Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine!!! Ila ndo tushasoma lkn.
👊👊👊Moja ya nondo nzito kuibeba.......hakika vijana tunamiss wazee kama hawa maishani mwetuView attachment 2574054
Mbona mbali sana...weka basi kipengele cha ticha tu tuone kama ulipata laana au vpKesho after iftar mkuu 😅
Ngoja twende nao mdogo mdogo, wataelewa tu 😅😅😅daaah humu ukijitusu ulete story sasa mtunzi unakuwa kama mtumwa, huna kazi nyingine wewe ni kulete story tu.
Wapeni nafsi watunzi nao wana majukumu yao, wanhitaji kurefresh hata kuinatarct na watu wao humu.
Ukionekana online na hujapost mzigo basi unaonekana kero au unadharau wapenda hadith.
Analyse hajawahi acha hadithi njiani.
Tayari mkuu
Apostle kuna muujiza huku 😅13th Portion:
... Sikuwa na kitu nilichoweza kufanya kwa wakati ule. Hata kama ningesema nimbembeleze, still isingefanya kazi, maana sijui dhamira yake halisi ni ipi.
Sikutaka hata kulala pale. Nikaamua kurudi gheto kwangu, PS4 yake nikamuacha nayo.
Njia nzima kichwa kimezongwa na mawazo hasa juu ya yale mazungumzo na yule Mzee. Kuna muda unaweza ukawa umezungukwa na watu wengi, alaf wasiwe na faida, na wale wachache wenye faida pia usiweze kuwatambua. Kutwa nalalamika maisha magumu, michongo hakuna, alaf watu wenye uwezo wa kunipa michongo ndio nawapotezea, Kisha nakumbatia wasio na umuhimu.
Usingizi ulinipaa kabisa. Niliwaza mengi sana, kiasi kwamba nikajikuta namtumia msg yule Mzee kuomba kuonana nae tena siku inayofuata. Sikutegemea anijibu muda ule ule, maana ilikuwa ni karibia saa nane kasoro. Niliendelea kuwaza mambo tofauti tofauti mpaka nilipopitiwa na usingizi.
***** ****** ****** ******
Asubuhi niliamshwa na mlio wa simu yangu, iliyokuwa ikiita. Kuiangalia nakuta Mshua ndio anapiga. Sijui kwanini, ila nilishtuka sana. Nikajikuta naogopa kuipokea ile simu, maana najiuliza anataka kuniambia nini?. Yule Mzee amemwambia kama tumeonana? Au nikipokea nitaweza kuongea na comfortable?. Ushawahi kufanya jambo fulani la aibu sana, alafu ukutane na mtu au watu wanaolifahamu, huwa unapoteza ule uchangamfu mbele yao. Hata katika story utakazopiga nao, wakicheka utahisi wanakucheka ile aibu yako. Hiyo hali ndio nilikuwa najihisi muda huo wakati Mshua anapiga. Kwa mara ya kwanza nikashindwa kupokea simu ya Mshua. Ikaita hadi ikakata.
Nikiwa bado nipo pale pale kitandani, simu ikaanza kuita tena. Nilishtuka kana kwamba nimepigwa shoti ya umeme. Nilishusha pumzi za amani baada ya kuona jina la mpigaji. Ni yule Mzee ndio alikuwa ananipigia. Niliipokea, tukaongea mambo kadhaa, ila akaniambia Kwa hiyo siku hatokuwa na nafasi, lakini pia hata siku zinazofata, bado angekuwa busy. Hivyo akashauri kama alivyoniambia jana, kuwa wik end ndio ratiba yake inakuwa wazi. Tukakubaliana niende tena kule kule shambani kwake, siku ya jumamosi.
Baada ya kukata simu, mawazo yakanirudia tena. Picha ikanijia, ni Kwa namna gani masaa 24 yanaweza kubadili kila kitu. Maana ni ndani ya masaa 24, kutoka kuwa mtu anayeongea na Baba yake kwa vicheko na bashasha, hadi kuanza kumuogopa.
Baada ya masaa kadhaa ya kujivuta vuta pale kitandani, nikaanza kutafakari siku yangu niipeleke vipi. Unajua tatizo la kuwa jobless, ni kwamba unakuwa na muda mwingi sana, ila vitu vya maana vya kufanya ndio hakuna.
Baada ya kuwaza sana, nikaona ngoja niende kule maeneo ya katikati ya jiji, nikamtafute Mzee Dingi. Jamaa alitembea na karibia million 15, huku pakiwa na karibia million 6 ya kina Kisauti, ambayo hakuitolea jasho kabisa. Mawazo yakaniambia nimtafute walau nipate mgao wangu, maana tayari nishatumikia adhabu.
Nikasogea hadi maeneo ya Samora, ila hakuwepo. Nikatembelea vijiwe vyake vyote ila nikaambulia patupu, sielewi nampatia wapi. Kwenye simu bado kaniblock. Nikafikiria kwenda kwa Shani, ila nikaona tutaenda kulumbana, alaf ugomvi uzidi kuwa mkubwa. Nikajaribu kumpigia yule mpenzi wangu, nikakuta bado kaniblock. Nikaamua kurudi zangu home.
** * ***
Zilipita kama siku mbili hivi, Mzee Dingi akanipigia simu.
Mzee Dingi: "Uko wapi Apostle?"
Analyse: "Nipo gheto, vipi?"
Mzee Dingi: "Najua bado una hasira, ila wanaume hatuwekagi vinyongo, njoo tufanye kazi"
Analyse: "Nyie fanyeni tu mtajirike, Mimi Sina mpango na hizo kazi zenu"
Mzee Dingi: "Dogo mambo hayaendi hivyo, hakuna tuzo kwa ajili ya watu wanaopata hela kwa shida. Kazi zipo nyingi, utapata hela, na utasahau habari ya ilo deni unalonidai"
Analyse: "Siwezi fanya kazi alaf nimfaidishe mtu mwingine, nyie fanyeni tu ambao mnawezana"
Mzee Dingi: "Ile ilitokea tu, kwasababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Safari hii tutakuwa mguu kwa mguu apostle"
Nikajifikiria kwa muda kidogo, nafsi ikawa mguu nje mguu ndani, Sina mchongo town, bills nitazilipa vipi?
Nikamuuliza, "Kuna dili gani sasa hivi?"
Mzee Dingi: "Hayo sio mambo yakuongelea kwenye simu, kesho njoo ofisini tujadiliane kwa kina"
Analyse: "Sina nauli, kama hatuwezi kuongea kwenye simu, Mimi siji"
Hakunijibu kitu, akakata simu. Alafu baada ya kama dakika tatu, ikaingia elfu sabini kwenye tigopesa toka kwa Mzee Dingi, Kisha akaniandikia msg.
"Kesho fanya juu chini uje Apostle. Usiende makao makuu, njoo tawi la kinondoni"
Nikamjibu "Poa"
Unajua kupambana kunaumiza, ila kukata tamaa kunaumiza zaidi. Maana aliyekata tamaa hana dira, anaweza kujikuta anafanya mambo ambayo hakuwahi kutarajia. Story na yule Mzee zilinifanya nikajiona hopeless sana. Nikajikuta nimeridhia kwa moyo mmoja kujiunga na kina Mzee Dingi.
. ***** ***** ***** ******
Kesho yake nikatimba pande za Kino, nikakuta timu ya watu watatu, Mzee Dingi akafanya utambulisho. Nikajiunga nao rasmi.
Tulijadili mipango kadhaa, na tokea siku ile tukaanza kupiga dili kulingana na zinavyokuja. Siwezi elezea in details ni kwanma gani tulikuwa tunafanikisha hizo deals, ni watu gani tuliwapiga au hata kuyataja hayo madili, maana sio lengo la story lakini pia huwezi jua nani anasoma, nisijekuamsha hasira zilizolala.
Tulikuwa tunahama vijiwe kadiri tunavyopiga dili, ili kuepuka kukutana na wale tunaowapiga. Wengi tuliokuwa tunawapiga, michongo yote ilikuwa based on coincidences, ndio maana baada ya kuspend time sana na kina Mzee Dingi, I will never ever believe in coincidence, NEVER.
Baada ya kama miezi miwili au mitatu, Mzee Dingi akaniomba tukutane wawili tu, Mimi na yeye. Tulikutana baa maeneo ya buguruni.
Mzee Dingi: "Apostle kuna mtu anataka kukutana na wewe. Kuna dili limejitokeza"
Analyse: "Ni nani huyo? Na kwanini atake kukutana na Mimi?"atake
Mzee Dingi: "Huyu mtu shoo zake sio ndogo ndogo Apostle. Dili zake zote ni mikia ya kondoo"
Analyse: "Mikia ya kondoo kivipi?"
Mzee Dingi: "Huyu kwa mwaka akipiga dili nyingi ni nne, ila mkwanja unaopatikana hapo, unaweza kwenda likizo muda mrefu, tena kwa mtoto kama wewe, unaweza Kaa hata mwaka bila stress ya kipato, ni matumizi tu"
Analyse: "Duh anaitwa nani huyo Mzee?"
Mzee Dingi: "Jina lake la kazi tunamuita Kesho Yetu"
Analyse: "Kwanini sasa anataka kuonana na Mimi?"
Mzee Dingi: "Wewe fanya mpango kesho tuonane nae pale Kinondoni, kuna dili analeta, linahitaji watu kadhaa, na wewe ametaka uwepo"
Analyse: "Ananijua kwani?"
Mzee Dingi: " Ndio anakujua, ameona kazi kadhaa ulizoshiriki, uchangamfu na usharp wako ndio anautaka"
Nikaguna pale, ila mwisho wa siku tukakubaliana, kesho yake tukutane pale Kino...
