Sijawahi Kuona Hii Kitu kwa Mfiwa, Anayejua Ina Maana Gani?

Sijawahi Kuona Hii Kitu kwa Mfiwa, Anayejua Ina Maana Gani?

20230514_163239.jpg

Covid 19 imechachamaa
 
Kuna corona mpya ila kama kawaida hatuambiwi mapema mpaka watu wengi wafe. Nimeongelea hili sehemu nyingine.
Ungekuta Marekani wameshatoa taarifa tupewe mkopo wa chanjo...na hao waliokufa ni watu maarufu na wamesafiri nchi za ulaya hivyo chanjo za Covid walishachanjwa maana ni lazima
 
Back
Top Bottom