Sijawahi kuona mtu anafunga magoli mawili kwa wakati mmoja

Sijawahi kuona mtu anafunga magoli mawili kwa wakati mmoja

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

1681141262711.png

Wanaomwita Jini hawako mbali na ukweli. Tazama alipiga mgoli wa kichwa akipokea krosi toka kwa Kibu Denga. Hilo lilikuwa goli tayari. Mara nyingi majini hayana huruma maana. Jini likaona litoe show watu wafurahi na viingilio vyao. Likaganda hewani dakika 2 linapiga mgoli wa Haaland.

Hapo yakawa yamefungwa magoli mawili kwa wakati mmoja. Mimi sijawahi kuona popote hata ndotoni mtu anafunga magoli ya hivi.
 
U
View attachment 2584135
View attachment 2584137

Wanaomwita Jini hawako mbali na ukweli. Tazama alipiga mgoli wa kichwa akipokea krosi toka kwa Kibu Denga. Hilo lilikuwa goli tayari. Mara nyingi majini hayana huruma maana. Jini likaona litoe show watu wafurahi na viingilio vyao. Likaganda hewani dakika 2 linapiga mgoli wa Harland.

Hapo yakawa yamefunga magoli mawili kwa wakati mmoja. Mimi sijawahi kuona popote hata ndotoni mtu anafunga magoli ya hivi
Uko sahihi...laiti angekuja mwanzo wa msimu ,mtikisa manyonyo asingemkaribia kwa ufungaji...mechi 14 goli 14... JINI BALEKE aka JINI VALEK
 
Asingehakikisha mpira uko ndani kwa ile tick taka, wale wahuni wa Ihefu wangeweza hata gomea kuendelea na mechi wakidai mpira haukudunda ndani ya mstari. Ni vizuri alifanya uhakiki mwenyewe kuondoa mashaka yoyote.
 
Back
Top Bottom