Sijisifii ila mwanamke nitakayemuoa atakuwa amepata bahati tu

Sijisifii ila mwanamke nitakayemuoa atakuwa amepata bahati tu

Mimi sijipakulii minyama ila huyo mwanamke atakuwa kapata bahati sana Mimi sio mlevi sana, naheshimu mawazo ya watu, sikasiriki ovyo najitambua mno, simyenyekei mtu kisa ana pesa Wala mamlaka

Naamini kwenye ukweli hata kama Tanzania nzima itasema uongo sintoungana nayo .

Mungu anipe pesa za kujikimu Mimi na mke ajae maana niliapa sintoingia kwenye mahusiano Hadi niweze kuhudumia mke na mtoto hata kama mke atakuwa na kazi

Sifuati mkumbo nikitaka kuoa nitaoa yeyote NITAKAEmuona anaendana na Mimi bila kujali ni single mother, alikuwa anajiuza,nk

Sitakuja kuoa mwanamke mwenye roho mbaya maana Mimi Sina roho mbaya Mungu aniepushe na mwanamke mshirikina
Bahati halafu huna hela huyo mwanamke atakua amepata bahat gani? Pamoja na hayo yote uliyoyasema kama hela haitakuwepo bado sio bahat kwa mwanamke.
 
Sifa zako ni safi, wasiwasi ni kupata mwenza aliye na sifa kama zako. Na mara nyingi ni vigumu kupata mke mnayefanana kwa tabia ndiyo sababu tunaambiwa tuishi nao kwa akili.
 
Sifuati mkumbo nikitaka kuoa nitaoa yeyote NITAKAEmuona anaendana na Mimi bila kujali ni single mother, alikuwa anajiuza,nk
😁😁😂😂 ila mkuu una misimamo! Mavi-jana ya siku hizi eti yanalilia yawowe Bikira lakini wewe hujali kitu! Hata anayejiuza twende kazi tu!
 
mwanamke ana kazi kubwa mbili kwa mwanaume:
1. kukutuliza ukichanganyikiwa
2. kukuchanganya ukitulia
 
FB_IMG_1740557507355.jpg
 
Bahati halafu huna hela huyo mwanamke atakua amepata bahat gani? Pamoja na hayo yote uliyoyasema kama hela haitakuwepo bado sio bahat kwa mwanamke.
Naishi kwenye jamaa ya watu wenye pesa nyingi ila hana akili wewe unaweza kuwa mmoja kati yao sikushangai
 
😁😁😂😂 ila mkuu una misimamo! Mavi-jana ya siku hizi eti yanalilia yawowe Bikira lakini wewe hujali kitu! Hata anayejiuza twende kazi tu!
Mkuu kwani malaya Wanaojiuza hawakuwaga na bikra?

Wanaotaka kuoa bikra ni vijana wachuo au walio form six Hawajui umalaya unachangiwa na vitu vingi sana

Unaweza pata bikra ukamtoa then yakawa yake ya nyimbo ya prof jay na ferooz NIKUSAIDIEJE"

Wengi vijana Hawawezi kunielewa because ata vioo vyao vya jamii msanii anaingia studio ana record nyimbo ya Bora ya mwaka inayoitwa" NAENDA KUPANDA NDEGE" 😁
 
Sifa zako ni safi, wasiwasi ni kupata mwenza aliye na sifa kama zako. Na mara nyingi ni vigumu kupata mke mnayefanana kwa tabia ndiyo sababu tunaambiwa tuishi nao kwa akili.
Upo sahihi kikubwa kufichiana madhaifu maana ata Mimi sio mkamilifu kutafuta mnaeendana then kufichiana madhaifu tu
 
Sasa kumi na Moja upo home.
Unapenda kununua groceries /Hautaki sema unaenda sokoni.

Unajali familia yako , Una make sure Wamekula siyo kuleta tuu sometimes mpaka kuandaa chakula esp Kwa mwanao/wanao.

Hupendi conflicts, Una diplomatic way of solving problems , Hadi jamii Inakuheshimu for that , ..
Unakuta mke kidudu mtu , korofi , haambiliki .. Mambo million goddamn
Ndiyo inavyokuwa.
 
Back
Top Bottom