mwili. Ila zikapita siku mbili bila kupewa feedback yoyote na Mzee Dingi. Nikimpigia, anasema nitulie atanipigia muda sio mrefu. Ila nikikaa kimya, hanitafuti.

Kule kijijini nao wakaanza kunipigia simu, wanataka hela zao. Nikimpigia Mzee Dingi, akawa hapokei simu zangu. Nikaamua kumfata Dar. Mpaka nafika, bado alikuwa hapokei simu zangu. Kesho yake mapema sana nikaamkia nyumbani kwake. Kufika pale naambiwa pale alishahamaga, kuuliza alipohamia, wanasema hawajui.

Nikajaribu kumpigia kwa namba ngeni. Alivyopokea na kujua ni Mimi, akanikatia simu. Akili ikaniambia nishapigwa!. Kule kijijini nao hawaishi kunipigia simu, na vitisho vikaanza kuwa vingi. Nikaona isiwe kesi, kwavile Mzee Dingi hapokei simu zangu, basi ngoja nianze kumsaka manually kwenye vijiwe vyake vyote. Kote nilimkosa, ila inaonekana kuna mtu akamfikishia taarifa za Mimi kumtafuta.

Akaamua kunipigia simu. Kupokea, namuuliza inakuwaje anafanya mambo ya ajabu kama yale?.

Mzee Dingi: "Sikupanga iwe hivi, ila kuna changamoto ilijitokeza, sikuwa na jinsi"
Analyse: "Hukuwa na jinsi? Wale jamaa wenye mkaa wao kule kijijini nawaambiaje?"
Mzee Dingi: "Wewe ni msomi mjanja apostle, wanakijiji hawawezi kukushinda. Tafuta namna yoyote ya kuwaelezea, au la, wapotezee, maana kule ushaondoka"
Analyse: "Tuachane na wanakijiji, kwahiyo Mimi sina mgao kwenye hela ambayo nimeisotea kule porini?"
Mzee Dingi: "Matatizo yaliyonikuta yanahitaji hela nyingi sana apostle, hii yenyewe unayoiona, bado haijatosha"
Analyse: "Kwahiyo unaniambiaje?"
Mzee Dingi: "Mungu ni wetu sote apostle, riziki yako haiwezi kupotea, itachelewa tu. Nitakuja kulipa, Alafu wewe bado kijana, nguvu na akili unavyo, pambana tu"

Aisee lilinitoka povu la kutosha, mpaka akaamua kukata simu. Nikapiga, akakata. Nikapiga, akakata. Kupiga tena nakuta kaniblock. Sijakaa sawa, yule jamaa mwenye mkaa wake akanipigia simu kutaka kujua kama nimewadhurumu au vipi?. Kila nikimpanga, haelewi. Huyu jamaa alikuwa mrefu, ana shingo ndefu pia. Alaf shingoni kwenye koromeo pamevimba kiasi. Huyu jamaa alikuwa na sauti ndogo/nyembamba sana japo ni mwanaume, hivyo watu wengi walipenda kumuita Kisauti, japo jina lake halisi ni Mbwana. Na Mimi humu nitakuwa natumia jina ilo la Kisauti. Sasa nikataka kuweka ahadi kwa Kisauti ya kulipa, ila nikifikiria hela wanayodai, nikaona sitoweza, maana Mzee Dingi ndio kaamua kunikataa. Kisauti alivyoona nipo kimya, akaamua kuniambia "Umeyataka mwenyewe mdogo wangu, sitolaumiwa kwa lolote nitakalofanya". Nikamuuliza utanifanya nini? Akajibu "Sikwambii, ila nataka ujionee". Kabla sijamjibu, akakata simu.

Nikampotezea!. Zikapita kama wiki mbili, nikiwa naendelea kumtafuta Mzee Dingi bila mafanikio. Nikaanza kupatwa na tatizo la mwili kuchoma choma. Yani inakuwa kama mtu yuko ndani ya mwili wangu, kashika sindano au pini, alafu ananichoma kwa kutokea ndani kuja nje. Ile hali ilianza taratibu sana, ila baada ya muda ikawa mwili mzima nausikia hivyo. Yani inaweza kunitokea kwa mfululizo ndani ya masaa matatu au manne, alafu inapoa kwa nusu saa au zaidi kidogo. Na hapo ikipoa, nakuwa nachomwa kidogo kidogo kwa mbali.

Yani kuna muda naweza kuwa nimelala au kupumzika, ghafla mwili unaanza kuchoma choma mfululizo, najikuta nasimama naanza kuzunguka tu gheto bila kujua nijikune wapi, inabidi nivue nguo,kisha nitumie ukuta kujikuna. Na ubaya yale maumivu yanatokea ndani kuja nje, sina namna ya kuyadhibiti. Kwa hali hiyo nikawa nashinda ndani tu, na ikitokea nahitaji kitu nje, basi mwendo ni kukimbia tu, tena nilikuwa naenda dukani na chenji kamili, ili nisipoteze muda dukani, na nikifika naanza kutoa hela kabla hata sijapewa nilichofata. Maana nilifikiria what if muuza duka kanipa bidhaa kabla sijampa hela alaf mwili ukaanza kuchoma, nikikimbia si wataniitia mwizi?. Just imagine nje watu wanakupiga, na ndani mwili unachoma, nitadeal na maumivu yapi, ya nje au ya ndani? Sikutaka hizo fedhea.Yani kiufupi nikiwa natoka dukani alaf ikatokea nikakutana na mtu anayenidai, angeweza hisi namkimbia yeye, kumbe mwenzie wala nawahi zangu ndani nikajikune ukutani.