***** ****** ****** *****
Kesho yake asubuhi na mapema nikatimba Kinondoni Manyanya. Nikamcheki Mzee Dingi, akanielekeza walipokuwa wamekaa. Yupo yeye, mwanasheria feki, na Mzee mwingine ambae ndio ilikuwa mara ya kwanza namuona, kwa jina la kazi alikuwa anafahamika kama Kidevu.
Kitu kingine nilichonote, hawa jamaa wote hakuna aliyekuwa anafahamika kwa jina lake halisi. Na hiyo ndio sababu ilifanya Mimi niwaache waendelee kuniita apostle. Na kingine hakuna aliyekuwa anajulikana anapokaa. Kiufupi, ingetokea mmoja akakamatwa, angeishia kutaja majina ya apostle, Mzee Dingi, Kidevu au Kesho Yetu. Akiambiwa akaoneshe wanapokaa hao watu, wangezunguka Dar nzima.
Baada ya utambulisho. Mchongo mzima ukawekwa mezani. Kulikuwa na mwalim mstaafu ametoka kuchukua mafao yake. Yule mwalim alikuwa anahitaji eneo kubwa kwa ajili ya mradi wake wa green house aliotaka kuuanzisha. Lakini pia, alikuwa anahitaji vifaa kwa ajili ya umwagiliaji, na kuchimbiwa kisima kwenye ilo eneo atakalo nunua. Sasa mpango ilikuwa apigwe kwenye eneo, alafu dili likisha kamilika, apigwe kwenye vifaa na uchimbaji.
Mzee Dingi yeye alitakiwa kucheza kama dalali wa eneo linalouzwa, mwanasheria feki na yule Mzee Kidevu, wao wawe majirani, Mimi nikaambiwa niwe kama afisa mtendaji au mwenyekiti wa kile Kijiji. Mzee Dingi ananiambia:
"Wewe apostle inabidi uwe mtendaji wa kile Kijiji. Unajua watendaji wengi ni vijana na wasomi. Ni rahisi yule Mama kuamini"
Nikabaki na mwangalia tu. Akaendelea
"Yule Mama tukishamaliza kuuziana nae kiwanja, itabidi hapo hapo wewe (Mimi) kama mtendaji umwambie unaweza kumsaidia kutafuta kampuni ya uchimbaji visima, na kuweka set up nzima ya kila kitu kwa ajili ya project yake".
"Yani inabidi tukimaliza tu kulipana hela za kiwanja, malipo ya hizo process zingine yafatie. Kuna watu tutakuunganisha nao ambao ndio utaendelea nao kwenye hiyo nngwe ya pili"
Wakati tunaendelea kuongea pale. Kuna Mzee mwingine akaja, yuko smart, kabeba begi muundo wa briefcase au zile za kubebea laptop. Yule Mzee sidhani kama kuna mhuri ambao hana. Kibriefcase chake Kiko full, mihuri, Karatasi, Calculator nk. Akatoa mihuri kadhaa akaiweka mezani. Eneo ambalo alitakiwa akauziwe yule mstaafu, lilikuwa vigwaza. Huyu Mzee smart aliyeongezeka, ndio Mzee Dingi akanitambulisha kwake kama 'Kesho Yetu'. Huyu ndio alikuwa mastermind wa huu mchongo wote, na ndiye aliyetakiwa kuact kama muuzaji wa eneo. Na Kwa mujibu wao, tulitarajia kati ya million 50 mpaka 70, kutegemeana na namna tutakavyofatisha maelekezo ya Mzee Kesho Yetu.
Kila kitu kikawekwa sawa, then yule mstaafu akapigiwa simu, na makubaliano yakafikiwa kuwa kesho akalione lile eneo.
Unajua sometime unaweza Sikia story mtu katapeliwa,alafu ukaanza kumcheka na kumuona mjinga, ila huyu Mzee Kesho Yetu alinibadilisha mtazamo wangu. Mtu akitapeliwa, usimlaumu sana, peleka sifa kwa yule aliyemtapeli. Watu wana mahesabu makali sana, jinsi huyu Mzee Kesho Yetu alivyokuwa anapanga mambo, accuracy yake ni almost 100%. Kinachotakiwa ni kufatisha maelekezo yake tu.
Na hata dili nyingi ndogo ndogo tulizokuwa tunafanya na kina Mzee Dingi, zilikuwa zinatoka kwake zikiwa na full deatils ya kuzipush. Yeye alikuwa anapewa percent fulani ya mgao, alikuwa hashiriki. Ukiona kashiriki, basi ilo dili liko very serious, na target sio chini ya million 50. Na hata hii deal nilidhani usharp na usmart wangu ndio ulifanya anielewe na kuniunganisha kama jinsi Mzee Dingi alivyoniambia, lakin kumbe alikuwa na sababu ya tofauti kabisa. Kitu ambacho sikuwahi kukifikiria kabisa, ila yeye kwa upande wake alishakifikiria miezi mingi iliyopita. Na jibu alilipata ni "Apostle". Nilikuwa funguo yake bila hata ya Mimi mwenyewe kujua.
Tulivyoagana, wakati wengine washaanza kuondoka, nikamsimamisha Mzee Dingi.
Analyse: "Mzee hii deal inahusisha sura ngeni nyingi, na pia hela yake ni ndefu, kuna kila dalili ya kudhurumiwa hapa"
Mzee Dingi: "Apostle unaongea nini wewe?. Hakuna wa kukudhurumu hapa"
Nikamsikiliza tu, lakini sikuwa na amani kabisa.
Tukaagana nikaamsha. Mida ya jioni jioni, Mzee Dingi akaniwekea laki mbili kwenye simu. Kisha akanipigia
Mzee Dingi: "Apostle najua utakuwa na uhitaji wa hela, chukua hiyo, piga ua kesho inabidi utokee"
Analyse: "Tunakutania wapi?"
Mzee Dingi: "Wewe na wale wengine mtatangulia asubuhi sana. Mimi nitakuja na yule mlengwa baadae."
Analyse: "Poa poa"
Mzee Dingi: "Maelezo ya ziada utayapata kule kule, hakikisha unakuwa smart sana, usisahau begi lako"
Analyse: "Sawa nimeelewa "
Alivyokata simu tu, Shani akanipigia
Shani: "Uko wapi we Mtu?"
Analyse: "Nipo gheto tu"
Shani: "Naona umenisusa tokea siku ile. Mimi nishakumiss"
Analyse: "Me nipo"
Shani: "Unaweza kuja kwangu muda huu? "
Analyse: "Poa nakuja"
Shani: "Ndio maana nakupenda, huwekagi vitu rohoni. Haya njoo nakusubiri"
Nikaenda kuoga, ili niende.. ..
Khaaa!!!!! Mbon'fupi sana? [emoji17]13th Portion:
... Sikuwa na kitu nilichoweza kufanya kwa wakati ule. Hata kama ningesema nimbembeleze, still isingefanya kazi, maana sijui dhamira yake halisi ni ipi.
Sikutaka hata kulala pale. Nikaamua kurudi gheto kwangu, PS4 yake nikamuacha nayo.
Njia nzima kichwa kimezongwa na mawazo hasa juu ya yale mazungumzo na yule Mzee. Kuna muda unaweza ukawa umezungukwa na watu wengi, alaf wasiwe na faida, na wale wachache wenye faida pia usiweze kuwatambua. Kutwa nalalamika maisha magumu, michongo hakuna, alaf watu wenye uwezo wa kunipa michongo ndio nawapotezea, Kisha nakumbatia wasio na umuhimu.
Usingizi ulinipaa kabisa. Niliwaza mengi sana, kiasi kwamba nikajikuta namtumia msg yule Mzee kuomba kuonana nae tena siku inayofuata. Sikutegemea anijibu muda ule ule, maana ilikuwa ni karibia saa nane kasoro. Niliendelea kuwaza mambo tofauti tofauti mpaka nilipopitiwa na usingizi.
***** ****** ****** ******
Asubuhi niliamshwa na mlio wa simu yangu, iliyokuwa ikiita. Kuiangalia nakuta Mshua ndio anapiga. Sijui kwanini, ila nilishtuka sana. Nikajikuta naogopa kuipokea ile simu, maana najiuliza anataka kuniambia nini?. Yule Mzee amemwambia kama tumeonana? Au nikipokea nitaweza kuongea na comfortable?. Ushawahi kufanya jambo fulani la aibu sana, alafu ukutane na mtu au watu wanaolifahamu, huwa unapoteza ule uchangamfu mbele yao. Hata katika story utakazopiga nao, wakicheka utahisi wanakucheka ile aibu yako. Hiyo hali ndio nilikuwa najihisi muda huo wakati Mshua anapiga. Kwa mara ya kwanza nikashindwa kupokea simu ya Mshua. Ikaita hadi ikakata.
Nikiwa bado nipo pale pale kitandani, simu ikaanza kuita tena. Nilishtuka kana kwamba nimepigwa shoti ya umeme. Nilishusha pumzi za amani baada ya kuona jina la mpigaji. Ni yule Mzee ndio alikuwa ananipigia. Niliipokea, tukaongea mambo kadhaa, ila akaniambia Kwa hiyo siku hatokuwa na nafasi, lakini pia hata siku zinazofata, bado angekuwa busy. Hivyo akashauri kama alivyoniambia jana, kuwa wik end ndio ratiba yake inakuwa wazi. Tukakubaliana niende tena kule kule shambani kwake, siku ya jumamosi.
Baada ya kukata simu, mawazo yakanirudia tena. Picha ikanijia, ni Kwa namna gani masaa 24 yanaweza kubadili kila kitu. Maana ni ndani ya masaa 24, kutoka kuwa mtu anayeongea na Baba yake kwa vicheko na bashasha, hadi kuanza kumuogopa.
Baada ya masaa kadhaa ya kujivuta vuta pale kitandani, nikaanza kutafakari siku yangu niipeleke vipi. Unajua tatizo la kuwa jobless, ni kwamba unakuwa na muda mwingi sana, ila vitu vya maana vya kufanya ndio hakuna.
