Ulichoandika hapo juu ndio kupoa kwenyewe.Umejuaje?
Soma uelewa sinywi sana zamani nilikuwa mlevi mmoja mkubwa hapa nchini muulize Shunie
π Haya sawa vizuri hakuna mtu asokosa ujinga.Mimi naamini sio mjinga mjinga kama vijana watanzania walivyo
Sasa kumi na Moja upo home.Si kama unavyodhani ,mwanamke ukiwa perfect lazima akuchangamshe wewe kwa matukio.
Kuna mwanamme mmoja aliachwa kisa alikuwa perfect kila kitu.