Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee


Mzee KY kama Scoffield [emoji23]


Kuna watu bado wamekaza fuvu kwenye ATM na 1.5M wakat mzee dingi yupo Vigwaza
 
Pole apostle
 
Kula chuma hiyo
 
Mkuu, wewe unaweza kwenda kununua shamba au kiwanja alafu usiende na mtu wako wa karibu? I mean rafiki/mke/kaka/dada/ndugu wa karibu??

Tuendelee na story tusije maliza utamu mkuu!!
Yule mama alikuwa tayari Chini ya himaya yao na ndio maana mzee KY Ali execute plan B

Kumbuka pia KY ndie alimpeleka Mwamba kwa mganga Moro
 
Dah ila Apostle unazingua, kwanin haumtonyi mmama wa watu mwenye moyo mwema,

maana hao wapigaji wao wanataka kumpiga izo million 40 wakale bata tu na sio kingine.

ila aisee wazazi wanajua unapambana mjini kumbe unanyang'anyana mchanga na wakina mzee dingi
 
Aise pole sana unajua kwanini ulikuwa una pumua mpaka muda nikwasababu haukula hiyo pesa.
 
Dingi mtata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…