Baada ya kuwaza sana, nikaona ngoja niende kule maeneo ya katikati ya jiji, nikamtafute Mzee Dingi. Jamaa alitembea na karibia million 15, huku pakiwa na karibia million 6 ya kina Kisauti, ambayo hakuitolea jasho kabisa. Mawazo yakaniambia nimtafute walau nipate mgao wangu, maana tayari nishatumikia adhabu.
Nikasogea hadi maeneo ya Samora, ila hakuwepo. Nikatembelea vijiwe vyake vyote ila nikaambulia patupu, sielewi nampatia wapi. Kwenye simu bado kaniblock. Nikafikiria kwenda kwa Shani, ila nikaona tutaenda kulumbana, alaf ugomvi uzidi kuwa mkubwa. Nikajaribu kumpigia yule mpenzi wangu, nikakuta bado kaniblock. Nikaamua kurudi zangu home.
** * ***
Zilipita kama siku mbili hivi, Mzee Dingi akanipigia simu.
Mzee Dingi: "Uko wapi Apostle?"
Analyse: "Nipo gheto, vipi?"
Mzee Dingi: "Najua bado una hasira, ila wanaume hatuwekagi vinyongo, njoo tufanye kazi"
Analyse: "Nyie fanyeni tu mtajirike, Mimi Sina mpango na hizo kazi zenu"
Mzee Dingi: "Dogo mambo hayaendi hivyo, hakuna tuzo kwa ajili ya watu wanaopata hela kwa shida. Kazi zipo nyingi, utapata hela, na utasahau habari ya ilo deni unalonidai"
Analyse: "Siwezi fanya kazi alaf nimfaidishe mtu mwingine, nyie fanyeni tu ambao mnawezana"
Mzee Dingi: "Ile ilitokea tu, kwasababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Safari hii tutakuwa mguu kwa mguu apostle"
Nikajifikiria kwa muda kidogo, nafsi ikawa mguu nje mguu ndani, Sina mchongo town, bills nitazilipa vipi?
Nikamuuliza, "Kuna dili gani sasa hivi?"
Mzee Dingi: "Hayo sio mambo yakuongelea kwenye simu, kesho njoo ofisini tujadiliane kwa kina"
Analyse: "Sina nauli, kama hatuwezi kuongea kwenye simu, Mimi siji"
Hakunijibu kitu, akakata simu. Alafu baada ya kama dakika tatu, ikaingia elfu sabini kwenye tigopesa toka kwa Mzee Dingi, Kisha akaniandikia msg.
"Kesho fanya juu chini uje Apostle. Usiende makao makuu, njoo tawi la kinondoni"
Nikamjibu "Poa"
Unajua kupambana kunaumiza, ila kukata tamaa kunaumiza zaidi. Maana aliyekata tamaa hana dira, anaweza kujikuta anafanya mambo ambayo hakuwahi kutarajia. Story na yule Mzee zilinifanya nikajiona hopeless sana. Nikajikuta nimeridhia kwa moyo mmoja kujiunga na kina Mzee Dingi.
. ***** ***** ***** ******
Kesho yake nikatimba pande za Kino, nikakuta timu ya watu watatu, Mzee Dingi akafanya utambulisho. Nikajiunga nao rasmi.
Tulijadili mipango kadhaa, na tokea siku ile tukaanza kupiga dili kulingana na zinavyokuja. Siwezi elezea in details ni kwanma gani tulikuwa tunafanikisha hizo deals, ni watu gani tuliwapiga au hata kuyataja hayo madili, maana sio lengo la story lakini pia huwezi jua nani anasoma, nisijekuamsha hasira zilizolala.
Tulikuwa tunahama vijiwe kadiri tunavyopiga dili, ili kuepuka kukutana na wale tunaowapiga. Wengi tuliokuwa tunawapiga, michongo yote ilikuwa based on coincidences, ndio maana baada ya kuspend time sana na kina Mzee Dingi, I will never ever believe in coincidence, NEVER.
Baada ya kama miezi miwili au mitatu, Mzee Dingi akaniomba tukutane wawili tu, Mimi na yeye. Tulikutana baa maeneo ya buguruni.
Mzee Dingi: "Apostle kuna mtu anataka kukutana na wewe. Kuna dili limejitokeza"
Analyse: "Ni nani huyo? Na kwanini atake kukutana na Mimi?"atake
Mzee Dingi: "Huyu mtu shoo zake sio ndogo ndogo Apostle. Dili zake zote ni mikia ya kondoo"
Analyse: "Mikia ya kondoo kivipi?"
Mzee Dingi: "Huyu kwa mwaka akipiga dili nyingi ni nne, ila mkwanja unaopatikana hapo, unaweza kwenda likizo muda mrefu, tena kwa mtoto kama wewe, unaweza Kaa hata mwaka bila stress ya kipato, ni matumizi tu"
Analyse: "Duh anaitwa nani huyo Mzee?"
Mzee Dingi: "Jina lake la kazi tunamuita Kesho Yetu"
Analyse: "Kwanini sasa anataka kuonana na Mimi?"
Mzee Dingi: "Wewe fanya mpango kesho tuonane nae pale Kinondoni, kuna dili analeta, linahitaji watu kadhaa, na wewe ametaka uwepo"
Analyse: "Ananijua kwani?"
Mzee Dingi: " Ndio anakujua, ameona kazi kadhaa ulizoshiriki, uchangamfu na usharp wako ndio anautaka"
Nikaguna pale, ila mwisho wa siku tukakubaliana, kesho yake tukutane pale Kino...
***** ****** ****** *****
Kesho yake asubuhi na mapema nikatimba Kinondoni Manyanya. Nikamcheki Mzee Dingi, akanielekeza walipokuwa wamekaa. Yupo yeye, mwanasheria feki, na Mzee mwingine ambae ndio ilikuwa mara ya kwanza namuona, kwa jina la kazi alikuwa anafahamika kama Kidevu.
Kitu kingine nilichonote, hawa jamaa wote hakuna aliyekuwa anafahamika kwa jina lake halisi. Na hiyo ndio sababu ilifanya Mimi niwaache waendelee kuniita apostle. Na kingine hakuna aliyekuwa anajulikana anapokaa. Kiufupi, ingetokea mmoja akakamatwa, angeishia kutaja majina ya apostle, Mzee Dingi, Kidevu au Kesho Yetu. Akiambiwa akaoneshe wanapokaa hao watu, wangezunguka Dar nzima.
Baada ya utambulisho. Mchongo mzima ukawekwa mezani. Kulikuwa na mwalim mstaafu ametoka kuchukua mafao yake. Yule mwalim alikuwa anahitaji eneo kubwa kwa ajili ya mradi wake wa green house aliotaka kuuanzisha. Lakini pia, alikuwa anahitaji vifaa kwa ajili ya umwagiliaji, na kuchimbiwa kisima kwenye ilo eneo atakalo nunua. Sasa mpango ilikuwa apigwe kwenye eneo, alafu dili likisha kamilika, apigwe kwenye vifaa na uchimbaji.
Mzee Dingi yeye alitakiwa kucheza kama dalali wa eneo linalouzwa, mwanasheria feki na yule Mzee Kidevu, wao wawe majirani, Mimi nikaambiwa niwe kama afisa mtendaji au mwenyekiti wa kile Kijiji. Mzee Dingi ananiambia:
"Wewe apostle inabidi uwe mtendaji wa kile Kijiji. Unajua watendaji wengi ni vijana na wasomi. Ni rahisi yule Mama kuamini"
Nikabaki na mwangalia tu. Akaendelea
"Yule Mama tukishamaliza kuuziana nae kiwanja, itabidi hapo hapo wewe (Mimi) kama mtendaji umwambie unaweza kumsaidia kutafuta kampuni ya uchimbaji visima, na kuweka set up nzima ya kila kitu kwa ajili ya project yake".
"Yani inabidi tukimaliza tu kulipana hela za kiwanja, malipo ya hizo process zingine yafatie. Kuna watu tutakuunganisha nao ambao ndio utaendelea nao kwenye hiyo nngwe ya pili"
Wakati tunaendelea kuongea pale. Kuna Mzee mwingine akaja, yuko smart, kabeba begi muundo wa briefcase au zile za kubebea laptop. Yule Mzee sidhani kama kuna mhuri ambao hana. Kibriefcase chake Kiko full, mihuri, Karatasi, Calculator nk. Akatoa mihuri kadhaa akaiweka mezani. Eneo ambalo alitakiwa akauziwe yule mstaafu, lilikuwa vigwaza. Huyu Mzee smart aliyeongezeka, ndio Mzee Dingi akanitambulisha kwake kama 'Kesho Yetu'. Huyu ndio alikuwa mastermind wa huu mchongo wote, na ndiye aliyetakiwa kuact kama muuzaji wa eneo. Na Kwa mujibu wao, tulitarajia kati ya million 50 mpaka 70, kutegemeana na namna tutakavyofatisha maelekezo ya Mzee Kesho Yetu.
Kila kitu kikawekwa sawa, then yule mstaafu akapigiwa simu, na makubaliano yakafikiwa kuwa kesho akalione lile eneo.
Unajua sometime unaweza Sikia story mtu katapeliwa,alafu ukaanza kumcheka na kumuona mjinga, ila huyu Mzee Kesho Yetu alinibadilisha mtazamo wangu. Mtu akitapeliwa, usimlaumu sana, peleka sifa kwa yule aliyemtapeli. Watu wana mahesabu makali sana, jinsi huyu Mzee Kesho Yetu alivyokuwa anapanga mambo, accuracy yake ni almost 100%. Kinachotakiwa ni kufatisha maelekezo yake tu.
