Ukiniambia ni ile covid iliyomaliza 'kundi lile' imekuja "kusafisha" njia kwaajili ya "kundi jipya" nitashawishika, maana hawa wamechanja chanjo zote alizochanja Joe BidenKirusi cha Korona kilichoboreshwa kiko mjini. Tuanze kujifukiza na kunywa malimau na tangawizi....
Kajamba nani ni wabishiKwanini iwe maeneo ya kishua tu?
Sasa li Magonjwa Mtambuka kilichokuchekesha hapa nini?Kwa hiyo uwo utepe mwekundu ndio unazuia korona , maana hata barakoa hakuna.
Wewe umezindukia wapi tena? Nilifikiri umeshavuta kamba🤣🤣Sasa li Magonjwa Mtambuka kilichokuchekesha hapa nini?
Niko huku juu HammerfestWewe umezindukia wapi tena? Nilifikiri umeshavuta kamba🤣🤣
Mbowe naye, kila sehemu yupo.Mkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
Ni kweli Korona imeingia. Inadondosha watu.Kuna corona mpya ila kama kawaida hatuambiwi mapema mpaka watu wengi wafe. Nimeongelea hili sehemu nyingine.
Wavae barakoa kwani kuna Coronainashangaza maana hata barakoa hawajavaa
Kwani wewe umekatazwa?Mbowe naye, kila sehemu yupo
Hujajifunza kwenye korona? Mumewe kafa juzi, unataka ujichanganye naye?Mkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
Inasemekana changamoto za kupumua zimeanza tena. tetesi lkn!Mkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
Kuna is wimbi ka mafua makali kikohozi na makavu Kubana kaa mbali ....mbaliMkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
Kelsea uliyemuulizia umemuona ndani ya utepe😆Mkuu pole kwa misiba hii iliyofutana.
Kuna hili la mfiwa kuzungushiwa utepe mwekundu akiwa kakaa mwenyewe, ni nini maana yake katika jamii iliyostaarabika?
View attachment 2621698
Membe amefariki kwa tatizo gani vile..?🤔Inasemekana changamoto za kupumua zimeanza tena. tetesi lkn!
Damu Kuganda Mwilini Unasababishwa Na VirusiMembe amefariki kwa tatizo gani vile..?🤔
Mwamba aligongwa Astra zanecawatu wengi kila mmoja akimpumulia kwa karibu ataambukizwa magonjwa. Ni kumlinda with infectious agents be it corona virus or bacteria