Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Kirusi cha Korona kilichoboreshwa kiko mjini. Tuanze kujifukiza na kunywa malimau na tangawizi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je aliyebaki wamemsaidiajeHapa hakuna cha ujuzi. Maelezo ya alivyofariki ni kuwa alikuwa na kikohozi na kifua kubana kwa sababu ya virus. Hivyo hii ni tahadhari ili kama aliambukizwa na marehemu asisambaze.
Keep distance ni moja ya hatua za kuchukua, umesahau?Kwa hiyo uwo utepe mwekundu ndio unazuia korona , maana hata barakoa hakuna.
Yamkini ni tahadhari za COVIDMkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
watu wengi kila mmoja akimpumulia kwa karibu ataambukizwa magonjwa. Ni kumlinda with infectious agents be it corona virus or bacteriaMkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
na wewe utapungua haka kama wewe ni mkuki, utapungua tuNimemsikia Ummy anamwaga upupu ila nchi hii acha wapungue kwanza
Siwezi kusema acha tupungue wakati bado nipo. Ila nasema acha wapungue wanaotanguliana wewe utapungua haka kama wewe ni mkuki, utapungua tu
💯Wewe elewa mume wake kafa kwa kubanwa kifua....!!
Kumbe mwoga wa kufaSiwezi kusema acha tupungue wakati bado nipo. Ila nasema acha wapungue wanaotangulia
Ungekuta Marekani wameshatoa taarifa tupewe mkopo wa chanjo...na hao waliokufa ni watu maarufu na wamesafiri nchi za ulaya hivyo chanjo za Covid walishachanjwa maana ni lazimaKuna corona mpya ila kama kawaida hatuambiwi mapema mpaka watu wengi wafe. Nimeongelea hili sehemu nyingine.