Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Mi natumia simu kama yako na ninaona picha fresh, jaribu ku updateKumradhi wadau sioni picha hapa JF, tatizo ni nini? Natumia Samsung A24
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi natumia simu kama yako na ninaona picha fresh, jaribu ku updateKumradhi wadau sioni picha hapa JF, tatizo ni nini? Natumia Samsung A24
Askari akiwa mjamzito havai uniform, na maranyingi wanafanya kazi za ofisini tuEwaa! Au hata bakabaka kachomekea lkn ana mimba ya miezi 7.
Huwezi kumjua maana anapobeba mimba havai gwanda anavaa kawaida gauni hadi anajifungua, sa utajuaje huyu ni mjeda kwa mtaani? Labda uende vituoni wapo wengi tuSijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Mtoto wa Mjini CPA Amos Makala ,baba na mama yake wote walikuwa maaskari.Sijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.
Hahahah... dah kweli aisee.. au huwa wanapewa maternity leave kuanzia ujauzito ukiwa na wiki moja?Sijawahi kuona askari akiwa mjamzito. Huwa hawabebi mimba?
Mwenye picha ya askari akiwa mjamzito atupie hapa.