Sijivunii wazazi wangu

Sijivunii wazazi wangu

Sema huna hoja! Sio unabadilisha mada Tuanze kudiscuss Atheist na Theist...[emoji23]

Back to the topic...!!

Nakwambia hivi mzazi naye ni mtu na binadamu kama wengine Hivyo anaweza kuwa mjinga vilevile.

Mtu mjinga akiwa mzazi HAIFANYI ujinga wake kuisha Akilini mwake.

U gar it?????

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ukiacha ujinga wa mzazi, mzazi pia anaweza akawa taariha ama kichaa kabisa, lakini hii bado haimpi mtoto another option ya kurudisha wakati nyuma ili awe na mzazi anaefaa.
Kitu pekee ninacho kijua nikwamba nijukumu la mzazi kutambua wajibu wake kwa mtoto wake.... basi kama mzazi ni mpumbavu kama unavyosema, then hii haimfanyi mtoto awe na mamlaka ya kumtukana mzazi wake kwamba ni moumbavu.
 
HESHIMU Baba na mama yako (waliokuzaa) upate kuishi miaka mingi na heri duniani! Mapungufu yao hayabadili ukweli kuwa walikuzaa, bila wao kukutana usingetype huu UPUMBAVU hapa!
Nakuona type ya baba Diamond, baba Ommy Dimpoz na baba Mwana FA unatetea timu yako. Kaa kwa kutulia hakuna kula vya bure round hii
 
Nakuona type ya baba Diamond, baba Ommy Dimpoz na baba Mwana FA unatetea timu yako. Kaa kwa kutulia hakuna kula vya bure round hii
Ushimen ananipa bad mood lakini hii comment imenichekesha sana😁😁😁 usikute huyu ushimen ni mzee abduli naangaika kumuelewesha.
 
Tupigane kwa hoja mkuu, wala usikubali hasira iutawale moyo wako...[emoji12]
Kwahiyo unaona nisahihi kijana kumlaumu mama yake kwamba ni singo mama??
Na unaona ni hekima kwa kijana kumlaumu baba yake kwamba bado anaishi kwao na ndio maana hajivunii??
Yaani unaona niswa kabisa kijana anapo siaitiza kwamba anashukuru kusoma bure na bila hivyo asingefika hata kidato cha nne..!!
Hapo mkuu,

Inabidi mleta mada akubaliane na Hali halisi ilivyo ya kwamba wazazi wake ni wa kwake ndio, Lakini na wao pia walifanya uzembe kumlea yeye.

Kwa sasa yeye (mleta mada) inabidi Adili na ku focus na Maisha yake kwanza na future yake ... Apunguze misaada kwa wazazi wake...

Akubali ndio ni wazazi wake lakini asiwa endekeze sana kuwasaidia.....

Acha na wao wavune matunda ya uzembe wao kwa kumtenga jamaa yetu mleta mada hapa...

Let them reap what they sow....

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Ebu nenda kaquote nilipoandika neno najutia, Mkuu mimi najitambua sana lait ungejua hilo au ungekuwa karibu nami ukapata uhalisia wa maisha yangu hadi hapa nilipo usingenipinga hata kidogo... Watu wenye ufahamu zaidi yangu huniambia nisahau na niwachukulie tu kama ndo mtihani wangu niishi nao kibishi kwa heshima ila sijawahi kupingwa hisia zangu juu ya yao.
Bado naendelea kupingana na wewe kwa hoja... kwasababu wewe umepatikana baada ya baba na mama yako kukutana kwaajili ya starehe zao, hivyo basi hauna namna nyingine zaidi ya kukubaliana na ukweli kwamba hao ndio wazazi wako..😎
 
Bado naendelea kupingana na wewe kwa hoja... kwasababu wewe umepatikana baada ya baba na mama yako kukutana kwaajili ya starehe zao, hivyo basi hauna namna nyingine zaidi ya kukubaliana na ukweli kwamba hao ndio wazazi wako..😎
hilo sijapinga ila hainifanyi nijivunie. Maana wanasema kazi sio kuzaa ni kulea.... Mimi nimelelewaje?
 
