Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Aise nimecheka kinoma story nzuri
ila na mimi nikikumbuka nilimpeleka mzazi feki kutoka kwenye bar ya mbege duh jamaa alikuwa ananukia pombe hatari, ofisini naulizwa ndio baba yako nikasema ndio mwalimu alisizi kama 5 min hivi akituangalia tu ndio maongezi yakaendelea tukamaliza nikampa 10k yake moto.
Ila ujana bn tena wa shule, nimemiss zile hustle sana
[emoji23]
Duh! mixer pombe, vp huyo hakuzingua kama yule wa Ochu?
 
Huyo Mzee wa kichagga ananikumbusha February 2002 nikiwa f.6 nilipewa SPA siku tunarudi na wazazi mi nlienda na maza, kuna dent alimkodi jamaa pale Arusha mjini kama ndio kaka yake, kufika shule jamaa alintembezea kipondo cha maana, sasa baada ya maonyo ya wazazi na walimu tukaruhusiwa kuwasindikiza wazazi stendi, kufika njiani jamaa si wakazikunja!?

Mi na maza tunashangaa kuuliza dent anasema yule jamaa hata sio ndugu yake kamkodi tu. 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom