Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakawii kukugeuka hao katikati ya mchezo unaanza kuchezea kipondoalinipenda balaa kwa maana hakuwa anakaa na mume nusu nitunukiwe lkn sikutaka.
Kwamba ulikataa kutunukiwa mimba?!Wapo mm nilishuhudia mmoja huyo alikuwa pisi kali nikawa nampelekea matunda kila siku alinipenda balaa kwa maana hakuwa anakaa na mume nusu nitunukiwe lkn sikutaka.
Wewe ndiye umechangia mada ipasavyo. Mada Inataka picha siyo maneno
Askari wameruhsiwa mimba zao kuziacha nyumbani wanapokwenda kwenye majukukumuSijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Kwamba wewe ndie muumbaji wa hao Askari wa Kike? Au ndio ulikabidhiwa operational menu yao?Asikari wa kike hubeba mimba kama wanawake wengine.
Akiwa mjamzito hatavaa sare, na hupunguziwa majukumu mazito kama ya usalama barabarani na doria.
Hukaa kaunta kufanya vikazi vya kawaida vya kalamu na kufungulia mahabusu au kuwafungia.
Mimba ikiwa kubwa au wakijifungua hupewa maternity leave!
Tatizo Hawa viumbe wanasheria za kuzaa, lakn pia wakizaa wawili hawataki kuzaa tena na hata kuwazalisha Hawa viumbe hawapo.
Onyo: usitongoze na kuoa asikari. Hawafai Kwa ndoa
Ewaa! Au hata bakabaka kachomekea lkn ana mimba ya miezi 7.Hapa tunamaanisha polisi trafik Yuko barabarani anaongoza magari huku amevaa teneti.
Ndiyo maana...!!!Askari wameruhsiwa mimba zao kuziacha nyumbani wanapokwenda kwenye majukukumu
Askari wengi wa kike wanaolewa na askari wenzao wa kiume, je unataka kusema ni potents?Sijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Intellijensia ya grshi ra porisiNdiyo sababu haziinekani kumbe
Funguja kidogo mkuu kuhusu hili onyo.Onyo: usitongoze na kuoa asikari. Hawafai Kwa ndoa
Nani alikuambia?Ni obvious kwamba mwanaume habebi ujauzito
Hawana mfuko (womb) wa kibebeaNani alikuambia?
Bado haujaona waliobeba mimba?Hawana mfuko (womb) wa kibebea
Ukianza kazi unakaa 3yrs bila kuolewa or kubeba mimba otherwise unafukuzwa huu ni mkataba kabisa,ndani ya miaka hio unapigishwa kozi za kitosha,Asikari wa kike hubeba mimba kama wanawake wengine.
Akiwa mjamzito hatavaa sare, na hupunguziwa majukumu mazito kama ya usalama barabarani na doria.
Hukaa kaunta kufanya vikazi vya kawaida vya kalamu na kufungulia mahabusu au kuwafungia.
Mimba ikiwa kubwa au wakijifungua hupewa maternity leave!
Tatizo Hawa viumbe wanasheria za kuzaa, lakn pia wakizaa wawili hawataki kuzaa tena na hata kuwazalisha Hawa viumbe hawapo.
Onyo: usitongoze na kuoa asikari. Hawafai Kwa ndoa
Kumradhi wadau sioni picha hapa JF, tatizo ni nini? Natumia Samsung A24View attachment 2960169View attachment 2960170View attachment 2960171
ukitaka na za komando mjamzito ninazo
Picha za Wajeda wa Bongo bana ndio tunatakaView attachment 2960169View attachment 2960170View attachment 2960171
ukitaka na za komando mjamzito ninazo
hahah hao hawaruhusiwi hata kupiga selfie na gwanda picha zao za ni gwanda highly classifiedPicha za Wajeda wa Bongo bana ndio tunataka
Comments reservedSijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.