Hapo mkuu,

Inabidi mleta mada akubaliane na Hali halisi ilivyo ya kwamba wazazi wake ni wa kwake ndio, Lakini na wao pia walifanya uzembe kumlea yeye.

Kwa sasa yeye (mleta mada) inabidi Adili na ku focus na Maisha yake kwanza na future yake ... Apunguze misaada kwa wazazi wake...

Akubali ndio ni wazazi wake lakini asiwa endekeze sana kuwasaidia.....

Acha na wao wavune matunda ya uzembe wao kwa kumtenga jamaa yetu mleta mada hapa...

Let them reap what they sow....

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Perfect, nafikiri anapaswa kufanya maisha yake na sio lazima awasaidie kwasababu yawezekana anayo maumivu kwasababu hata wazazi wake hawaku timiza wajibu wao kwao.
Lakini pia anapaswa akubakiane na hali halisi ya wazazi wake kama ulivyo shauri isipokua aiswatukane wala kuwasemea vibaya kwasababu tayari wale ni wazazi wake na haitokaa ibadilishike.
 
HESHIMU Baba na mama yako (waliokuzaa) upate kuishi miaka mingi na heri duniani! Mapungufu yao hayabadili ukweli kuwa walikuzaa, bila wao kukutana usingetype huu UPUMBAVU hapa!
Kwani ilikuwa lazima wao tu kukutana kati ya watu billion 8 dunia nzima ndio mleta mada angezaliwa???

Wala haikuwa lazima iwe wao wamzae, Ni mipango ya Mungu tu imefanya iwe hivyo.

Msitumie kigezo cha "uzazi" kama defence mechanism ya kutetea uzembe wa wazazi eti kwamba hawapaswi kusemwa kwa vile tu wao ndio ilikuwa lazima wakulete duniani..

Wala haikuwa lazima iwe wao,ni mipango ya muumba tu...

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
hilo sijapinga ila hainifanyi nijivunie. Maana wanasema kazi sio kuzaa ni kulea.... Mimi nimelelewaje?
Nafikiri kwasasa haupaswi kulaumu kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako. Zaidi ebu libebe kama fundisho ili nawewe usije ukarudia kosa hilo kwa watoto wako.... lakini pia sio vyema mtoto kumnenea vibaya mzazi wake hata kama mzazi anakasoro tayari ni mzazi wako na ndio maana halisi ya kuvumiliana.
 
Ushimen ananipa bad mood lakini hii comment imenichekesha sana😁😁😁 usikute huyu ushimen ni mzee abduli naangaika kumuelewesha.
Usibishane naye huwa hakubali kushindwa na ni yule mtu anadhani ukiwa na umri mkubwa basi unakuwa na akili sana au unakuwa na busara. Na ulivyotaja form four ni miaka minne iliyopita basi ukadharaulika kiumri, mara nyingi JF huamini young men hawawezi kuwa na akili kumbe hata vilaza huzeeka
 
Perfect, nafikiri anapaswa kufanya maisha yake na sio lazima awasaidie kwasababu yawezekana anayo maumivu kwasababu hata wazazi wake hawaku timiza wajibu wao kwao.
Lakini pia anapaswa akubakiane na hali halisi ya wazazi wake kama ulivyo shauri isipokua aiswatukane wala kuwasemea vibaya kwasababu tayari wale ni wazazi wake na haitokaa ibadilishike.
Kwani mkuu,

Akiwasema vibaya na kuwatukana wazazi wake ingawa (mleta mada) hajafanya hivyo, najaribu kukupa picha tu...

Itabadilisha uhalisia wa uzembe wa wazazi wake???

