Sijivunii wazazi wangu

Ulitaka wakaibe wakupe maisha?? Kama wao tu hawajiwezi kwanini utake kupewa msaada wewe? Aise...
Wewe baba yako akikutukana kisa umekosa hela ya kumpaa unajisikiaje??? Wazazi wengine vimeoo tuu huo ndio ukweliii...
 
Vipo vya kuvumilia ila sio Mzazi kumtukana mwanae kisa hana helaaa ya kukusaidiaaa... Hao ni wazazi wapumbavuuuu
 

Haya mawazo yanakutesa wewe na sio wao, achana nayo kabisa, wasamehe, wapuuze, na huwajibiki kutumwa kwao hat 1000. Usiseme hukuambiwa.
 
Mambo ya baba, mama na mtoto ni yametengenezwa tu na jamii tunazoishi. Hayana uhusiano wowote kimwili Wala kiroho; ukizaa ndo umemaliza tu, uliyemzaa halazimika kumtambua aliyemzaa. Ndiyo maana wazazi wengine wanatumia muda na ngunvu nyingi kuwaaminisha watoto wao kuwa wamewazaa kwa jina la malezi. Wewe chapa kazi, hakuna kitu kinakufunga eti Kwa jina la wazazi. Nasema chapa kazi.
 
Pole kwa maumivu uliyo nayo.

Umeleta uzi wako jukwaani jitahidi usome ukiwa positive, tarajia maoni tofauti,anaetoa ushauri usioupenda usione kuwa anakupinga au hajakuelewa.
Nimeona unafurahia comments zile tu zinazolaumu wazazi, yes wazazi huwa wanakosea sababu nao ni binadamu.
Naunga mkono alichosema Ushimen.
Mungu akuondolee maumivu uliyo nayo moyoni uwe huru.
 
Mimi nafikiri haya umeyaandika ili upate kuuponya moyo na kupunguza maumivu.
Kama umefikiri hivyo,muache Basi Basi apunguze maumivu kuuponya Moyo wake...kuanza kumpa maelezo mengi nahisi utamuongezea maumivu
 
Vipo vya kuvumilia ila sio Mzazi kumtukana mwanae kisa hana helaaa ya kukusaidiaaa... Hao ni wazazi wapumbavuuuu
Ni kweli mkuu.[emoji817][emoji817][emoji817]

Mtu mjinga na mpumbavu akiwa mzazi, HAIFANYI ujinga wake kuisha Akilini.

Watu wajinga na wazazi wazembe wanataka kutumia kigezo cha "Uzazi" kama defence mechanism (silaha ya kujilinda) na uzembe wao pamoja na ujinga...

Hakuna kulea kujinga let them reap what they sow!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Hakuna slope babuu pambana
 
Kamwambie baba /mama yako kwamba ungeweza kuzaliwa na couple nyingine yoyote duniani halafu utuletee mrejesho! Au mwanao akwambie hivyo utajiskiaje? HESHIMU WAZAZI UNA DNA ZAO [emoji120]
Ndio ingewezekana kabisa kuzaliwa na couple nyingine, Haikuwa lazima iwe wao..

Hapa najibu kwa hoja sio Hisia... ukweli ni kwamba wazazi walikuwa kwenye starehe na raha zao tu wala hawakujua kwamba ningezaliwa mimi.

Ni mipango ya Mungu tu, kufahamu mtu fulani atazaliwa na couple gani...wala sio lazima kwamba eti kulikuwa na ulazima wa wewe kuzaliwa na hiyo couple...

Nachojaribu kukwambia hapa ni kwamba wazazi wasi watishie wanao na kuwanyanyasa kwa kigezo cha"Uzazi" na kukitumia kama defence mechanism ya kuficha ukweli wa uzembe na ujinga wao.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kwani mkuu, kwanini mleta mada asinge amua kubadilisha then akuwe na wazazi wa vile anataka, kwani shida ingekua wapi??
Hawezi kuwabadilisha awe na wazazi anao wataka...

Lakini pia hichi sio kigezo cha kufanya mleta mada ashindwe kuzungumzia Uzembe wa wazazi wake..

Kushindwa kuwabadilisha wazazi wake awe anavyo taka, Sio Kigezo wala defence mechanism ya kutetea "uzembe wa wazazi" ....

Naona wewe unatumia Asili(nature) kwa vile haibadiliki kutaka kumwambia mleta mada Awasifiee tu, Licha ya kwamba walikuwa wazembe...

