Mwenye falsafa yake hayupo tena, tujikinge tu kwa kuvaa barakoa, kutumia vitakasa mikono, kuzingatia na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima, ambao hawajachanjwa wakimbie wakapate chanjo
Tupo kwenye awamu ya sayansi mkuu, zile mashine za kujifukiza zilishachomwa moto