Na hata dili nyingi ndogo ndogo tulizokuwa tunafanya na kina Mzee Dingi, zilikuwa zinatoka kwake zikiwa na full deatils ya kuzipush. Yeye alikuwa anapewa percent fulani ya mgao, alikuwa hashiriki. Ukiona kashiriki, basi ilo dili liko very serious, na target sio chini ya million 50. Na hata hii deal nilidhani usharp na usmart wangu ndio ulifanya anielewe na kuniunganisha kama jinsi Mzee Dingi alivyoniambia, lakin kumbe alikuwa na sababu ya tofauti kabisa. Kitu ambacho sikuwahi kukifikiria kabisa, ila yeye kwa upande wake alishakifikiria miezi mingi iliyopita. Na jibu alilipata ni "Apostle". Nilikuwa funguo yake bila hata ya Mimi mwenyewe kujua.
Tulivyoagana, wakati wengine washaanza kuondoka, nikamsimamisha Mzee Dingi.
Analyse: "Mzee hii deal inahusisha sura ngeni nyingi, na pia hela yake ni ndefu, kuna kila dalili ya kudhurumiwa hapa"
Mzee Dingi: "Apostle unaongea nini wewe?. Hakuna wa kukudhurumu hapa"
Nikamsikiliza tu, lakini sikuwa na amani kabisa.
Tukaagana nikaamsha. Mida ya jioni jioni, Mzee Dingi akaniwekea laki mbili kwenye simu. Kisha akanipigia
Mzee Dingi: "Apostle najua utakuwa na uhitaji wa hela, chukua hiyo, piga ua kesho inabidi utokee"
Analyse: "Tunakutania wapi?"
Mzee Dingi: "Wewe na wale wengine mtatangulia asubuhi sana. Mimi nitakuja na yule mlengwa baadae."
Analyse: "Poa poa"
Mzee Dingi: "Maelezo ya ziada utayapata kule kule, hakikisha unakuwa smart sana, usisahau begi lako"
Analyse: "Sawa nimeelewa "
Alivyokata simu tu, Shani akanipigia
Shani: "Uko wapi we Mtu?"
Analyse: "Nipo gheto tu"
Shani: "Naona umenisusa tokea siku ile. Mimi nishakumiss"
Analyse: "Me nipo"
Shani: "Unaweza kuja kwangu muda huu? "
Analyse: "Poa nakuja"
Shani: "Ndio maana nakupenda, huwekagi vitu rohoni. Haya njoo nakusubiri"
Nikaenda kuoga, ili niende.. ..
Yaani nimemwonea mstaafu huruma,jamani pata picha Ni wewe au mama yako,naomba kimoyomoyo deal lisifanikiwe13th Portion:
... Sikuwa na kitu nilichoweza kufanya kwa wakati ule. Hata kama ningesema nimbembeleze, still isingefanya kazi, maana sijui dhamira yake halisi ni ipi.
Sikutaka hata kulala pale. Nikaamua kurudi gheto kwangu, PS4 yake nikamuacha nayo.
Njia nzima kichwa kimezongwa na mawazo hasa juu ya yale mazungumzo na yule Mzee. Kuna muda unaweza ukawa umezungukwa na watu wengi, alaf wasiwe na faida, na wale wachache wenye faida pia usiweze kuwatambua. Kutwa nalalamika maisha magumu, michongo hakuna, alaf watu wenye uwezo wa kunipa michongo ndio nawapotezea, Kisha nakumbatia wasio na umuhimu.
Usingizi ulinipaa kabisa. Niliwaza mengi sana, kiasi kwamba nikajikuta namtumia msg yule Mzee kuomba kuonana nae tena siku inayofuata. Sikutegemea anijibu muda ule ule, maana ilikuwa ni karibia saa nane kasoro. Niliendelea kuwaza mambo tofauti tofauti mpaka nilipopitiwa na usingizi.
***** ****** ****** ******
Asubuhi niliamshwa na mlio wa simu yangu, iliyokuwa ikiita. Kuiangalia nakuta Mshua ndio anapiga. Sijui kwanini, ila nilishtuka sana. Nikajikuta naogopa kuipokea ile simu, maana najiuliza anataka kuniambia nini?. Yule Mzee amemwambia kama tumeonana? Au nikipokea nitaweza kuongea na comfortable?. Ushawahi kufanya jambo fulani la aibu sana, alafu ukutane na mtu au watu wanaolifahamu, huwa unapoteza ule uchangamfu mbele yao. Hata katika story utakazopiga nao, wakicheka utahisi wanakucheka ile aibu yako. Hiyo hali ndio nilikuwa najihisi muda huo wakati Mshua anapiga. Kwa mara ya kwanza nikashindwa kupokea simu ya Mshua. Ikaita hadi ikakata.
Nikiwa bado nipo pale pale kitandani, simu ikaanza kuita tena. Nilishtuka kana kwamba nimepigwa shoti ya umeme. Nilishusha pumzi za amani baada ya kuona jina la mpigaji. Ni yule Mzee ndio alikuwa ananipigia. Niliipokea, tukaongea mambo kadhaa, ila akaniambia Kwa hiyo siku hatokuwa na nafasi, lakini pia hata siku zinazofata, bado angekuwa busy. Hivyo akashauri kama alivyoniambia jana, kuwa wik end ndio ratiba yake inakuwa wazi. Tukakubaliana niende tena kule kule shambani kwake, siku ya jumamosi.
Baada ya kukata simu, mawazo yakanirudia tena. Picha ikanijia, ni Kwa namna gani masaa 24 yanaweza kubadili kila kitu. Maana ni ndani ya masaa 24, kutoka kuwa mtu anayeongea na Baba yake kwa vicheko na bashasha, hadi kuanza kumuogopa.
Baada ya masaa kadhaa ya kujivuta vuta pale kitandani, nikaanza kutafakari siku yangu niipeleke vipi. Unajua tatizo la kuwa jobless, ni kwamba unakuwa na muda mwingi sana, ila vitu vya maana vya kufanya ndio hakuna.
Baada ya kuwaza sana, nikaona ngoja niende kule maeneo ya katikati ya jiji, nikamtafute Mzee Dingi. Jamaa alitembea na karibia million 15, huku pakiwa na karibia million 6 ya kina Kisauti, ambayo hakuitolea jasho kabisa. Mawazo yakaniambia nimtafute walau nipate mgao wangu, maana tayari nishatumikia adhabu.
Nikasogea hadi maeneo ya Samora, ila hakuwepo. Nikatembelea vijiwe vyake vyote ila nikaambulia patupu, sielewi nampatia wapi. Kwenye simu bado kaniblock. Nikafikiria kwenda kwa Shani, ila nikaona tutaenda kulumbana, alaf ugomvi uzidi kuwa mkubwa. Nikajaribu kumpigia yule mpenzi wangu, nikakuta bado kaniblock. Nikaamua kurudi zangu home.
** * ***
Zilipita kama siku mbili hivi, Mzee Dingi akanipigia simu.
Mzee Dingi: "Uko wapi Apostle?"
Analyse: "Nipo gheto, vipi?"
Mzee Dingi: "Najua bado una hasira, ila wanaume hatuwekagi vinyongo, njoo tufanye kazi"
Analyse: "Nyie fanyeni tu mtajirike, Mimi Sina mpango na hizo kazi zenu"
Mzee Dingi: "Dogo mambo hayaendi hivyo, hakuna tuzo kwa ajili ya watu wanaopata hela kwa shida. Kazi zipo nyingi, utapata hela, na utasahau habari ya ilo deni unalonidai"
Analyse: "Siwezi fanya kazi alaf nimfaidishe mtu mwingine, nyie fanyeni tu ambao mnawezana"
Mzee Dingi: "Ile ilitokea tu, kwasababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Safari hii tutakuwa mguu kwa mguu apostle"
Nikajifikiria kwa muda kidogo, nafsi ikawa mguu nje mguu ndani, Sina mchongo town, bills nitazilipa vipi?
Nikamuuliza, "Kuna dili gani sasa hivi?"
Mzee Dingi: "Hayo sio mambo yakuongelea kwenye simu, kesho njoo ofisini tujadiliane kwa kina"
Analyse: "Sina nauli, kama hatuwezi kuongea kwenye simu, Mimi siji"
Hakunijibu kitu, akakata simu. Alafu baada ya kama dakika tatu, ikaingia elfu sabini kwenye tigopesa toka kwa Mzee Dingi, Kisha akaniandikia msg.
"Kesho fanya juu chini uje Apostle. Usiende makao makuu, njoo tawi la kinondoni"
Nikamjibu "Poa"
Unajua kupambana kunaumiza, ila kukata tamaa kunaumiza zaidi. Maana aliyekata tamaa hana dira, anaweza kujikuta anafanya mambo ambayo hakuwahi kutarajia. Story na yule Mzee zilinifanya nikajiona hopeless sana. Nikajikuta nimeridhia kwa moyo mmoja kujiunga na kina Mzee Dingi.
. ***** ***** ***** ******
Kesho yake nikatimba pande za Kino, nikakuta timu ya watu watatu, Mzee Dingi akafanya utambulisho. Nikajiunga nao rasmi.
Tulijadili mipango kadhaa, na tokea siku ile tukaanza kupiga dili kulingana na zinavyokuja. Siwezi elezea in details ni kwanma gani tulikuwa tunafanikisha hizo deals, ni watu gani tuliwapiga au hata kuyataja hayo madili, maana sio lengo la story lakini pia huwezi jua nani anasoma, nisijekuamsha hasira zilizolala.
Tulikuwa tunahama vijiwe kadiri tunavyopiga dili, ili kuepuka kukutana na wale tunaowapiga. Wengi tuliokuwa tunawapiga, michongo yote ilikuwa based on coincidences, ndio maana baada ya kuspend time sana na kina Mzee Dingi, I will never ever believe in coincidence, NEVER.
Baada ya kama miezi miwili au mitatu, Mzee Dingi akaniomba tukutane wawili tu, Mimi na yeye. Tulikutana baa maeneo ya buguruni.