Yani unataka hata mzazi awe mzembe au mjinga basi mtoto anapaswa Kumsifu na kumsifia tu, kitu ambacho ni ujinga na kinalea na kutetea ujinga....

Mzazi anastahili kukosolewa kwa Uzembe wake,Sio asifiwe tu eti kwa vile huwezi kumbadilisha..!!! Utakuwa ni ujinga wa hali ya juu....

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mie kwa mtazamo wangu naona mtoa mada .. sio kwamba analaumu wazazi au kutoheshimu wazazi.
Ni kwamba anatoa maumivu anayopitia kutoka kwa wazazi

wangapi n wazazi maskini lakini anakaa kwa upendo na mtoto mpaka mtoto anaona mzazi wangu pamoja na umaskini ila kanilea kwa upendo na anamwombea mwanae apate na anashukuru anachotumiwa.

Sasa wewe hujamlea mtoto kiupendo pia bado unajua kwa umri huu mwanangu angetakiwa kuwa shule ila kaamua apambane na maisha.. kwanini usimpe support kwa maneno ya upendo ,faraja na kumuombea apate zaidi.

Ila wanachofanya wazazi wa huyu kijana ni ubinafsi na kutojali ndo kinachoumiza zaidi sio umaskini...
Ifike muda mzazi utake responsibility ya matendo yako.

Haya huyo baba ye mbona hana msaada kwa mama yake ..mpaka analelewa na mzazi wake tena mzee..hamuoni kuwa ye ndo anamatatizo.

Kijana endelea kupambana.. saidia unapoweza usipoweza usijiumize.
Mwenyezi Mungu anajua dhamira yako kuliko sie binadamu.
 
Mtu anazaaa ili asichekwe na jamii lkn deep down hana mapenzi na huyo mtoto / watoto...what a waste![emoji848]
So sad kwa kweli, Hao ndio wazazi wajinga ninao wazungumzia....

Mtu anakurupuka huko kuleta kiumbe duniani hajui atamhudumia vipi,hajui atamleaje, hajua atavaa nini,

Mwisho wa siku anakimbia majukumu na kumtelekeza mtoto...

Mtoto anakua kwa tabu, Anapambana kweli kweli mwisho wa siku anatoboa na kufanikiwa...

Mzazi yule yule mkwepa majukumu anakurupuka kutoka kusikojulikana ana anza kutumia "Uzazi" kama defence mechanism (silaha ya kujilinda) kuficha Uzembe na ujinga wake kumsumbua mtoto...

Hii haikubaliki kabisa na sio sahihi... wazazi wazembe sio wa kuwasaidia hata senti moja!! Ni kuwaacha wavune walicho panda na wao waonje joto la jiwe...

Principle ya dunia ni moja "You will reap what you sow"....wala hakuna kulea ujinga.never!!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Umefika fomu foo bado unataka wakubebe wawe wanatembea na wewe huko mjini.

Pambaneni huko na msisahau kuleta pesa kwa wazazi.
 
Mzazi ni mzazi hata kama alikutupa jalalani wasamaria wema wakakuokota. Samehe patana nae, let the universe decide.
 
Mzazi wako unamwita mzembe aloo [emoji15][emoji15], natamani mzee wangu angekuwepo asee
Mtu kuwa mzazi sio kigezo cha kwamba hawezi kuwa mjinga!!!

Pia mtu mjinga kuwa mzazi HAIFANYI ujinga wake kuisha Akilini...

Mzazi kuwepo ama kutokuwepo ni sawa maana kifo ni njia yetu sote...

Uzembe wa mzazi lazima usemwe haijalishi yupo hai ama huyupo hai kama alikuwa mjinga na mzembe ukweli utabaki ndio huo.....

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mzazi ni mzazi hata kama alikutupa jalalani wasamaria wema wakakuokota. Samehe patana nae, let the universe decide.
Hii kauli yako ni defence mechanism (silaha ya kujilinda) kwa wazazi wazembe wasiowajibika kuficha Uzembe wao na ujinga....

Mzazi akutupe jalalani abaki kuwa mzazi.Huyo ni mzazi Jina tu na mzazi wa kibaiolojia tu...

Ila huyo mzazi anakuwa ni mjinga, mwehu na mpumbavu na wala hastahili heshima ya kuitwa mzazi..

Ova!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…