Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawaUjinga ninao ila sio "mjinga mjinga "
Naachana nae mkuuNgoja ukutane na mtoto wa single mother akuvuruge mpaka maji uite mmaaa, kwa maana mwazoni ni wazuri sana wa kupritend kuwa wife matirio, ukishanogewa ndiyo anaanza mashambulizi akiwa na mama yake utajuta kuwafahamu!
Mama mkwe wangu uyo
hahah adriz siku hizi ana itwa enuch😂😂, cc SelikavuDogo adriz naye eti anamchumba mwarabu karibuni naye eti ataoa.
We will sabotage that marriage. Hatuwezi vumilia na kukubali taasisi ya ndoa inajisiwe.
Mufti kuku The Infinity Chaliifrancisco hydroxo PSL god BICHWA KOMWE -
Nyau de adriz
mwanamke ninae kuoa sio lazimaUnakataa ndoa Ili uolewe ?
Kuoa ukimaanisha kuwa ndoa ni harusi na Pete?mwanamke ninae kuoa sio lazima
Hii vita imeanza tena😂
Unayumba Jombis, sasa hivi sina raha hata Jf naingia kwa tochi nimepoteza my mood and composure, mtoto kaniweka pending wiki nzima tokea nimuambie kasema nimpe mda atanipa jibu..Dogo adriz naye eti anamchumba mwarabu karibuni naye eti ataoa.
We will sabotage that marriage. Hatuwezi vumilia na kukubali taasisi ya ndoa inajisiwe.
Mufti kuku The Infinity Chaliifrancisco hydroxo PSL god BICHWA KOMWE -
Nyau de adriz