Hali ilivyozidi kuwa mbaya, ikabidi niwajulishe home. Mama akaniambia niende. Aisee, sijawahi kusafiri safari chungu kama ile, maana bus ilikuwa ikipita kwenye matuta, hasa yale ya rasta, kwangu inakuwa mateso tupu. Maana narushwa rushwa, huku kwa ndani mwili unachoma.

Mpaka nafika destination ya lile bus, nilikuwa hoi hoi. Alafu kutokea pale, nikapanda kihiace cha kunifikisha kijijini kwetu. Njia nzima nailaani CCM Kwa kutotengeneza barabara, maana hapakuwepo na matuta, ila njia nzima kihiace kinatingishika, kokoto hazina uwiano.

Hali niliyofika nayo nyumbani, hadi bi mkubwa alijikuta chozi linamlenga lenga. Maana sikuwa hata na wiki tokea tatizo lianze, ila tayari uso ulishaanza kupoteza nuru.

Kijijini kwetu kuna zahanati kubwa tu ya kanisa, palivyokucha nikapelekwa pale. Fanyiwa vipimo vyote, ila halikuonekana tatizo lolote. Nikapelekwa hospital nyingine, nako majibu yanaonesha Sina tatizo. Ikabidi nirudishwe nyumbani, Mama muda wote majonzi tu.

Nikiwa nimelala kwenye kiti pale sebleni Kisauti akapiga simu. Kwavile sikuwa na hali nzuri, Mama hakuruhusu niongee na simu, akaipokeka yeye.

Kisauti akaulizia mwenye simu yuko wapi? Mama akamwambia nimelala. Kisauti akamuuliza Mama "Hali yake ipoje lakini?". Mama akamjibu kuwa hajisikii vizuri, amelala. Kisauti akacheka sana, alaf akamwambia Mama "Huyo ndio basi tena, hata msisumbuke nae, mtapoteza hela zenu bure". Ile kauli ikamchanganya Mama, ikabidi atake kujua sababu ya Kisauti kusema vile. Kisauti akamjibu "Sikutishi Mama angu, ila kama mna mashamba nyie uzeni tu, maana akiba mliyonayo haitotosha". Na kile kisauti chake, anazidi tu kumpanikisha Bi Mkubwa. Mwisho wa siku akamwambia "Nyie muulizeni mwenyewe anajua vizuri alichofanya, ila nawashauri msijisumbue nae". Akakata simu. Jamaa maneno anayoongea, na kile kisauti chake lazima ukereke.

Kipindi hayo mazungumzo yanaendelea, simu ilikuwa loudspeaker. Baba, Mama na Mimi wote tulikuwa tunayasikia yale mazungumzo, japo ni Mama pekee ndio alikuwa anaongea nae.

Simu ilipokatwa, wote wakawa wamenikodolea macho. Mama akaniuliza "Umefanya nn tena safari hii mwanangu? Mbona wewe huishiwi hizi sekeseke lakini?". Baba akanifyonya, alafu akasema "Mimi sio mtabiri, ila hapa lazima mwanamke anahusika, Yani kama hajatembea na mke wa mtu huyu, sijui"

Nikabaki kimya, namuwaza Kisauti na Mzee Dingi....
Once a lion, always a lion mzee dingi mpaka anapotea kwenye uso wa dunia hawezi kuacha utapeli.
 
8th Portion:

.... Mtaji wa hela taslim aliokuwa nao Mzee Dingi ni milioni 3, japo tulivyopiga mahesabu tulitakiwa walau tuanze na milioni 5. Akasema hakuna shida, tunaweza anzia hiyo, then million mbili ataiongezea baadae. Nilitamani kumuuliza ataitoa wapi hiyo hela ya kuongezea, ila nikaamua kukausha.

Biashara ikaanza. Mkaa nikawa nachukulia Iringa, Mufindi, kuna Kijiji kinaitwa Usokani, huko ndio nikawa nachukulia mzigo. Nikiufikisha town, Mzee Dingi anaukabidhi kwa madalali wake, Kisha anasimamia makusanyo ya hela mpaka mzigo uishe. Ukiisha, narudi tena porini.

Mwanzoni wakati tunaanza, ilikuwa tunaleta trip moja, ila biashara ilivyo changanya, ikawa trip moja ikishafika town ikapokelewa na Mzee Dingi, kule kijijini naanza kukusanya mzigo mwingine. Sometime demand ikiwa kubwa, nilikuwa naenda hadi vijiji vingine kukusanya mzigo, mara nyingi nilipendelea kwenda maeneo ya Nyololo, kuna Kijiji kinaitwa Mzizi. Kutokana na kuzoeleka, ikafikia wakati tunaweza kusanya mzigo wa gharama kubwa hata kama hatuna hiyo hela. Mwanzoni usafiri tulikuwa tunatumia fuso moja ambayo ilibeba gunia 170, ila ikafikia wakati tukawa tunatumia kipisi chenye kubeba gunia 280, na sometime trip moja ingeweza kuwa na vipisi viwili.

Waliosemaga Ex ni kama furushi la miba, hatakiwi kurudiwa hata akija analia, maana ukimpa nafasi lazima atakuchoma tena, hawakukosea. Biashara ikiwa imenoga, vipisi viwili vipo town vinafaulisha mzigo, muda huo nipo kijijini najaza kipisi kingine nacho kiende mjini, Mzee Dingi akanipigia simu, kuwa uhitaji umekuwa mkubwa, hivyo nifanye mchakato wa kipisi kingine (Yani jumla viwe viwili) Kisha niviagize mjini. Kwavile hela ilikuwa haitoshi, iki kipisi nilichokuwa nasimamia muda huo, na kingine ambacho nimeambiwa nikiongeze, vyote ukiachana na gharama za usafirishaji na gharama za barabarani (ushuru, mizani,nk), gharama zingine zote hasa za mkaa wenyewe, kujaza, kushona na kupakia, zikawa ni Kwa Mali kauli, nikiwa naimani tutazilipa pindi mzigo ambao ushafika mjini utakapoisha.

