adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Hilo Nyangwisi linayumba , ngoja nikishaoa nitamtract nchi aliyopo nakuja nakuja kulipiga huko huko litajuta hilo zee.Acha wivu 🤣🤣
You The Mongolian Savage you will never sabotage my plans..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo Nyangwisi linayumba , ngoja nikishaoa nitamtract nchi aliyopo nakuja nakuja kulipiga huko huko litajuta hilo zee.Acha wivu 🤣🤣
Bahati halafu huna hela huyo mwanamke atakua amepata bahat gani? Pamoja na hayo yote uliyoyasema kama hela haitakuwepo bado sio bahat kwa mwanamke.Mimi sijipakulii minyama ila huyo mwanamke atakuwa kapata bahati sana Mimi sio mlevi sana, naheshimu mawazo ya watu, sikasiriki ovyo najitambua mno, simyenyekei mtu kisa ana pesa Wala mamlaka
Naamini kwenye ukweli hata kama Tanzania nzima itasema uongo sintoungana nayo .
Mungu anipe pesa za kujikimu Mimi na mke ajae maana niliapa sintoingia kwenye mahusiano Hadi niweze kuhudumia mke na mtoto hata kama mke atakuwa na kazi
Sifuati mkumbo nikitaka kuoa nitaoa yeyote NITAKAEmuona anaendana na Mimi bila kujali ni single mother, alikuwa anajiuza,nk
Sitakuja kuoa mwanamke mwenye roho mbaya maana Mimi Sina roho mbaya Mungu aniepushe na mwanamke mshirikina
HahahaDogo adriz naye eti anamchumba mwarabu karibuni naye eti ataoa.
We will sabotage that marriage. Hatuwezi vumilia na kukubali taasisi ya ndoa inajisiwe.
Mufti kuku The Infinity Chaliifrancisco hydroxo PSL god BICHWA KOMWE -
Nyau de adriz
😁😁😂😂 ila mkuu una misimamo! Mavi-jana ya siku hizi eti yanalilia yawowe Bikira lakini wewe hujali kitu! Hata anayejiuza twende kazi tu!Sifuati mkumbo nikitaka kuoa nitaoa yeyote NITAKAEmuona anaendana na Mimi bila kujali ni single mother, alikuwa anajiuza,nk
🤣🤣🤣🤣Atakuwa kashapata tayari mtu huyu[emoji1787][emoji1787] umeokota nazi chini ya mpera.
Naishi kwenye jamaa ya watu wenye pesa nyingi ila hana akili wewe unaweza kuwa mmoja kati yao sikushangaiBahati halafu huna hela huyo mwanamke atakua amepata bahat gani? Pamoja na hayo yote uliyoyasema kama hela haitakuwepo bado sio bahat kwa mwanamke.
HeheheWatakuja mbio wakidhani unamiliki benki kumbe ndio unajichanga, sijui kama watakuelewa ila kila la heri.
Mkuu kwani malaya Wanaojiuza hawakuwaga na bikra?😁😁😂😂 ila mkuu una misimamo! Mavi-jana ya siku hizi eti yanalilia yawowe Bikira lakini wewe hujali kitu! Hata anayejiuza twende kazi tu!
Upo sahihi kikubwa kufichiana madhaifu maana ata Mimi sio mkamilifu kutafuta mnaeendana then kufichiana madhaifu tuSifa zako ni safi, wasiwasi ni kupata mwenza aliye na sifa kama zako. Na mara nyingi ni vigumu kupata mke mnayefanana kwa tabia ndiyo sababu tunaambiwa tuishi nao kwa akili.
Sawa.Mwanaume mmoja Mimi sio uyo mwanaume Nina utofauti wangu na pia nitaempata hatokuwa kama mwanamke wa yule mwanaume mmoja
Ndiyo inavyokuwa.Sasa kumi na Moja upo home.
Unapenda kununua groceries /Hautaki sema unaenda sokoni.
Unajali familia yako , Una make sure Wamekula siyo kuleta tuu sometimes mpaka kuandaa chakula esp Kwa mwanao/wanao.
Hupendi conflicts, Una diplomatic way of solving problems , Hadi jamii Inakuheshimu for that , ..
Unakuta mke kidudu mtu , korofi , haambiliki .. Mambo million goddamn
😂😂😂😂Eh kwahio umetoboka mifukoBado sijapata hela nikipata nitakuambia tuishi