Mzee Dingi: "Apostle kuna mtu anataka kukutana na wewe. Kuna dili limejitokeza"
Analyse: "Ni nani huyo? Na kwanini atake kukutana na Mimi?"atake
Mzee Dingi: "Huyu mtu shoo zake sio ndogo ndogo Apostle. Dili zake zote ni mikia ya kondoo"
Analyse: "Mikia ya kondoo kivipi?"
Mzee Dingi: "Huyu kwa mwaka akipiga dili nyingi ni nne, ila mkwanja unaopatikana hapo, unaweza kwenda likizo muda mrefu, tena kwa mtoto kama wewe, unaweza Kaa hata mwaka bila stress ya kipato, ni matumizi tu"
Analyse: "Duh anaitwa nani huyo Mzee?"
Mzee Dingi: "Jina lake la kazi tunamuita Kesho Yetu"
Analyse: "Kwanini sasa anataka kuonana na Mimi?"
Mzee Dingi: "Wewe fanya mpango kesho tuonane nae pale Kinondoni, kuna dili analeta, linahitaji watu kadhaa, na wewe ametaka uwepo"
Analyse: "Ananijua kwani?"
Mzee Dingi: " Ndio anakujua, ameona kazi kadhaa ulizoshiriki, uchangamfu na usharp wako ndio anautaka"
Nikaguna pale, ila mwisho wa siku tukakubaliana, kesho yake tukutane pale Kino...
***** ****** ****** *****
Kesho yake asubuhi na mapema nikatimba Kinondoni Manyanya. Nikamcheki Mzee Dingi, akanielekeza walipokuwa wamekaa. Yupo yeye, mwanasheria feki, na Mzee mwingine ambae ndio ilikuwa mara ya kwanza namuona, kwa jina la kazi alikuwa anafahamika kama Kidevu.
Kitu kingine nilichonote, hawa jamaa wote hakuna aliyekuwa anafahamika kwa jina lake halisi. Na hiyo ndio sababu ilifanya Mimi niwaache waendelee kuniita apostle. Na kingine hakuna aliyekuwa anajulikana anapokaa. Kiufupi, ingetokea mmoja akakamatwa, angeishia kutaja majina ya apostle, Mzee Dingi, Kidevu au Kesho Yetu. Akiambiwa akaoneshe wanapokaa hao watu, wangezunguka Dar nzima.
Baada ya utambulisho. Mchongo mzima ukawekwa mezani. Kulikuwa na mwalim mstaafu ametoka kuchukua mafao yake. Yule mwalim alikuwa anahitaji eneo kubwa kwa ajili ya mradi wake wa green house aliotaka kuuanzisha. Lakini pia, alikuwa anahitaji vifaa kwa ajili ya umwagiliaji, na kuchimbiwa kisima kwenye ilo eneo atakalo nunua. Sasa mpango ilikuwa apigwe kwenye eneo, alafu dili likisha kamilika, apigwe kwenye vifaa na uchimbaji.
Mzee Dingi yeye alitakiwa kucheza kama dalali wa eneo linalouzwa, mwanasheria feki na yule Mzee Kidevu, wao wawe majirani, Mimi nikaambiwa niwe kama afisa mtendaji au mwenyekiti wa kile Kijiji. Mzee Dingi ananiambia:
"Wewe apostle inabidi uwe mtendaji wa kile Kijiji. Unajua watendaji wengi ni vijana na wasomi. Ni rahisi yule Mama kuamini"
Nikabaki na mwangalia tu. Akaendelea
"Yule Mama tukishamaliza kuuziana nae kiwanja, itabidi hapo hapo wewe (Mimi) kama mtendaji umwambie unaweza kumsaidia kutafuta kampuni ya uchimbaji visima, na kuweka set up nzima ya kila kitu kwa ajili ya project yake".
"Yani inabidi tukimaliza tu kulipana hela za kiwanja, malipo ya hizo process zingine yafatie. Kuna watu tutakuunganisha nao ambao ndio utaendelea nao kwenye hiyo nngwe ya pili"
Wakati tunaendelea kuongea pale. Kuna Mzee mwingine akaja, yuko smart, kabeba begi muundo wa briefcase au zile za kubebea laptop. Yule Mzee sidhani kama kuna mhuri ambao hana. Kibriefcase chake Kiko full, mihuri, Karatasi, Calculator nk. Akatoa mihuri kadhaa akaiweka mezani. Eneo ambalo alitakiwa akauziwe yule mstaafu, lilikuwa vigwaza. Huyu Mzee smart aliyeongezeka, ndio Mzee Dingi akanitambulisha kwake kama 'Kesho Yetu'. Huyu ndio alikuwa mastermind wa huu mchongo wote, na ndiye aliyetakiwa kuact kama muuzaji wa eneo. Na Kwa mujibu wao, tulitarajia kati ya million 50 mpaka 70, kutegemeana na namna tutakavyofatisha maelekezo ya Mzee Kesho Yetu.
Kila kitu kikawekwa sawa, then yule mstaafu akapigiwa simu, na makubaliano yakafikiwa kuwa kesho akalione lile eneo.
Unajua sometime unaweza Sikia story mtu katapeliwa,alafu ukaanza kumcheka na kumuona mjinga, ila huyu Mzee Kesho Yetu alinibadilisha mtazamo wangu. Mtu akitapeliwa, usimlaumu sana, peleka sifa kwa yule aliyemtapeli. Watu wana mahesabu makali sana, jinsi huyu Mzee Kesho Yetu alivyokuwa anapanga mambo, accuracy yake ni almost 100%. Kinachotakiwa ni kufatisha maelekezo yake tu.
Na hata dili nyingi ndogo ndogo tulizokuwa tunafanya na kina Mzee Dingi, zilikuwa zinatoka kwake zikiwa na full deatils ya kuzipush. Yeye alikuwa anapewa percent fulani ya mgao, alikuwa hashiriki. Ukiona kashiriki, basi ilo dili liko very serious, na target sio chini ya million 50. Na hata hii deal nilidhani usharp na usmart wangu ndio ulifanya anielewe na kuniunganisha kama jinsi Mzee Dingi alivyoniambia, lakin kumbe alikuwa na sababu ya tofauti kabisa. Kitu ambacho sikuwahi kukifikiria kabisa, ila yeye kwa upande wake alishakifikiria miezi mingi iliyopita. Na jibu alilipata ni "Apostle". Nilikuwa funguo yake bila hata ya Mimi mwenyewe kujua.
Tulivyoagana, wakati wengine washaanza kuondoka, nikamsimamisha Mzee Dingi.
Analyse: "Mzee hii deal inahusisha sura ngeni nyingi, na pia hela yake ni ndefu, kuna kila dalili ya kudhurumiwa hapa"
Mzee Dingi: "Apostle unaongea nini wewe?. Hakuna wa kukudhurumu hapa"
Nikamsikiliza tu, lakini sikuwa na amani kabisa.
Tukaagana nikaamsha. Mida ya jioni jioni, Mzee Dingi akaniwekea laki mbili kwenye simu. Kisha akanipigia
Mzee Dingi: "Apostle najua utakuwa na uhitaji wa hela, chukua hiyo, piga ua kesho inabidi utokee"
Analyse: "Tunakutania wapi?"
Mzee Dingi: "Wewe na wale wengine mtatangulia asubuhi sana. Mimi nitakuja na yule mlengwa baadae."
Analyse: "Poa poa"
Mzee Dingi: "Maelezo ya ziada utayapata kule kule, hakikisha unakuwa smart sana, usisahau begi lako"
Analyse: "Sawa nimeelewa "
Alivyokata simu tu, Shani akanipigia
Shani: "Uko wapi we Mtu?"
Analyse: "Nipo gheto tu"
Shani: "Naona umenisusa tokea siku ile. Mimi nishakumiss"
Analyse: "Me nipo"
Shani: "Unaweza kuja kwangu muda huu? "
Analyse: "Poa nakuja"
Shani: "Ndio maana nakupenda, huwekagi vitu rohoni. Haya njoo nakusubiri"
Nikaenda kuoga, ili niende.. ..
kisa Cha Mzee Kesho Yetu inawezekana kikanoga sana13th Portion:
... Sikuwa na kitu nilichoweza kufanya kwa wakati ule. Hata kama ningesema nimbembeleze, still isingefanya kazi, maana sijui dhamira yake halisi ni ipi.
Sikutaka hata kulala pale. Nikaamua kurudi gheto kwangu, PS4 yake nikamuacha nayo.
Njia nzima kichwa kimezongwa na mawazo hasa juu ya yale mazungumzo na yule Mzee. Kuna muda unaweza ukawa umezungukwa na watu wengi, alaf wasiwe na faida, na wale wachache wenye faida pia usiweze kuwatambua. Kutwa nalalamika maisha magumu, michongo hakuna, alaf watu wenye uwezo wa kunipa michongo ndio nawapotezea, Kisha nakumbatia wasio na umuhimu.
Usingizi ulinipaa kabisa. Niliwaza mengi sana, kiasi kwamba nikajikuta namtumia msg yule Mzee kuomba kuonana nae tena siku inayofuata. Sikutegemea anijibu muda ule ule, maana ilikuwa ni karibia saa nane kasoro. Niliendelea kuwaza mambo tofauti tofauti mpaka nilipopitiwa na usingizi.
***** ****** ****** ******
Asubuhi niliamshwa na mlio wa simu yangu, iliyokuwa ikiita. Kuiangalia nakuta Mshua ndio anapiga. Sijui kwanini, ila nilishtuka sana. Nikajikuta naogopa kuipokea ile simu, maana najiuliza anataka kuniambia nini?. Yule Mzee amemwambia kama tumeonana? Au nikipokea nitaweza kuongea na comfortable?. Ushawahi kufanya jambo fulani la aibu sana, alafu ukutane na mtu au watu wanaolifahamu, huwa unapoteza ule uchangamfu mbele yao. Hata katika story utakazopiga nao, wakicheka utahisi wanakucheka ile aibu yako. Hiyo hali ndio nilikuwa najihisi muda huo wakati Mshua anapiga. Kwa mara ya kwanza nikashindwa kupokea simu ya Mshua. Ikaita hadi ikakata.