Ila Cha ajabu, mzigo mwingine hadi nao unafiki mjini, ule wa mwanzo hela haijatumwa. Nikimchek Mzee Dingi, sound zinakuwa nyingi. Sikutilia mashaka kabisa. Kwavile hapakuwa na cha kufanya kule kijijini, nikawa nimesogea maeneo ya Mafinga ili kupumzisha mwili. Ila zikapita siku mbili bila kupewa feedback yoyote na Mzee Dingi. Nikimpigia, anasema nitulie atanipigia muda sio mrefu. Ila nikikaa kimya, hanitafuti.

Kule kijijini nao wakaanza kunipigia simu, wanataka hela zao. Nikimpigia Mzee Dingi, akawa hapokei simu zangu. Nikaamua kumfata Dar. Mpaka nafika, bado alikuwa hapokei simu zangu. Kesho yake mapema sana nikaamkia nyumbani kwake. Kufika pale naambiwa pale alishahamaga, kuuliza alipohamia, wanasema hawajui.

Nikajaribu kumpigia kwa namba ngeni. Alivyopokea na kujua ni Mimi, akanikatia simu. Akili ikaniambia nishapigwa!. Kule kijijini nao hawaishi kunipigia simu, na vitisho vikaanza kuwa vingi. Nikaona isiwe kesi, kwavile Mzee Dingi hapokei simu zangu, basi ngoja nianze kumsaka manually kwenye vijiwe vyake vyote. Kote nilimkosa, ila inaonekana kuna mtu akamfikishia taarifa za Mimi kumtafuta.

Akaamua kunipigia simu. Kupokea, namuuliza inakuwaje anafanya mambo ya ajabu kama yale?.

Mzee Dingi: "Sikupanga iwe hivi, ila kuna changamoto ilijitokeza, sikuwa na jinsi"
Analyse: "Hukuwa na jinsi? Wale jamaa wenye mkaa wao kule kijijini nawaambiaje?"
Mzee Dingi: "Wewe ni msomi mjanja apostle, wanakijiji hawawezi kukushinda. Tafuta namna yoyote ya kuwaelezea, au la, wapotezee, maana kule ushaondoka"
Analyse: "Tuachane na wanakijiji, kwahiyo Mimi sina mgao kwenye hela ambayo nimeisotea kule porini?"
Mzee Dingi: "Matatizo yaliyonikuta yanahitaji hela nyingi sana apostle, hii yenyewe unayoiona, bado haijatosha"
Analyse: "Kwahiyo unaniambiaje?"
Mzee Dingi: "Mungu ni wetu sote apostle, riziki yako haiwezi kupotea, itachelewa tu. Nitakuja kulipa, Alafu wewe bado kijana, nguvu na akili unavyo, pambana tu"

Aisee lilinitoka povu la kutosha, mpaka akaamua kukata simu. Nikapiga, akakata. Nikapiga, akakata. Kupiga tena nakuta kaniblock. Sijakaa sawa, yule jamaa mwenye mkaa wake akanipigia simu kutaka kujua kama nimewadhurumu au vipi?. Kila nikimpanga, haelewi. Huyu jamaa alikuwa mrefu, ana shingo ndefu pia. Alaf shingoni kwenye koromeo pamevimba kiasi. Huyu jamaa alikuwa na sauti ndogo/nyembamba sana japo ni mwanaume, hivyo watu wengi walipenda kumuita Kisauti, japo jina lake halisi ni Mbwana. Na Mimi humu nitakuwa natumia jina ilo la Kisauti. Sasa nikataka kuweka ahadi kwa Kisauti ya kulipa, ila nikifikiria hela wanayodai, nikaona sitoweza, maana Mzee Dingi ndio kaamua kunikataa. Kisauti alivyoona nipo kimya, akaamua kuniambia "Umeyataka mwenyewe mdogo wangu, sitolaumiwa kwa lolote nitakalofanya". Nikamuuliza utanifanya nini? Akajibu "Sikwambii, ila nataka ujionee". Kabla sijamjibu, akakata simu.

Nikampotezea!. Zikapita kama wiki mbili, nikiwa naendelea kumtafuta Mzee Dingi bila mafanikio. Nikaanza kupatwa na tatizo la mwili kuchoma choma. Yani inakuwa kama mtu yuko ndani ya mwili wangu, kashika sindano au pini, alafu ananichoma kwa kutokea ndani kuja nje. Ile hali ilianza taratibu sana, ila baada ya muda ikawa mwili mzima nausikia hivyo. Yani inaweza kunitokea kwa mfululizo ndani ya masaa matatu au manne, alafu inapoa kwa nusu saa au zaidi kidogo. Na hapo ikipoa, nakuwa nachomwa kidogo kidogo kwa mbali.

