Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Mzee KY:Sikia bwana mdogo, aina hizi ya dili sio size yako. Unatakiwa utafute kazi genuine ufanye. Hizi kazi zinahitaji someone with cold heart, and you are too soft for it. You will alway end in trouble"

Analyse: "It's not about being soft or cold, kuna muda yafaa kuwa na utu. Mzee kama yule siumnaweza kumuua hata kwa presha?"
Mzee KY: "You are proving my view kuhusu wewe. Am not target people by age, am just targeting opportunity , whoever fall into it, it's not my concern "

Akaendelea,

"Kitu ambacho unatakiwa ujue bwana mdogo, ni kwamba matendo mema na upendo ni vitu ambavyo vipo kwa ajili ya ustawi wa binadamu tu, na wala sio njia ya kutufikisha peponi. Kama unahisi kitendo cha kujitoa kwenye ile dili, na kuzikataa zile laki mbili alizokupa yule mama, basi umejitengenezea Pepo, think again"

Ha ha ha haaaaa.., Pesa ni nouma sana ndio maana hata kwenye kundi la majambazi kuna wenye huruma, pia kuna wale wasiokuwa na huruma hata kidogo.
 
Endelea
 
Waandishi wa vitabo wapo wengi tu, ila wanachoma hela kwenye utayarishaji na uchapishaji alaf wasomaji, wanunuzi wanaingia mitini. Wasomaji wengi wanataka Bure kama hivi mkuu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Aahaaaahaha
 
Nuzulati na Lovelovie naanzaje kuwasahau. Kila mtu anahitaji marafiki kama nyie kwenye haya maisha. Mkuje πŸ˜…πŸ˜…
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!! Hivi ulivutaga bange wee aposto???🀣🀣🀣🀣🀭🀭!!
Khakhakhaaaa sijui kwanini Nimecheka!!
 
Anaangalia reaction ya watu alafu achague option moja ya hii hadithi yake sababh ana option mbili za muendelezo😁
 
Hii stori ilikuja kuwa nongwa aliposema amekaa kwenye nyumba mbili tofauti za mama anayetapeliwa kabla hajahama sababu mzee dingi alipafahamu vipi mzee dingi alikuwa anakaa nae kwenye nyumba zipiπŸ˜€πŸ˜€
😁😁😁😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…