Sijawahi kuona Askari akiwa mjamzito

Sijawahi kuona Askari akiwa mjamzito

images (66).jpeg
images (65).jpeg
images (64).jpeg


ukitaka na za komando mjamzito ninazo
 
Kama wana mbususu why wasipate mimba na sheria ya maumbile ya asili ipo palepale haijali uaskari? Kuna mmoja alifunga ndoa na askari mwenzake japo majeshi tofauti. Nimewahi kuona askari wa kampuni analinda ATM huku akiwa mjamzito kavaa tineti/dera.
 
Back
Top Bottom