Yani kuna muda naweza kuwa nimelala au kupumzika, ghafla mwili unaanza kuchoma choma mfululizo, najikuta nasimama naanza kuzunguka tu gheto bila kujua nijikune wapi, inabidi nivue nguo,kisha nitumie ukuta kujikuna. Na ubaya yale maumivu yanatokea ndani kuja nje, sina namna ya kuyadhibiti. Kwa hali hiyo nikawa nashinda ndani tu, na ikitokea nahitaji kitu nje, basi mwendo ni kukimbia tu, tena nilikuwa naenda dukani na chenji kamili, ili nisipoteze muda dukani, na nikifika naanza kutoa hela kabla hata sijapewa nilichofata. Maana nilifikiria what if muuza duka kanipa bidhaa kabla sijampa hela alaf mwili ukaanza kuchoma, nikikimbia si wataniitia mwizi?. Just imagine nje watu wanakupiga, na ndani mwili unachoma, nitadeal na maumivu yapi, ya nje au ya ndani? Sikutaka hizo fedhea.Yani kiufupi nikiwa natoka dukani alaf ikatokea nikakutana na mtu anayenidai, angeweza hisi namkimbia yeye, kumbe mwenzie wala nawahi zangu ndani nikajikune ukutani.

Hali ilivyozidi kuwa mbaya, ikabidi niwajulishe home. Mama akaniambia niende. Aisee, sijawahi kusafiri safari chungu kama ile, maana bus ilikuwa ikipita kwenye matuta, hasa yale ya rasta, kwangu inakuwa mateso tupu. Maana narushwa rushwa, huku kwa ndani mwili unachoma.

Mpaka nafika destination ya lile bus, nilikuwa hoi hoi. Alafu kutokea pale, nikapanda kihiace cha kunifikisha kijijini kwetu. Njia nzima nailaani CCM Kwa kutotengeneza barabara, maana hapakuwepo na matuta, ila njia nzima kihiace kinatingishika, kokoto hazina uwiano.

Hali niliyofika nayo nyumbani, hadi bi mkubwa alijikuta chozi linamlenga lenga. Maana sikuwa hata na wiki tokea tatizo lianze, ila tayari uso ulishaanza kupoteza nuru.

Kijijini kwetu kuna zahanati kubwa tu ya kanisa, palivyokucha nikapelekwa pale. Fanyiwa vipimo vyote, ila halikuonekana tatizo lolote. Nikapelekwa hospital nyingine, nako majibu yanaonesha Sina tatizo. Ikabidi nirudishwe nyumbani, Mama muda wote majonzi tu.

Nikiwa nimelala kwenye kiti pale sebleni Kisauti akapiga simu. Kwavile sikuwa na hali nzuri, Mama hakuruhusu niongee na simu, akaipokeka yeye.

Kisauti akaulizia mwenye simu yuko wapi? Mama akamwambia nimelala. Kisauti akamuuliza Mama "Hali yake ipoje lakini?". Mama akamjibu kuwa hajisikii vizuri, amelala. Kisauti akacheka sana, alaf akamwambia Mama "Huyo ndio basi tena, hata msisumbuke nae, mtapoteza hela zenu bure". Ile kauli ikamchanganya Mama, ikabidi atake kujua sababu ya Kisauti kusema vile. Kisauti akamjibu "Sikutishi Mama angu, ila kama mna mashamba nyie uzeni tu, maana akiba mliyonayo haitotosha". Na kile kisauti chake, anazidi tu kumpanikisha Bi Mkubwa. Mwisho wa siku akamwambia "Nyie muulizeni mwenyewe anajua vizuri alichofanya, ila nawashauri msijisumbue nae". Akakata simu. Jamaa maneno anayoongea, na kile kisauti chake lazima ukereke.

Kipindi hayo mazungumzo yanaendelea, simu ilikuwa loudspeaker. Baba, Mama na Mimi wote tulikuwa tunayasikia yale mazungumzo, japo ni Mama pekee ndio alikuwa anaongea nae.

Simu ilipokatwa, wote wakawa wamenikodolea macho. Mama akaniuliza "Umefanya nn tena safari hii mwanangu? Mbona wewe huishiwi hizi sekeseke lakini?". Baba akanifyonya, alafu akasema "Mimi sio mtabiri, ila hapa lazima mwanamke anahusika, Yani kama hajatembea na mke wa mtu huyu, sijui"

Nikabaki kimya, namuwaza Kisauti na Mzee Dingi....
😀😀😀
 
8th Portion:

.... Mtaji wa hela taslim aliokuwa nao Mzee Dingi ni milioni 3, japo tulivyopiga mahesabu tulitakiwa walau tuanze na milioni 5. Akasema hakuna shida, tunaweza anzia hiyo, then million mbili ataiongezea baadae. Nilitamani kumuuliza ataitoa wapi hiyo hela ya kuongezea, ila nikaamua kukausha.

Biashara ikaanza. Mkaa nikawa nachukulia Iringa, Mufindi, kuna Kijiji kinaitwa Usokani, huko ndio nikawa nachukulia mzigo. Nikiufikisha town, Mzee Dingi anaukabidhi kwa madalali wake, Kisha anasimamia makusanyo ya hela mpaka mzigo uishe. Ukiisha, narudi tena porini.

Mwanzoni wakati tunaanza, ilikuwa tunaleta trip moja, ila biashara ilivyo changanya, ikawa trip moja ikishafika town ikapokelewa na Mzee Dingi, kule kijijini naanza kukusanya mzigo mwingine. Sometime demand ikiwa kubwa, nilikuwa naenda hadi vijiji vingine kukusanya mzigo, mara nyingi nilipendelea kwenda maeneo ya Nyololo, kuna Kijiji kinaitwa Mzizi. Kutokana na kuzoeleka, ikafikia wakati tunaweza kusanya mzigo wa gharama kubwa hata kama hatuna hiyo hela. Mwanzoni usafiri tulikuwa tunatumia fuso moja ambayo ilibeba gunia 170, ila ikafikia wakati tukawa tunatumia kipisi chenye kubeba gunia 280, na sometime trip moja ingeweza kuwa na vipisi viwili.

