Sijisifii ila mwanamke nitakayemuoa atakuwa amepata bahati tu

Sijisifii ila mwanamke nitakayemuoa atakuwa amepata bahati tu

Ngoja ukutane na mtoto wa single mother akuvuruge mpaka maji uite mmaaa, kwa maana mwazoni ni wazuri sana wa kupritend kuwa wife matirio, ukishanogewa ndiyo anaanza mashambulizi akiwa na mama yake utajuta kuwafahamu!
 
Ngoja ukutane na mtoto wa single mother akuvuruge mpaka maji uite mmaaa, kwa maana mwazoni ni wazuri sana wa kupritend kuwa wife matirio, ukishanogewa ndiyo anaanza mashambulizi akiwa na mama yake utajuta kuwafahamu!
Naachana nae mkuu
 
mwanamke ninae kuoa sio lazima
Kuoa ukimaanisha kuwa ndoa ni harusi na Pete?

Tafuteni vyeti kwa future ya watoto mfano ukaondoka duniani hakuna mtu ata treat vyema watoto wako zaidi ya mkeo

Haya hamna vyeti ukoo wenu unauhakika hakuna mwehu wa kumnyanganya Mali uyo mwanamke mlizo chuma?
 
Dogo adriz naye eti anamchumba mwarabu karibuni naye eti ataoa.

We will sabotage that marriage. Hatuwezi vumilia na kukubali taasisi ya ndoa inajisiwe.

Mufti kuku The Infinity Chaliifrancisco hydroxo PSL god BICHWA KOMWE -

Nyau de adriz
Unayumba Jombis, sasa hivi sina raha hata Jf naingia kwa tochi nimepoteza my mood and composure, mtoto kaniweka pending wiki nzima tokea nimuambie kasema nimpe mda atanipa jibu..

Ngoja nikubaliwe na mtoto mzuri nitarudi kwa Kasi mpya humu You will regret Maarass, sasa hivi bado nasubiria jibu najua siku yeyote yatakuja mazuri then nipate nguvu ya kuja humu full mkoko kutekeleza Mongolian Gang Maarasmitayo you and your gang ..
 
Back
Top Bottom