Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee c umezoea kutembea na wamama[emoji23][emoji23][emoji23]
Poa mkuu nna imani inayokuja hutomkasirisha mshua.Kaka, jioni tu hapo. Now namalizia kuandika
Kwani ile kitu inaokokaga? 😂Nimeacha mkuu. Nimeokoka 😅😅
Mshua bado yuko, ndugu zako wengine wapo mahusiano yenu yakoje??Nimeacha mkuu. Nimeokoka [emoji28][emoji28]
😁😁😁😁Nyakibimbiri hii hii ya Izimbya?[emoji38][emoji38]
Tunasubiria kwa hamuu mkuu natamani sana kujua mliyamalizaje na jembe lako mchagah!😅😅😅 Tukutane baadae hapo tuendelee
Mchaga nilimkimbiaga, japo tulikuja kuonana nilivyofataga cheti. Hakuwa na hasira tena, ila aling'ang'ania begi langu hadi nikamnunulia kitimoto na bia 3 😅😅😅Tunasubiria kwa hamuu mkuu natamani sana kujua mliyamalizaje na mchagah!
😂😂😂😂! Mchagga noumaaaa!!😁Mchaga nilimkimbiaga, japo tulikuja kuonana nilivyofataga cheti. Hakuwa na hasira tena, ila aling'ang'ania begi langu hadi nikamnunulia kitimoto na bia 3 😅😅😅
Una bahati umekataa ningekup buku saba?No way, wachaga na hela, hamuaminiki. Namaliza hapa hapa 😅😅
Mkuuu njoo basi
Unajua story zako wewe jamaaa,nashindwa kuelewa km Ni kweli au unatunga,Ila kipawa unacho Cha utungaji na Cha usimuliajiKaribu