Waliosemaga Ex ni kama furushi la miba, hatakiwi kurudiwa hata akija analia, maana ukimpa nafasi lazima atakuchoma tena, hawakukosea. Biashara ikiwa imenoga, vipisi viwili vipo town vinafaulisha mzigo, muda huo nipo kijijini najaza kipisi kingine nacho kiende mjini, Mzee Dingi akanipigia simu, kuwa uhitaji umekuwa mkubwa, hivyo nifanye mchakato wa kipisi kingine (Yani jumla viwe viwili) Kisha niviagize mjini. Kwavile hela ilikuwa haitoshi, iki kipisi nilichokuwa nasimamia muda huo, na kingine ambacho nimeambiwa nikiongeze, vyote ukiachana na gharama za usafirishaji na gharama za barabarani (ushuru, mizani,nk), gharama zingine zote hasa za mkaa wenyewe, kujaza, kushona na kupakia, zikawa ni Kwa Mali kauli, nikiwa naimani tutazilipa pindi mzigo ambao ushafika mjini utakapoisha.

Ila Cha ajabu, mzigo mwingine hadi nao unafiki mjini, ule wa mwanzo hela haijatumwa. Nikimchek Mzee Dingi, sound zinakuwa nyingi. Sikutilia mashaka kabisa. Kwavile hapakuwa na cha kufanya kule kijijini, nikawa nimesogea maeneo ya Mafinga ili kupumzisha mwili. Ila zikapita siku mbili bila kupewa feedback yoyote na Mzee Dingi. Nikimpigia, anasema nitulie atanipigia muda sio mrefu. Ila nikikaa kimya, hanitafuti.

Kule kijijini nao wakaanza kunipigia simu, wanataka hela zao. Nikimpigia Mzee Dingi, akawa hapokei simu zangu. Nikaamua kumfata Dar. Mpaka nafika, bado alikuwa hapokei simu zangu. Kesho yake mapema sana nikaamkia nyumbani kwake. Kufika pale naambiwa pale alishahamaga, kuuliza alipohamia, wanasema hawajui.

Nikajaribu kumpigia kwa namba ngeni. Alivyopokea na kujua ni Mimi, akanikatia simu. Akili ikaniambia nishapigwa!. Kule kijijini nao hawaishi kunipigia simu, na vitisho vikaanza kuwa vingi. Nikaona isiwe kesi, kwavile Mzee Dingi hapokei simu zangu, basi ngoja nianze kumsaka manually kwenye vijiwe vyake vyote. Kote nilimkosa, ila inaonekana kuna mtu akamfikishia taarifa za Mimi kumtafuta.

Akaamua kunipigia simu. Kupokea, namuuliza inakuwaje anafanya mambo ya ajabu kama yale?.

Mzee Dingi: "Sikupanga iwe hivi, ila kuna changamoto ilijitokeza, sikuwa na jinsi"
Analyse: "Hukuwa na jinsi? Wale jamaa wenye mkaa wao kule kijijini nawaambiaje?"
Mzee Dingi: "Wewe ni msomi mjanja apostle, wanakijiji hawawezi kukushinda. Tafuta namna yoyote ya kuwaelezea, au la, wapotezee, maana kule ushaondoka"
Analyse: "Tuachane na wanakijiji, kwahiyo Mimi sina mgao kwenye hela ambayo nimeisotea kule porini?"
Mzee Dingi: "Matatizo yaliyonikuta yanahitaji hela nyingi sana apostle, hii yenyewe unayoiona, bado haijatosha"
Analyse: "Kwahiyo unaniambiaje?"
Mzee Dingi: "Mungu ni wetu sote apostle, riziki yako haiwezi kupotea, itachelewa tu. Nitakuja kulipa, Alafu wewe bado kijana, nguvu na akili unavyo, pambana tu"

Aisee lilinitoka povu la kutosha, mpaka akaamua kukata simu. Nikapiga, akakata. Nikapiga, akakata. Kupiga tena nakuta kaniblock. Sijakaa sawa, yule jamaa mwenye mkaa wake akanipigia simu kutaka kujua kama nimewadhurumu au vipi?. Kila nikimpanga, haelewi. Huyu jamaa alikuwa mrefu, ana shingo ndefu pia. Alaf shingoni kwenye koromeo pamevimba kiasi. Huyu jamaa alikuwa na sauti ndogo/nyembamba sana japo ni mwanaume, hivyo watu wengi walipenda kumuita Kisauti, japo jina lake halisi ni Mbwana. Na Mimi humu nitakuwa natumia jina ilo la Kisauti. Sasa nikataka kuweka ahadi kwa Kisauti ya kulipa, ila nikifikiria hela wanayodai, nikaona sitoweza, maana Mzee Dingi ndio kaamua kunikataa. Kisauti alivyoona nipo kimya, akaamua kuniambia "Umeyataka mwenyewe mdogo wangu, sitolaumiwa kwa lolote nitakalofanya". Nikamuuliza utanifanya nini? Akajibu "Sikwambii, ila nataka ujionee". Kabla sijamjibu, akakata simu.

Nikampotezea!. Zikapita kama wiki mbili, nikiwa naendelea kumtafuta Mzee Dingi bila mafanikio. Nikaanza kupatwa na tatizo la mwili kuchoma choma. Yani inakuwa kama mtu yuko ndani ya mwili wangu, kashika sindano au pini, alafu ananichoma kwa kutokea ndani kuja nje. Ile hali ilianza taratibu sana, ila baada ya muda ikawa mwili mzima nausikia hivyo. Yani inaweza kunitokea kwa mfululizo ndani ya masaa matatu au manne, alafu inapoa kwa nusu saa au zaidi kidogo. Na hapo ikipoa, nakuwa nachomwa kidogo kidogo kwa mbali.