Nikiwa bado nipo pale pale kitandani, simu ikaanza kuita tena. Nilishtuka kana kwamba nimepigwa shoti ya umeme. Nilishusha pumzi za amani baada ya kuona jina la mpigaji. Ni yule Mzee ndio alikuwa ananipigia. Niliipokea, tukaongea mambo kadhaa, ila akaniambia Kwa hiyo siku hatokuwa na nafasi, lakini pia hata siku zinazofata, bado angekuwa busy. Hivyo akashauri kama alivyoniambia jana, kuwa wik end ndio ratiba yake inakuwa wazi. Tukakubaliana niende tena kule kule shambani kwake, siku ya jumamosi.
Baada ya kukata simu, mawazo yakanirudia tena. Picha ikanijia, ni Kwa namna gani masaa 24 yanaweza kubadili kila kitu. Maana ni ndani ya masaa 24, kutoka kuwa mtu anayeongea na Baba yake kwa vicheko na bashasha, hadi kuanza kumuogopa.
Baada ya masaa kadhaa ya kujivuta vuta pale kitandani, nikaanza kutafakari siku yangu niipeleke vipi. Unajua tatizo la kuwa jobless, ni kwamba unakuwa na muda mwingi sana, ila vitu vya maana vya kufanya ndio hakuna.
Baada ya kuwaza sana, nikaona ngoja niende kule maeneo ya katikati ya jiji, nikamtafute Mzee Dingi. Jamaa alitembea na karibia million 15, huku pakiwa na karibia million 6 ya kina Kisauti, ambayo hakuitolea jasho kabisa. Mawazo yakaniambia nimtafute walau nipate mgao wangu, maana tayari nishatumikia adhabu.
Nikasogea hadi maeneo ya Samora, ila hakuwepo. Nikatembelea vijiwe vyake vyote ila nikaambulia patupu, sielewi nampatia wapi. Kwenye simu bado kaniblock. Nikafikiria kwenda kwa Shani, ila nikaona tutaenda kulumbana, alaf ugomvi uzidi kuwa mkubwa. Nikajaribu kumpigia yule mpenzi wangu, nikakuta bado kaniblock. Nikaamua kurudi zangu home.
** * ***
Zilipita kama siku mbili hivi, Mzee Dingi akanipigia simu.
Mzee Dingi: "Uko wapi Apostle?"
Analyse: "Nipo gheto, vipi?"
Mzee Dingi: "Najua bado una hasira, ila wanaume hatuwekagi vinyongo, njoo tufanye kazi"
Analyse: "Nyie fanyeni tu mtajirike, Mimi Sina mpango na hizo kazi zenu"
Mzee Dingi: "Dogo mambo hayaendi hivyo, hakuna tuzo kwa ajili ya watu wanaopata hela kwa shida. Kazi zipo nyingi, utapata hela, na utasahau habari ya ilo deni unalonidai"
Analyse: "Siwezi fanya kazi alaf nimfaidishe mtu mwingine, nyie fanyeni tu ambao mnawezana"
Mzee Dingi: "Ile ilitokea tu, kwasababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Safari hii tutakuwa mguu kwa mguu apostle"
Nikajifikiria kwa muda kidogo, nafsi ikawa mguu nje mguu ndani, Sina mchongo town, bills nitazilipa vipi?
Nikamuuliza, "Kuna dili gani sasa hivi?"
Mzee Dingi: "Hayo sio mambo yakuongelea kwenye simu, kesho njoo ofisini tujadiliane kwa kina"
Analyse: "Sina nauli, kama hatuwezi kuongea kwenye simu, Mimi siji"
Hakunijibu kitu, akakata simu. Alafu baada ya kama dakika tatu, ikaingia elfu sabini kwenye tigopesa toka kwa Mzee Dingi, Kisha akaniandikia msg.
"Kesho fanya juu chini uje Apostle. Usiende makao makuu, njoo tawi la kinondoni"
Nikamjibu "Poa"
Unajua kupambana kunaumiza, ila kukata tamaa kunaumiza zaidi. Maana aliyekata tamaa hana dira, anaweza kujikuta anafanya mambo ambayo hakuwahi kutarajia. Story na yule Mzee zilinifanya nikajiona hopeless sana. Nikajikuta nimeridhia kwa moyo mmoja kujiunga na kina Mzee Dingi.
. ***** ***** ***** ******
Kesho yake nikatimba pande za Kino, nikakuta timu ya watu watatu, Mzee Dingi akafanya utambulisho. Nikajiunga nao rasmi.
Tulijadili mipango kadhaa, na tokea siku ile tukaanza kupiga dili kulingana na zinavyokuja. Siwezi elezea in details ni kwanma gani tulikuwa tunafanikisha hizo deals, ni watu gani tuliwapiga au hata kuyataja hayo madili, maana sio lengo la story lakini pia huwezi jua nani anasoma, nisijekuamsha hasira zilizolala.
Tulikuwa tunahama vijiwe kadiri tunavyopiga dili, ili kuepuka kukutana na wale tunaowapiga. Wengi tuliokuwa tunawapiga, michongo yote ilikuwa based on coincidences, ndio maana baada ya kuspend time sana na kina Mzee Dingi, I will never ever believe in coincidence, NEVER.
Baada ya kama miezi miwili au mitatu, Mzee Dingi akaniomba tukutane wawili tu, Mimi na yeye. Tulikutana baa maeneo ya buguruni.
Mzee Dingi: "Apostle kuna mtu anataka kukutana na wewe. Kuna dili limejitokeza"
Analyse: "Ni nani huyo? Na kwanini atake kukutana na Mimi?"atake
Mzee Dingi: "Huyu mtu shoo zake sio ndogo ndogo Apostle. Dili zake zote ni mikia ya kondoo"
Analyse: "Mikia ya kondoo kivipi?"
Mzee Dingi: "Huyu kwa mwaka akipiga dili nyingi ni nne, ila mkwanja unaopatikana hapo, unaweza kwenda likizo muda mrefu, tena kwa mtoto kama wewe, unaweza Kaa hata mwaka bila stress ya kipato, ni matumizi tu"
Analyse: "Duh anaitwa nani huyo Mzee?"
Mzee Dingi: "Jina lake la kazi tunamuita Kesho Yetu"
Analyse: "Kwanini sasa anataka kuonana na Mimi?"
Mzee Dingi: "Wewe fanya mpango kesho tuonane nae pale Kinondoni, kuna dili analeta, linahitaji watu kadhaa, na wewe ametaka uwepo"
Analyse: "Ananijua kwani?"
Mzee Dingi: " Ndio anakujua, ameona kazi kadhaa ulizoshiriki, uchangamfu na usharp wako ndio anautaka"
Nikaguna pale, ila mwisho wa siku tukakubaliana, kesho yake tukutane pale Kino...
***** ****** ****** *****
Kesho yake asubuhi na mapema nikatimba Kinondoni Manyanya. Nikamcheki Mzee Dingi, akanielekeza walipokuwa wamekaa. Yupo yeye, mwanasheria feki, na Mzee mwingine ambae ndio ilikuwa mara ya kwanza namuona, kwa jina la kazi alikuwa anafahamika kama Kidevu.
Kitu kingine nilichonote, hawa jamaa wote hakuna aliyekuwa anafahamika kwa jina lake halisi. Na hiyo ndio sababu ilifanya Mimi niwaache waendelee kuniita apostle. Na kingine hakuna aliyekuwa anajulikana anapokaa. Kiufupi, ingetokea mmoja akakamatwa, angeishia kutaja majina ya apostle, Mzee Dingi, Kidevu au Kesho Yetu. Akiambiwa akaoneshe wanapokaa hao watu, wangezunguka Dar nzima.
Baada ya utambulisho. Mchongo mzima ukawekwa mezani. Kulikuwa na mwalim mstaafu ametoka kuchukua mafao yake. Yule mwalim alikuwa anahitaji eneo kubwa kwa ajili ya mradi wake wa green house aliotaka kuuanzisha. Lakini pia, alikuwa anahitaji vifaa kwa ajili ya umwagiliaji, na kuchimbiwa kisima kwenye ilo eneo atakalo nunua. Sasa mpango ilikuwa apigwe kwenye eneo, alafu dili likisha kamilika, apigwe kwenye vifaa na uchimbaji.
Mzee Dingi yeye alitakiwa kucheza kama dalali wa eneo linalouzwa, mwanasheria feki na yule Mzee Kidevu, wao wawe majirani, Mimi nikaambiwa niwe kama afisa mtendaji au mwenyekiti wa kile Kijiji. Mzee Dingi ananiambia:
"Wewe apostle inabidi uwe mtendaji wa kile Kijiji. Unajua watendaji wengi ni vijana na wasomi. Ni rahisi yule Mama kuamini"
Nikabaki na mwangalia tu. Akaendelea
"Yule Mama tukishamaliza kuuziana nae kiwanja, itabidi hapo hapo wewe (Mimi) kama mtendaji umwambie unaweza kumsaidia kutafuta kampuni ya uchimbaji visima, na kuweka set up nzima ya kila kitu kwa ajili ya project yake".
