Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afrikana.Upo sehemu gani nikuelekeze sehemu ukamuone afande mjamzito live, kuweka picha sio ustaarabu
Nenda kwenye vituo vya polisi kwa maelekezo zaidi ukienda usivae mkanda na viatu uvae malapa tuNaombeni mkate kiu yangu. Mbona maneno mengi vitendo ni vichache? Nataka picha
UMEENDA kugooglesahv wewe😁View attachment 2960169View attachment 2960170View attachment 2960171
ukitaka na za komando mjamzito ninazo
Mbona hawa ni kama waigizaji tu? Siyo wanamuziki akina Shakira hawa? Tupia moja ya askari wa kibongo tuone?View attachment 2960169View attachment 2960170View attachment 2960171
ukitaka na za komando mjamzito ninazo
Kabisa yaani.Umeenda kugoog
UMEENDA kugooglesahv wewe😁
Hivi kumbe hawaruhusiwi hata kufanya?Askari wa kike hawafanyi ujinga mimba watazitoa wapi?
Jambo Afande..Askari wa kike hawafanyi ujinga mimba watazitoa wapi?
Yanaruhusiwa kufanya ila hayana romance malavidavi sijui denda kumuandaa. Yani mkishakubaliana tu anakutupa kitandani huko halafu style ni moja kifo cha mende/missionary. Ukimfikisha kileleni anakunyuka makonzi ya kutosha na kukung'atang'ata.Hivi kumbe hawaruhusiwi hata kufanya?
Naskia hawana wombs na ovaries ni matransgenders.Sijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Njoo home muone wifi yako uje useme tena unataka picha.Mbona hawa ni kama waigizaji tu? Siyo wanamuziki akina Shakira hawa? Tupia moja ya askari wa kibongo tuone?
Inamaana hujawahi kuona mtoto wa WP?Sijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.