Yani kuna muda naweza kuwa nimelala au kupumzika, ghafla mwili unaanza kuchoma choma mfululizo, najikuta nasimama naanza kuzunguka tu gheto bila kujua nijikune wapi, inabidi nivue nguo,kisha nitumie ukuta kujikuna. Na ubaya yale maumivu yanatokea ndani kuja nje, sina namna ya kuyadhibiti. Kwa hali hiyo nikawa nashinda ndani tu, na ikitokea nahitaji kitu nje, basi mwendo ni kukimbia tu, tena nilikuwa naenda dukani na chenji kamili, ili nisipoteze muda dukani, na nikifika naanza kutoa hela kabla hata sijapewa nilichofata. Maana nilifikiria what if muuza duka kanipa bidhaa kabla sijampa hela alaf mwili ukaanza kuchoma, nikikimbia si wataniitia mwizi?. Just imagine nje watu wanakupiga, na ndani mwili unachoma, nitadeal na maumivu yapi, ya nje au ya ndani? Sikutaka hizo fedhea.Yani kiufupi nikiwa natoka dukani alaf ikatokea nikakutana na mtu anayenidai, angeweza hisi namkimbia yeye, kumbe mwenzie wala nawahi zangu ndani nikajikune ukutani.

Hali ilivyozidi kuwa mbaya, ikabidi niwajulishe home. Mama akaniambia niende. Aisee, sijawahi kusafiri safari chungu kama ile, maana bus ilikuwa ikipita kwenye matuta, hasa yale ya rasta, kwangu inakuwa mateso tupu. Maana narushwa rushwa, huku kwa ndani mwili unachoma.

Mpaka nafika destination ya lile bus, nilikuwa hoi hoi. Alafu kutokea pale, nikapanda kihiace cha kunifikisha kijijini kwetu. Njia nzima nailaani CCM Kwa kutotengeneza barabara, maana hapakuwepo na matuta, ila njia nzima kihiace kinatingishika, kokoto hazina uwiano.

Hali niliyofika nayo nyumbani, hadi bi mkubwa alijikuta chozi linamlenga lenga. Maana sikuwa hata na wiki tokea tatizo lianze, ila tayari uso ulishaanza kupoteza nuru.

Kijijini kwetu kuna zahanati kubwa tu ya kanisa, palivyokucha nikapelekwa pale. Fanyiwa vipimo vyote, ila halikuonekana tatizo lolote. Nikapelekwa hospital nyingine, nako majibu yanaonesha Sina tatizo. Ikabidi nirudishwe nyumbani, Mama muda wote majonzi tu.

Nikiwa nimelala kwenye kiti pale sebleni Kisauti akapiga simu. Kwavile sikuwa na hali nzuri, Mama hakuruhusu niongee na simu, akaipokeka yeye.

Kisauti akaulizia mwenye simu yuko wapi? Mama akamwambia nimelala. Kisauti akamuuliza Mama "Hali yake ipoje lakini?". Mama akamjibu kuwa hajisikii vizuri, amelala. Kisauti akacheka sana, alaf akamwambia Mama "Huyo ndio basi tena, hata msisumbuke nae, mtapoteza hela zenu bure". Ile kauli ikamchanganya Mama, ikabidi atake kujua sababu ya Kisauti kusema vile. Kisauti akamjibu "Sikutishi Mama angu, ila kama mna mashamba nyie uzeni tu, maana akiba mliyonayo haitotosha". Na kile kisauti chake, anazidi tu kumpanikisha Bi Mkubwa. Mwisho wa siku akamwambia "Nyie muulizeni mwenyewe anajua vizuri alichofanya, ila nawashauri msijisumbue nae". Akakata simu. Jamaa maneno anayoongea, na kile kisauti chake lazima ukereke.

Kipindi hayo mazungumzo yanaendelea, simu ilikuwa loudspeaker. Baba, Mama na Mimi wote tulikuwa tunayasikia yale mazungumzo, japo ni Mama pekee ndio alikuwa anaongea nae.

Simu ilipokatwa, wote wakawa wamenikodolea macho. Mama akaniuliza "Umefanya nn tena safari hii mwanangu? Mbona wewe huishiwi hizi sekeseke lakini?". Baba akanifyonya, alafu akasema "Mimi sio mtabiri, ila hapa lazima mwanamke anahusika, Yani kama hajatembea na mke wa mtu huyu, sijui"

Nikabaki kimya, namuwaza Kisauti na Mzee Dingi....
😂😂😂 Aiseh pole sana
 
Sawa mkuu usijali. Alaf Mimi sio apostle [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ila yule mzee alipatia sana alivyokuambia kuwa una nyota ya kuaminika. Kiukweli mie nikiona ID yako tu huwa akili yangu inanituma kuwa wewe ni mtu mwaminifu, unaejielewa na usie na papara.

Pia nami nina nyota hiyo ya kuaminika, huwezi kuamini nishawahi kununua gari kama 3 hivi bila ya kuwa hata na 100 mfukoni.
 
8th Portion:

.... Mtaji wa hela taslim aliokuwa nao Mzee Dingi ni milioni 3, japo tulivyopiga mahesabu tulitakiwa walau tuanze na milioni 5. Akasema hakuna shida, tunaweza anzia hiyo, then million mbili ataiongezea baadae. Nilitamani kumuuliza ataitoa wapi hiyo hela ya kuongezea, ila nikaamua kukausha.

Biashara ikaanza. Mkaa nikawa nachukulia Iringa, Mufindi, kuna Kijiji kinaitwa Usokani, huko ndio nikawa nachukulia mzigo. Nikiufikisha town, Mzee Dingi anaukabidhi kwa madalali wake, Kisha anasimamia makusanyo ya hela mpaka mzigo uishe. Ukiisha, narudi tena porini.

