OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
Ndiyo marefa wetu mkuuSijui kwnn refa hakuweka mpira kati baada ya goli kuingia kwa mara ya kwanza. Ule mpira ulikuwa umevuka msitari kabisaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo marefa wetu mkuuSijui kwnn refa hakuweka mpira kati baada ya goli kuingia kwa mara ya kwanza. Ule mpira ulikuwa umevuka msitari kabisaaa
Afya yako vip?Poaah
Iko poaah!!Afya yako vip?
Halafu cocastic weweee hizi taarifa zako nilizopataaaaaa!
Vizuri kama upo ok, na uwe na afya njema kabisa.Iko poaah!!
Taarifa zipi hizo?? Hebu nambie.
Naona kuna mechi inaendelea hapa. Dakika za mwanzo 🤣🤣😫Vizuri kama upo ok, na uwe na afya njema kabisa.
Nasikia wewe ni beautiful balaaa! Na huna umri mkubwa badobado mbichiiii
Wachaaa wee!! Hebu sema kweli.Vizuri kama upo ok, na uwe na afya njema kabisa.
Nasikia wewe ni beautiful balaaa! Na huna umri mkubwa badobado mbichiiii
Ndo nimesikia upo hivo,hongera kwa kuwa beautiful na kuzaliwa kifaa kikali.Wachaaa wee!! Hebu sema kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna kitu mkuu,just appreciation tu.Hata sijawahi mwona dada wa watu ila nimesikia ni most beautiful among ladies humu.Naona kuna mechi inaendelea hapa. Dakika za mwanzo [emoji1787][emoji1787][emoji31]
Yule refa HAta mm sikumuelewa ni kama alikuwa amelikataa ,ndio maan beleke akaamua kulishindilia Kwa msisitizo akatae Tena na hiloSijui kwnn refa hakuweka mpira kati baada ya goli kuingia kwa mara ya kwanza. Ule mpira ulikuwa umevuka msitari kabisaaa
Ilikuwa ni kitendo cha haraka sana kilichofanywa na JINI.Sijui kwnn refa hakuweka mpira kati baada ya goli kuingia kwa mara ya kwanza. Ule mpira ulikuwa umevuka msitari kabisaaa
Usimlinganishe Mayele na vitu vya kijingaUmeona noma kumlinganisha na Mayele
Ahsanteee!!!Ndo nimesikia upo hivo,hongera kwa kuwa beautiful na kuzaliwa kifaa kikali.
Mayele mechi 9 tugoli tutanoUsimlinganishe Mayele na vitu vya kijinga
Lazima upo hivo,chanzo changu hakiwezi kuongopa.Ahsanteee!!!
Japo sidhani km ni kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee aliyekuambia kakudanganyaa. Hapa JF kuna wazuri balaa.Lazima upo hivo,chanzo changu hakiwezi kuongopa.
Sema huwa hamjijui kuwa ni wazuri,ww unajiona upo kawaida kumbe ni kifaa cha maana.
Anasogezwa mtu hapa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee aliyekuambia kakudanganyaa. Hapa JF kuna wazuri balaa.
Km wanaoga maziwaa.
Hata Kibu ilikuwa hiviMayele mechi 9 tugoli tutano
Jini mechi 9 goli 14
Acheni kisununu nyie Uto