"Yani inabidi tukimaliza tu kulipana hela za kiwanja, malipo ya hizo process zingine yafatie. Kuna watu tutakuunganisha nao ambao ndio utaendelea nao kwenye hiyo nngwe ya pili"
Wakati tunaendelea kuongea pale. Kuna Mzee mwingine akaja, yuko smart, kabeba begi muundo wa briefcase au zile za kubebea laptop. Yule Mzee sidhani kama kuna mhuri ambao hana. Kibriefcase chake Kiko full, mihuri, Karatasi, Calculator nk. Akatoa mihuri kadhaa akaiweka mezani. Eneo ambalo alitakiwa akauziwe yule mstaafu, lilikuwa vigwaza. Huyu Mzee smart aliyeongezeka, ndio Mzee Dingi akanitambulisha kwake kama 'Kesho Yetu'. Huyu ndio alikuwa mastermind wa huu mchongo wote, na ndiye aliyetakiwa kuact kama muuzaji wa eneo. Na Kwa mujibu wao, tulitarajia kati ya million 50 mpaka 70, kutegemeana na namna tutakavyofatisha maelekezo ya Mzee Kesho Yetu.
Kila kitu kikawekwa sawa, then yule mstaafu akapigiwa simu, na makubaliano yakafikiwa kuwa kesho akalione lile eneo.
Unajua sometime unaweza Sikia story mtu katapeliwa,alafu ukaanza kumcheka na kumuona mjinga, ila huyu Mzee Kesho Yetu alinibadilisha mtazamo wangu. Mtu akitapeliwa, usimlaumu sana, peleka sifa kwa yule aliyemtapeli. Watu wana mahesabu makali sana, jinsi huyu Mzee Kesho Yetu alivyokuwa anapanga mambo, accuracy yake ni almost 100%. Kinachotakiwa ni kufatisha maelekezo yake tu.
Na hata dili nyingi ndogo ndogo tulizokuwa tunafanya na kina Mzee Dingi, zilikuwa zinatoka kwake zikiwa na full deatils ya kuzipush. Yeye alikuwa anapewa percent fulani ya mgao, alikuwa hashiriki. Ukiona kashiriki, basi ilo dili liko very serious, na target sio chini ya million 50. Na hata hii deal nilidhani usharp na usmart wangu ndio ulifanya anielewe na kuniunganisha kama jinsi Mzee Dingi alivyoniambia, lakin kumbe alikuwa na sababu ya tofauti kabisa. Kitu ambacho sikuwahi kukifikiria kabisa, ila yeye kwa upande wake alishakifikiria miezi mingi iliyopita. Na jibu alilipata ni "Apostle". Nilikuwa funguo yake bila hata ya Mimi mwenyewe kujua.
Tulivyoagana, wakati wengine washaanza kuondoka, nikamsimamisha Mzee Dingi.
Analyse: "Mzee hii deal inahusisha sura ngeni nyingi, na pia hela yake ni ndefu, kuna kila dalili ya kudhurumiwa hapa"
Mzee Dingi: "Apostle unaongea nini wewe?. Hakuna wa kukudhurumu hapa"
Nikamsikiliza tu, lakini sikuwa na amani kabisa.
Tukaagana nikaamsha. Mida ya jioni jioni, Mzee Dingi akaniwekea laki mbili kwenye simu. Kisha akanipigia
Mzee Dingi: "Apostle najua utakuwa na uhitaji wa hela, chukua hiyo, piga ua kesho inabidi utokee"
Analyse: "Tunakutania wapi?"
Mzee Dingi: "Wewe na wale wengine mtatangulia asubuhi sana. Mimi nitakuja na yule mlengwa baadae."
Analyse: "Poa poa"
Mzee Dingi: "Maelezo ya ziada utayapata kule kule, hakikisha unakuwa smart sana, usisahau begi lako"
Analyse: "Sawa nimeelewa "
Alivyokata simu tu, Shani akanipigia
Shani: "Uko wapi we Mtu?"
Analyse: "Nipo gheto tu"
Shani: "Naona umenisusa tokea siku ile. Mimi nishakumiss"
Analyse: "Me nipo"
Shani: "Unaweza kuja kwangu muda huu? "
Analyse: "Poa nakuja"
Shani: "Ndio maana nakupenda, huwekagi vitu rohoni. Haya njoo nakusubiri"
Nikaenda kuoga, ili niende.. ..
Sema we jamaa umepitia mambo mengi sana [emoji28][emoji28]13th Portion:
... Sikuwa na kitu nilichoweza kufanya kwa wakati ule. Hata kama ningesema nimbembeleze, still isingefanya kazi, maana sijui dhamira yake halisi ni ipi.
Sikutaka hata kulala pale. Nikaamua kurudi gheto kwangu, PS4 yake nikamuacha nayo.
Njia nzima kichwa kimezongwa na mawazo hasa juu ya yale mazungumzo na yule Mzee. Kuna muda unaweza ukawa umezungukwa na watu wengi, alaf wasiwe na faida, na wale wachache wenye faida pia usiweze kuwatambua. Kutwa nalalamika maisha magumu, michongo hakuna, alaf watu wenye uwezo wa kunipa michongo ndio nawapotezea, Kisha nakumbatia wasio na umuhimu.
Usingizi ulinipaa kabisa. Niliwaza mengi sana, kiasi kwamba nikajikuta namtumia msg yule Mzee kuomba kuonana nae tena siku inayofuata. Sikutegemea anijibu muda ule ule, maana ilikuwa ni karibia saa nane kasoro. Niliendelea kuwaza mambo tofauti tofauti mpaka nilipopitiwa na usingizi.
***** ****** ****** ******
Asubuhi niliamshwa na mlio wa simu yangu, iliyokuwa ikiita. Kuiangalia nakuta Mshua ndio anapiga. Sijui kwanini, ila nilishtuka sana. Nikajikuta naogopa kuipokea ile simu, maana najiuliza anataka kuniambia nini?. Yule Mzee amemwambia kama tumeonana? Au nikipokea nitaweza kuongea na comfortable?. Ushawahi kufanya jambo fulani la aibu sana, alafu ukutane na mtu au watu wanaolifahamu, huwa unapoteza ule uchangamfu mbele yao. Hata katika story utakazopiga nao, wakicheka utahisi wanakucheka ile aibu yako. Hiyo hali ndio nilikuwa najihisi muda huo wakati Mshua anapiga. Kwa mara ya kwanza nikashindwa kupokea simu ya Mshua. Ikaita hadi ikakata.
Nikiwa bado nipo pale pale kitandani, simu ikaanza kuita tena. Nilishtuka kana kwamba nimepigwa shoti ya umeme. Nilishusha pumzi za amani baada ya kuona jina la mpigaji. Ni yule Mzee ndio alikuwa ananipigia. Niliipokea, tukaongea mambo kadhaa, ila akaniambia Kwa hiyo siku hatokuwa na nafasi, lakini pia hata siku zinazofata, bado angekuwa busy. Hivyo akashauri kama alivyoniambia jana, kuwa wik end ndio ratiba yake inakuwa wazi. Tukakubaliana niende tena kule kule shambani kwake, siku ya jumamosi.
Baada ya kukata simu, mawazo yakanirudia tena. Picha ikanijia, ni Kwa namna gani masaa 24 yanaweza kubadili kila kitu. Maana ni ndani ya masaa 24, kutoka kuwa mtu anayeongea na Baba yake kwa vicheko na bashasha, hadi kuanza kumuogopa.
Baada ya masaa kadhaa ya kujivuta vuta pale kitandani, nikaanza kutafakari siku yangu niipeleke vipi. Unajua tatizo la kuwa jobless, ni kwamba unakuwa na muda mwingi sana, ila vitu vya maana vya kufanya ndio hakuna.
Baada ya kuwaza sana, nikaona ngoja niende kule maeneo ya katikati ya jiji, nikamtafute Mzee Dingi. Jamaa alitembea na karibia million 15, huku pakiwa na karibia million 6 ya kina Kisauti, ambayo hakuitolea jasho kabisa. Mawazo yakaniambia nimtafute walau nipate mgao wangu, maana tayari nishatumikia adhabu.
Nikasogea hadi maeneo ya Samora, ila hakuwepo. Nikatembelea vijiwe vyake vyote ila nikaambulia patupu, sielewi nampatia wapi. Kwenye simu bado kaniblock. Nikafikiria kwenda kwa Shani, ila nikaona tutaenda kulumbana, alaf ugomvi uzidi kuwa mkubwa. Nikajaribu kumpigia yule mpenzi wangu, nikakuta bado kaniblock. Nikaamua kurudi zangu home.
** * ***
Zilipita kama siku mbili hivi, Mzee Dingi akanipigia simu.
Mzee Dingi: "Uko wapi Apostle?"
Analyse: "Nipo gheto, vipi?"
Mzee Dingi: "Najua bado una hasira, ila wanaume hatuwekagi vinyongo, njoo tufanye kazi"
Analyse: "Nyie fanyeni tu mtajirike, Mimi Sina mpango na hizo kazi zenu"
Mzee Dingi: "Dogo mambo hayaendi hivyo, hakuna tuzo kwa ajili ya watu wanaopata hela kwa shida. Kazi zipo nyingi, utapata hela, na utasahau habari ya ilo deni unalonidai"
Analyse: "Siwezi fanya kazi alaf nimfaidishe mtu mwingine, nyie fanyeni tu ambao mnawezana"
Mzee Dingi: "Ile ilitokea tu, kwasababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Safari hii tutakuwa mguu kwa mguu apostle"
Nikajifikiria kwa muda kidogo, nafsi ikawa mguu nje mguu ndani, Sina mchongo town, bills nitazilipa vipi?
Nikamuuliza, "Kuna dili gani sasa hivi?"
Mzee Dingi: "Hayo sio mambo yakuongelea kwenye simu, kesho njoo ofisini tujadiliane kwa kina"
Analyse: "Sina nauli, kama hatuwezi kuongea kwenye simu, Mimi siji"
Hakunijibu kitu, akakata simu. Alafu baada ya kama dakika tatu, ikaingia elfu sabini kwenye tigopesa toka kwa Mzee Dingi, Kisha akaniandikia msg.
