[emoji23]Aise nimecheka kinoma story nzuri
ila na mimi nikikumbuka nilimpeleka mzazi feki kutoka kwenye bar ya mbege duh jamaa alikuwa ananukia pombe hatari, ofisini naulizwa ndio baba yako nikasema ndio mwalimu alisizi kama 5 min hivi akituangalia tu ndio maongezi yakaendelea tukamaliza nikampa 10k yake moto.
Ila ujana bn tena wa shule, nimemiss zile hustle sana
ππππ Aiseh mbona ni hatari ety mzee anaulizwa mtoto ako anaitwa nani anasema Lovelovie ndo jina la nyumbani la shule sijuiπππWee mzazi gani hajui hata mwanae yupo kidato cha ngapi hahah!!! Alijichanga kwenye Maelezo!!
we jamaa kiboko sana, i wish one day nikuone tupige uwele kdg....Nilikuwa nakushtua tu, nikutoe usingizini. You're welcome [emoji4][emoji4]
Karibu mkuu tunakungojaNdo narudi maskani muda huu. Namalizia kuandika, then natuma
Masanga kaka....ile chupa 5 ulizomuachia jmaaa yetu hata juice utakunywa tu!! Ukikataaa tutakupa hata lishangazi limoja uhangaike nalo.Uwele ndio nn mkuu? [emoji28][emoji28][emoji28]
Asante Sana mkuu
Njoooo malizia storyKaka vipi?π π π