Mwanzoni wakati tunaanza, ilikuwa tunaleta trip moja, ila biashara ilivyo changanya, ikawa trip moja ikishafika town ikapokelewa na Mzee Dingi, kule kijijini naanza kukusanya mzigo mwingine. Sometime demand ikiwa kubwa, nilikuwa naenda hadi vijiji vingine kukusanya mzigo, mara nyingi nilipendelea kwenda maeneo ya Nyololo, kuna Kijiji kinaitwa Mzizi. Kutokana na kuzoeleka, ikafikia wakati tunaweza kusanya mzigo wa gharama kubwa hata kama hatuna hiyo hela. Mwanzoni usafiri tulikuwa tunatumia fuso moja ambayo ilibeba gunia 170, ila ikafikia wakati tukawa tunatumia kipisi chenye kubeba gunia 280, na sometime trip moja ingeweza kuwa na vipisi viwili.

Waliosemaga Ex ni kama furushi la miba, hatakiwi kurudiwa hata akija analia, maana ukimpa nafasi lazima atakuchoma tena, hawakukosea. Biashara ikiwa imenoga, vipisi viwili vipo town vinafaulisha mzigo, muda huo nipo kijijini najaza kipisi kingine nacho kiende mjini, Mzee Dingi akanipigia simu, kuwa uhitaji umekuwa mkubwa, hivyo nifanye mchakato wa kipisi kingine (Yani jumla viwe viwili) Kisha niviagize mjini. Kwavile hela ilikuwa haitoshi, iki kipisi nilichokuwa nasimamia muda huo, na kingine ambacho nimeambiwa nikiongeze, vyote ukiachana na gharama za usafirishaji na gharama za barabarani (ushuru, mizani,nk), gharama zingine zote hasa za mkaa wenyewe, kujaza, kushona na kupakia, zikawa ni Kwa Mali kauli, nikiwa naimani tutazilipa pindi mzigo ambao ushafika mjini utakapoisha.

Ila Cha ajabu, mzigo mwingine hadi nao unafiki mjini, ule wa mwanzo hela haijatumwa. Nikimchek Mzee Dingi, sound zinakuwa nyingi. Sikutilia mashaka kabisa. Kwavile hapakuwa na cha kufanya kule kijijini, nikawa nimesogea maeneo ya Mafinga ili kupumzisha mwili. Ila zikapita siku mbili bila kupewa feedback yoyote na Mzee Dingi. Nikimpigia, anasema nitulie atanipigia muda sio mrefu. Ila nikikaa kimya, hanitafuti.

Kule kijijini nao wakaanza kunipigia simu, wanataka hela zao. Nikimpigia Mzee Dingi, akawa hapokei simu zangu. Nikaamua kumfata Dar. Mpaka nafika, bado alikuwa hapokei simu zangu. Kesho yake mapema sana nikaamkia nyumbani kwake. Kufika pale naambiwa pale alishahamaga, kuuliza alipohamia, wanasema hawajui.

Nikajaribu kumpigia kwa namba ngeni. Alivyopokea na kujua ni Mimi, akanikatia simu. Akili ikaniambia nishapigwa!. Kule kijijini nao hawaishi kunipigia simu, na vitisho vikaanza kuwa vingi. Nikaona isiwe kesi, kwavile Mzee Dingi hapokei simu zangu, basi ngoja nianze kumsaka manually kwenye vijiwe vyake vyote. Kote nilimkosa, ila inaonekana kuna mtu akamfikishia taarifa za Mimi kumtafuta.

Akaamua kunipigia simu. Kupokea, namuuliza inakuwaje anafanya mambo ya ajabu kama yale?.

Mzee Dingi: "Sikupanga iwe hivi, ila kuna changamoto ilijitokeza, sikuwa na jinsi"
Analyse: "Hukuwa na jinsi? Wale jamaa wenye mkaa wao kule kijijini nawaambiaje?"
Mzee Dingi: "Wewe ni msomi mjanja apostle, wanakijiji hawawezi kukushinda. Tafuta namna yoyote ya kuwaelezea, au la, wapotezee, maana kule ushaondoka"
Analyse: "Tuachane na wanakijiji, kwahiyo Mimi sina mgao kwenye hela ambayo nimeisotea kule porini?"
Mzee Dingi: "Matatizo yaliyonikuta yanahitaji hela nyingi sana apostle, hii yenyewe unayoiona, bado haijatosha"
Analyse: "Kwahiyo unaniambiaje?"
Mzee Dingi: "Mungu ni wetu sote apostle, riziki yako haiwezi kupotea, itachelewa tu. Nitakuja kulipa, Alafu wewe bado kijana, nguvu na akili unavyo, pambana tu"

Aisee lilinitoka povu la kutosha, mpaka akaamua kukata simu. Nikapiga, akakata. Nikapiga, akakata. Kupiga tena nakuta kaniblock. Sijakaa sawa, yule jamaa mwenye mkaa wake akanipigia simu kutaka kujua kama nimewadhurumu au vipi?. Kila nikimpanga, haelewi. Huyu jamaa alikuwa mrefu, ana shingo ndefu pia. Alaf shingoni kwenye koromeo pamevimba kiasi. Huyu jamaa alikuwa na sauti ndogo/nyembamba sana japo ni mwanaume, hivyo watu wengi walipenda kumuita Kisauti, japo jina lake halisi ni Mbwana. Na Mimi humu nitakuwa natumia jina ilo la Kisauti. Sasa nikataka kuweka ahadi kwa Kisauti ya kulipa, ila nikifikiria hela wanayodai, nikaona sitoweza, maana Mzee Dingi ndio kaamua kunikataa. Kisauti alivyoona nipo kimya, akaamua kuniambia "Umeyataka mwenyewe mdogo wangu, sitolaumiwa kwa lolote nitakalofanya". Nikamuuliza utanifanya nini? Akajibu "Sikwambii, ila nataka ujionee". Kabla sijamjibu, akakata simu.