"Kesho fanya juu chini uje Apostle. Usiende makao makuu, njoo tawi la kinondoni"
Nikamjibu "Poa"
Unajua kupambana kunaumiza, ila kukata tamaa kunaumiza zaidi. Maana aliyekata tamaa hana dira, anaweza kujikuta anafanya mambo ambayo hakuwahi kutarajia. Story na yule Mzee zilinifanya nikajiona hopeless sana. Nikajikuta nimeridhia kwa moyo mmoja kujiunga na kina Mzee Dingi.
. ***** ***** ***** ******
Kesho yake nikatimba pande za Kino, nikakuta timu ya watu watatu, Mzee Dingi akafanya utambulisho. Nikajiunga nao rasmi.
Tulijadili mipango kadhaa, na tokea siku ile tukaanza kupiga dili kulingana na zinavyokuja. Siwezi elezea in details ni kwanma gani tulikuwa tunafanikisha hizo deals, ni watu gani tuliwapiga au hata kuyataja hayo madili, maana sio lengo la story lakini pia huwezi jua nani anasoma, nisijekuamsha hasira zilizolala.
Tulikuwa tunahama vijiwe kadiri tunavyopiga dili, ili kuepuka kukutana na wale tunaowapiga. Wengi tuliokuwa tunawapiga, michongo yote ilikuwa based on coincidences, ndio maana baada ya kuspend time sana na kina Mzee Dingi, I will never ever believe in coincidence, NEVER.
Baada ya kama miezi miwili au mitatu, Mzee Dingi akaniomba tukutane wawili tu, Mimi na yeye. Tulikutana baa maeneo ya buguruni.
Mzee Dingi: "Apostle kuna mtu anataka kukutana na wewe. Kuna dili limejitokeza"
Analyse: "Ni nani huyo? Na kwanini atake kukutana na Mimi?"atake
Mzee Dingi: "Huyu mtu shoo zake sio ndogo ndogo Apostle. Dili zake zote ni mikia ya kondoo"
Analyse: "Mikia ya kondoo kivipi?"
Mzee Dingi: "Huyu kwa mwaka akipiga dili nyingi ni nne, ila mkwanja unaopatikana hapo, unaweza kwenda likizo muda mrefu, tena kwa mtoto kama wewe, unaweza Kaa hata mwaka bila stress ya kipato, ni matumizi tu"
Analyse: "Duh anaitwa nani huyo Mzee?"
Mzee Dingi: "Jina lake la kazi tunamuita Kesho Yetu"
Analyse: "Kwanini sasa anataka kuonana na Mimi?"
Mzee Dingi: "Wewe fanya mpango kesho tuonane nae pale Kinondoni, kuna dili analeta, linahitaji watu kadhaa, na wewe ametaka uwepo"
Analyse: "Ananijua kwani?"
Mzee Dingi: " Ndio anakujua, ameona kazi kadhaa ulizoshiriki, uchangamfu na usharp wako ndio anautaka"
Nikaguna pale, ila mwisho wa siku tukakubaliana, kesho yake tukutane pale Kino...
***** ****** ****** *****
Kesho yake asubuhi na mapema nikatimba Kinondoni Manyanya. Nikamcheki Mzee Dingi, akanielekeza walipokuwa wamekaa. Yupo yeye, mwanasheria feki, na Mzee mwingine ambae ndio ilikuwa mara ya kwanza namuona, kwa jina la kazi alikuwa anafahamika kama Kidevu.
Kitu kingine nilichonote, hawa jamaa wote hakuna aliyekuwa anafahamika kwa jina lake halisi. Na hiyo ndio sababu ilifanya Mimi niwaache waendelee kuniita apostle. Na kingine hakuna aliyekuwa anajulikana anapokaa. Kiufupi, ingetokea mmoja akakamatwa, angeishia kutaja majina ya apostle, Mzee Dingi, Kidevu au Kesho Yetu. Akiambiwa akaoneshe wanapokaa hao watu, wangezunguka Dar nzima.
Baada ya utambulisho. Mchongo mzima ukawekwa mezani. Kulikuwa na mwalim mstaafu ametoka kuchukua mafao yake. Yule mwalim alikuwa anahitaji eneo kubwa kwa ajili ya mradi wake wa green house aliotaka kuuanzisha. Lakini pia, alikuwa anahitaji vifaa kwa ajili ya umwagiliaji, na kuchimbiwa kisima kwenye ilo eneo atakalo nunua. Sasa mpango ilikuwa apigwe kwenye eneo, alafu dili likisha kamilika, apigwe kwenye vifaa na uchimbaji.
Mzee Dingi yeye alitakiwa kucheza kama dalali wa eneo linalouzwa, mwanasheria feki na yule Mzee Kidevu, wao wawe majirani, Mimi nikaambiwa niwe kama afisa mtendaji au mwenyekiti wa kile Kijiji. Mzee Dingi ananiambia:
"Wewe apostle inabidi uwe mtendaji wa kile Kijiji. Unajua watendaji wengi ni vijana na wasomi. Ni rahisi yule Mama kuamini"
Nikabaki na mwangalia tu. Akaendelea
"Yule Mama tukishamaliza kuuziana nae kiwanja, itabidi hapo hapo wewe (Mimi) kama mtendaji umwambie unaweza kumsaidia kutafuta kampuni ya uchimbaji visima, na kuweka set up nzima ya kila kitu kwa ajili ya project yake".
"Yani inabidi tukimaliza tu kulipana hela za kiwanja, malipo ya hizo process zingine yafatie. Kuna watu tutakuunganisha nao ambao ndio utaendelea nao kwenye hiyo nngwe ya pili"
Wakati tunaendelea kuongea pale. Kuna Mzee mwingine akaja, yuko smart, kabeba begi muundo wa briefcase au zile za kubebea laptop. Yule Mzee sidhani kama kuna mhuri ambao hana. Kibriefcase chake Kiko full, mihuri, Karatasi, Calculator nk. Akatoa mihuri kadhaa akaiweka mezani. Eneo ambalo alitakiwa akauziwe yule mstaafu, lilikuwa vigwaza. Huyu Mzee smart aliyeongezeka, ndio Mzee Dingi akanitambulisha kwake kama 'Kesho Yetu'. Huyu ndio alikuwa mastermind wa huu mchongo wote, na ndiye aliyetakiwa kuact kama muuzaji wa eneo. Na Kwa mujibu wao, tulitarajia kati ya million 50 mpaka 70, kutegemeana na namna tutakavyofatisha maelekezo ya Mzee Kesho Yetu.
Kila kitu kikawekwa sawa, then yule mstaafu akapigiwa simu, na makubaliano yakafikiwa kuwa kesho akalione lile eneo.
Unajua sometime unaweza Sikia story mtu katapeliwa,alafu ukaanza kumcheka na kumuona mjinga, ila huyu Mzee Kesho Yetu alinibadilisha mtazamo wangu. Mtu akitapeliwa, usimlaumu sana, peleka sifa kwa yule aliyemtapeli. Watu wana mahesabu makali sana, jinsi huyu Mzee Kesho Yetu alivyokuwa anapanga mambo, accuracy yake ni almost 100%. Kinachotakiwa ni kufatisha maelekezo yake tu.
Na hata dili nyingi ndogo ndogo tulizokuwa tunafanya na kina Mzee Dingi, zilikuwa zinatoka kwake zikiwa na full deatils ya kuzipush. Yeye alikuwa anapewa percent fulani ya mgao, alikuwa hashiriki. Ukiona kashiriki, basi ilo dili liko very serious, na target sio chini ya million 50. Na hata hii deal nilidhani usharp na usmart wangu ndio ulifanya anielewe na kuniunganisha kama jinsi Mzee Dingi alivyoniambia, lakin kumbe alikuwa na sababu ya tofauti kabisa. Kitu ambacho sikuwahi kukifikiria kabisa, ila yeye kwa upande wake alishakifikiria miezi mingi iliyopita. Na jibu alilipata ni "Apostle". Nilikuwa funguo yake bila hata ya Mimi mwenyewe kujua.
Tulivyoagana, wakati wengine washaanza kuondoka, nikamsimamisha Mzee Dingi.
Analyse: "Mzee hii deal inahusisha sura ngeni nyingi, na pia hela yake ni ndefu, kuna kila dalili ya kudhurumiwa hapa"
Mzee Dingi: "Apostle unaongea nini wewe?. Hakuna wa kukudhurumu hapa"
Nikamsikiliza tu, lakini sikuwa na amani kabisa.
Tukaagana nikaamsha. Mida ya jioni jioni, Mzee Dingi akaniwekea laki mbili kwenye simu. Kisha akanipigia
Mzee Dingi: "Apostle najua utakuwa na uhitaji wa hela, chukua hiyo, piga ua kesho inabidi utokee"
Analyse: "Tunakutania wapi?"
Mzee Dingi: "Wewe na wale wengine mtatangulia asubuhi sana. Mimi nitakuja na yule mlengwa baadae."
Analyse: "Poa poa"
Mzee Dingi: "Maelezo ya ziada utayapata kule kule, hakikisha unakuwa smart sana, usisahau begi lako"
Analyse: "Sawa nimeelewa "
Alivyokata simu tu, Shani akanipigia
Shani: "Uko wapi we Mtu?"
Analyse: "Nipo gheto tu"
Shani: "Naona umenisusa tokea siku ile. Mimi nishakumiss"
Analyse: "Me nipo"
Shani: "Unaweza kuja kwangu muda huu? "
Analyse: "Poa nakuja"
Shani: "Ndio maana nakupenda, huwekagi vitu rohoni. Haya njoo nakusubiri"
Nikaenda kuoga, ili niende.. ..
Bora siku 3 au 4 kuna nyingine ni mwezi mpaka mwezi ujao episode mojaHeri Mimi narusha moja kila siku. Ila kule kwingine ni kipande kimoja kila baada ya siku 3 au 4 [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nilikuwa narusha vipande viwili sababu nilikuwa napata muda wa kutosha. Ila kuanzia jana mpaka inaisha, tutarudi mwendo wa portion moja per day kama tulivyoanza [emoji28][emoji28]