Sijawahi kuona Mtoto mjinga hivi

Sijawahi kuona Mtoto mjinga hivi

Kumbe hata hujasikiliza mpaka mwisho ila upo kubwatuka tu

Kaishi nae kwa miaka 12 toka wapo chuo na kazaa nae watoto 2, kwenye harakati za kutafuta elimu yao mumewe alimwambia asijiumize sana na kusoma sababu ipo siku atamuoa.......na kweli kamuoa

Mko na mastress yenu ya kuachwa lazima mchanganyikiwe, mnaona wanaume wote wataachwa km mlivyoachwa kwa aibu na majeraha, sio wanawake wote ni wajinga kama wa kwenu, wajinga wakubwa
Kapeace uko poa?!! Unapigia makofi ujinga aliouongea huyo Binti mbele za watu?!!!!! Hapo anafanya nn zaidi ya kurudisha jitihada za mtoto wa kike nyuma?!!!! Amewamotivate wengi tu hapo watulie tu huko mavyuoni wapanie mapaja wakisaka ahadi za kuolewa basi. Period.
 
Kapeace uko poa?!! Unapigia makofi ujinga aliouongea huyo Binti mbele za watu?!!!!! Hapo anafanya nn zaidi ya kurudisha jitihada za mtoto wa kike nyuma?!!!! Amewamotivate wengi tu hapo watulie tu huko mavyuoni wapanie mapaja wakisaka ahadi za kuolewa basi. Period.
mantiki yako na huyo niliyemnukuu ni vitu viwili tofauti,
 
Kumbe hata hujasikiliza mpaka mwisho ila upo kubwatuka tu

Kaishi nae kwa miaka 12 toka wapo chuo na kazaa nae watoto 2, kwenye harakati za kutafuta elimu yao mumewe alimwambia asijiumize sana na kusoma sababu ipo siku atamuoa.......na kweli kamuoa

Mko na mastress yenu ya kuachwa lazima mchanganyikiwe, mnaona wanaume wote wataachwa km mlivyoachwa kwa aibu na majeraha, sio wanawake wote ni wajinga kama wa kwenu, wajinga wakubwa
Duh iwee
 
L
Kumbe hata hujasikiliza mpaka mwisho ila upo kubwatuka tu

Kaishi nae kwa miaka 12 toka wapo chuo na kazaa nae watoto 2, kwenye harakati za kutafuta elimu yao mumewe alimwambia asijiumize sana na kusoma sababu ipo siku atamuoa.......na kweli kamuoa

Mko na mastress yenu ya kuachwa lazima mchanganyikiwe, mnaona wanaume wote wataachwa km mlivyoachwa kwa aibu na majeraha, sio wanawake wote ni wajinga kama wa kwenu, wajinga wakubwa
Kumbe wapumbavu mpo wengi hivi
 
Back
Top Bottom