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Usibishane naye huwa hakubali kushindwa na ni yule mtu anadhani ukiwa na umri mkubwa basi unakuwa na akili sana au unakuwa na busara. Na ulivyotaja form four ni miaka minne iliyopita basi ukadharaulika kiumri, mara nyingi JF huamini young men hawawezi kuwa na akili kumbe hata vilaza huzeeka
Mkuu hapa hatubishani, zaidi tunabadilishana mawazo tu. Lakini kujenge hoja haimaanishi kwamba hatukubali kushindwa na pengine nikubaliane na wewe kwamba vijana wa sasa kidogo mmetuzidi kwa mengi kwasababu teknolonia imewaweka kwenye uwanja moana wa kupata maarifa kuliko sisi babazenu....🙏
 
Nafikiri kwasasa haupaswi kulaumu kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako. Zaidi ebu libebe kama fundisho ili nawewe usije ukarudia kosa hilo kwa watoto wako.... lakini pia sio vyema mtoto kumnenea vibaya mzazi wake hata kama mzazi anakasoro tayari ni mzazi wako na ndio maana halisi ya kuvumiliana.
kumnenea mtu mabaya ni kumtakia mtu mabaya mbeleni mwake(kumlaani) mimi sijamnenea mzazi wangu mabaya, Me nimesema tu ukweli na uhalisia wao kwangu.
 
Usibishane naye huwa hakubali kushindwa na ni yule mtu anadhani ukiwa na umri mkubwa basi unakuwa na akili sana au unakuwa na busara. Na ulivyotaja form four ni miaka minne iliyopita basi ukadharaulika kiumri, mara nyingi JF huamini young men hawawezi kuwa na akili kumbe hata vilaza huzeeka
ooooh kumbe, sitomjibu tena... sikujua hivyo umenifungua akili sasa jamaa anapiga battle sio kitoto... kila ninachomuandikia hakimuingii kiufupi hanisikilizi kunielewa ila ananisikiliza ili anijibu.
 
Kwani mkuu,

Akiwasema vibaya na kuwatukana wazazi wake ingawa (mleta mada) hajafanya hivyo, najaribu kukupa picha tu...

Itabadilisha uhalisia wa uzembe wa wazazi wake???

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kwani mkuu, kwanini mleta mada asinge amua kubadilisha then akuwe na wazazi wa vile anataka, kwani shida ingekua wapi??
 
kumnenea mtu mabaya ni kumtakia mtu mabaya mbeleni mwake(kumlaani) mimi sijamnenea mzazi wangu mabaya, Me nimesema tu ukweli na uhalisia wao kwangu.
Sawa mkuu.
Basi nashauri ulipize kisasi kwa wazazi wako..😊
 
Sasa mbona mimi nimeandika uzi lakini kuna watu na wanapinga na kuoneaha kwamba mimi nimekosea na sipaswi kuongelea wazazi wangu mabaya yao. Ni kwamba nakosea kusema sijivunii kuwa na aina ya wazazi nilionao ikiwa kuna vitu kadha wa kadha sijaridhishwa nao?
Hao wanaokukandia ni aina ya hao wazazi sperm donor au mama kutokuwa na uchungu na mwanae!...jf imejaa unafiki tu
 
Dogo shukuru mungu una afya nzuri na unaonekana una akili nzuri, sahau yaliyopita angalia mbele na maamuzi utakayofanya sasa ndio yataamua future yako, kukosa ada na kulala sakafuni vyumba vya washikaji wengi wamepitia huko na wako vizuri sasa, daima mbele nyuma mwiko!!
 
Kwani ilikuwa lazima wao tu kukutana kati ya watu billion 8 dunia nzima ndio mleta mada angezaliwa???

Wala haikuwa lazima iwe wao wamzae, Ni mipango ya Mungu tu imefanya iwe hivyo.

Msitumie kigezo cha "uzazi" kama defence mechanism ya kutetea uzembe wa wazazi eti kwamba hawapaswi kusemwa kwa vile tu wao ndio ilikuwa lazima wakulete duniani..

Wala haikuwa lazima iwe wao,ni mipango ya muumba tu...

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kamwambie baba /mama yako kwamba ungeweza kuzaliwa na couple nyingine yoyote duniani halafu utuletee mrejesho! Au mwanao akwambie hivyo utajiskiaje? HESHIMU WAZAZI UNA DNA ZAO 🙏
 
Back
Top Bottom