Nikampotezea!. Zikapita kama wiki mbili, nikiwa naendelea kumtafuta Mzee Dingi bila mafanikio. Nikaanza kupatwa na tatizo la mwili kuchoma choma. Yani inakuwa kama mtu yuko ndani ya mwili wangu, kashika sindano au pini, alafu ananichoma kwa kutokea ndani kuja nje. Ile hali ilianza taratibu sana, ila baada ya muda ikawa mwili mzima nausikia hivyo. Yani inaweza kunitokea kwa mfululizo ndani ya masaa matatu au manne, alafu inapoa kwa nusu saa au zaidi kidogo. Na hapo ikipoa, nakuwa nachomwa kidogo kidogo kwa mbali.

Yani kuna muda naweza kuwa nimelala au kupumzika, ghafla mwili unaanza kuchoma choma mfululizo, najikuta nasimama naanza kuzunguka tu gheto bila kujua nijikune wapi, inabidi nivue nguo,kisha nitumie ukuta kujikuna. Na ubaya yale maumivu yanatokea ndani kuja nje, sina namna ya kuyadhibiti. Kwa hali hiyo nikawa nashinda ndani tu, na ikitokea nahitaji kitu nje, basi mwendo ni kukimbia tu, tena nilikuwa naenda dukani na chenji kamili, ili nisipoteze muda dukani, na nikifika naanza kutoa hela kabla hata sijapewa nilichofata. Maana nilifikiria what if muuza duka kanipa bidhaa kabla sijampa hela alaf mwili ukaanza kuchoma, nikikimbia si wataniitia mwizi?. Just imagine nje watu wanakupiga, na ndani mwili unachoma, nitadeal na maumivu yapi, ya nje au ya ndani? Sikutaka hizo fedhea.Yani kiufupi nikiwa natoka dukani alaf ikatokea nikakutana na mtu anayenidai, angeweza hisi namkimbia yeye, kumbe mwenzie wala nawahi zangu ndani nikajikune ukutani.

Hali ilivyozidi kuwa mbaya, ikabidi niwajulishe home. Mama akaniambia niende. Aisee, sijawahi kusafiri safari chungu kama ile, maana bus ilikuwa ikipita kwenye matuta, hasa yale ya rasta, kwangu inakuwa mateso tupu. Maana narushwa rushwa, huku kwa ndani mwili unachoma.

Mpaka nafika destination ya lile bus, nilikuwa hoi hoi. Alafu kutokea pale, nikapanda kihiace cha kunifikisha kijijini kwetu. Njia nzima nailaani CCM Kwa kutotengeneza barabara, maana hapakuwepo na matuta, ila njia nzima kihiace kinatingishika, kokoto hazina uwiano.

Hali niliyofika nayo nyumbani, hadi bi mkubwa alijikuta chozi linamlenga lenga. Maana sikuwa hata na wiki tokea tatizo lianze, ila tayari uso ulishaanza kupoteza nuru.

Kijijini kwetu kuna zahanati kubwa tu ya kanisa, palivyokucha nikapelekwa pale. Fanyiwa vipimo vyote, ila halikuonekana tatizo lolote. Nikapelekwa hospital nyingine, nako majibu yanaonesha Sina tatizo. Ikabidi nirudishwe nyumbani, Mama muda wote majonzi tu.

Nikiwa nimelala kwenye kiti pale sebleni Kisauti akapiga simu. Kwavile sikuwa na hali nzuri, Mama hakuruhusu niongee na simu, akaipokeka yeye.

Kisauti akaulizia mwenye simu yuko wapi? Mama akamwambia nimelala. Kisauti akamuuliza Mama "Hali yake ipoje lakini?". Mama akamjibu kuwa hajisikii vizuri, amelala. Kisauti akacheka sana, alaf akamwambia Mama "Huyo ndio basi tena, hata msisumbuke nae, mtapoteza hela zenu bure". Ile kauli ikamchanganya Mama, ikabidi atake kujua sababu ya Kisauti kusema vile. Kisauti akamjibu "Sikutishi Mama angu, ila kama mna mashamba nyie uzeni tu, maana akiba mliyonayo haitotosha". Na kile kisauti chake, anazidi tu kumpanikisha Bi Mkubwa. Mwisho wa siku akamwambia "Nyie muulizeni mwenyewe anajua vizuri alichofanya, ila nawashauri msijisumbue nae". Akakata simu. Jamaa maneno anayoongea, na kile kisauti chake lazima ukereke.

Kipindi hayo mazungumzo yanaendelea, simu ilikuwa loudspeaker. Baba, Mama na Mimi wote tulikuwa tunayasikia yale mazungumzo, japo ni Mama pekee ndio alikuwa anaongea nae.

Simu ilipokatwa, wote wakawa wamenikodolea macho. Mama akaniuliza "Umefanya nn tena safari hii mwanangu? Mbona wewe huishiwi hizi sekeseke lakini?". Baba akanifyonya, alafu akasema "Mimi sio mtabiri, ila hapa lazima mwanamke anahusika, Yani kama hajatembea na mke wa mtu huyu, sijui"

Nikabaki kimya, namuwaza Kisauti na Mzee Dingi....
Aisee pole sana,ila imeishia patamu jaman
 
Back
Top Bottom