Sijawahi kuona Askari akiwa mjamzito

Sijawahi kuona Askari akiwa mjamzito

Asikari wa kike hubeba mimba kama wanawake wengine.

Akiwa mjamzito hatavaa sare, na hupunguziwa majukumu mazito kama ya usalama barabarani na doria.

Hukaa kaunta kufanya vikazi vya kawaida vya kalamu na kufungulia mahabusu au kuwafungia.

Mimba ikiwa kubwa au wakijifungua hupewa maternity leave!


Tatizo Hawa viumbe wanasheria za kuzaa, lakn pia wakizaa wawili hawataki kuzaa tena na hata kuwazalisha Hawa viumbe hawapo.

Onyo: usitongoze na kuoa asikari. Hawafai Kwa ndoa
Kwamba wewe ndie muumbaji wa hao Askari wa Kike? Au ndio ulikabidhiwa operational menu yao?
 
Sijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?

Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Askari wengi wa kike wanaolewa na askari wenzao wa kiume, je unataka kusema ni potents?
 
Asikari wa kike hubeba mimba kama wanawake wengine.

Akiwa mjamzito hatavaa sare, na hupunguziwa majukumu mazito kama ya usalama barabarani na doria.

Hukaa kaunta kufanya vikazi vya kawaida vya kalamu na kufungulia mahabusu au kuwafungia.

Mimba ikiwa kubwa au wakijifungua hupewa maternity leave!


Tatizo Hawa viumbe wanasheria za kuzaa, lakn pia wakizaa wawili hawataki kuzaa tena na hata kuwazalisha Hawa viumbe hawapo.

Onyo: usitongoze na kuoa asikari. Hawafai Kwa ndoa
Ukianza kazi unakaa 3yrs bila kuolewa or kubeba mimba otherwise unafukuzwa huu ni mkataba kabisa,ndani ya miaka hio unapigishwa kozi za kitosha,
But ukiolewa ndio masharti mengi ya kizaa km alivyosema mmojawapo wanakupatia kazi nyepesi and hutaweza mjua maybe umfahamu kwakua kl kitu kwao nidhamu ni namba 1
 
Back
Top Bottom