Sijawahi kuona Askari akiwa mjamzito

Kama wana mbususu why wasipate mimba na sheria ya maumbile ya asili ipo palepale haijali uaskari? Kuna mmoja alifunga ndoa na askari mwenzake japo majeshi tofauti. Nimewahi kuona askari wa kampuni analinda ATM huku akiwa mjamzito kavaa tineti/dera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…