Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Andika hivi;Sijawahi kuona askari mwanamke mjamzito.Sijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika hivi;Sijawahi kuona askari mwanamke mjamzito.Sijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Huwa unaonana nao wakienda clinic na kutoka.Sijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Mimba zao zinakaa kwenye mabutiSijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Wapo mm nilishuhudia mmoja huyo alikuwa pisi kali nikawa nampelekea matunda kila siku alinipenda balaa kwa maana hakuwa anakaa na mume nusu nitunukiwe lkn sikutaka.Sijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Ulitaka kula tunda kimasihara?Wapo mm nilishuhudia mmoja huyo alikuwa pisi kali nikawa nampelekea matunda kila siku alinipenda balaa kwa maana hakuwa anakaa na mume nusu nitunukiwe lkn sikutaka.
Sikuwa na lengo hiloUlitaka kula tunda kimasihara?
We ndio yule ulikuwa unapita na mkokoteni kumletea matunda yule askari? Acha kujibembeleza kwa wake za watu, utapata shida dogo.Sikuwa na lengo hilo
Acha dharau dogo.🙂🙃
Wale wa makampuni sio Askari Ni walinzi.Kama wana mbususu why wasipate mimba na sheria ya maumbile ya asili ipo palepale haijali uaskari? Kuna mmoja alifunga ndoa na askari mwenzake japo majeshi tofauti. Nimewahi kuona askari wa kampuni analinda ATM huku akiwa mjamzito kavaa tineti/dera.
Kama ndo hivi hawawezi kubeba mimbaUkimfikisha kileleni anakunyuka makonzi ya kutosha na kukung'atang'ata.
Ni obvious kwamba mwanaume habebi ujauzitoAndika hivi;Sijawahi kuona askari mwanamke mjamzito.
Mleta mada atasema huyu sio askari ni Police. 😂View attachment 2960169View attachment 2960170View attachment 2960171
ukitaka na za komando mjamzito ninazo
Ndiyo sababu haziinekani kumbeMimba zao zinakaa kwenye mabuti
Kumbe kitendo kinachopelekea kubebeshwa mimba ni ujinga?Askari wa kike hawafanyi ujinga mimba watazitoa wapi?
Niko hapa kwenye pori la Nyakanazi.Unaishi pori gani ndugu mleta mada?