Sijui kwanini ila most guys wenye majina haya huwa ni watundu sana, streetsmart, vicheche na wanapenda kuendesha crown/benz sedan

Sijui kwanini ila most guys wenye majina haya huwa ni watundu sana, streetsmart, vicheche na wanapenda kuendesha crown/benz sedan

Eddy
Brian
Jimmy
Chris
Junior
Hukuweka namba ila katika mfulilulizo wako jina la kwanza na la 3 ni majina ya friends wangu.... kwa kweli naomba nisema dhahiri shairi kuna ukweli, Eddy ana mademu wasiopungua 4, ukiacha wale hit and run, Jimmy hana demu permanent yaani anawakula balaa from mademu wa saloon, restaurant, Bar, vyuo etc...wanafanya house party wanakuwa men 4 wanawake kama 16 hv...Imagine!!!

Washkaji zangu Eddy na Jimmy mmetajwa huku!!
 
Hukuweka namba ila katika mfulilulizo wako jina la kwanza na la 3 ni majina ya friends wangu.... kwa kweli naomba nisema dhahiri shairi kuna ukweli, Eddy ana mademu wasiopungua 4, ukiacha wale hit and run, Jimmy hana demu permanent yaani anawakula balaa from mademu wa saloon, restaurant, Bar, vyuo etc...wanafanya house party wanakuwa men 4 wanawake kama 16 hv...Imagine!!!

Washkaji zangu Eddy na Himmy mmetajwa huku!!
Hahahah

Ni uhakika mkuu hawa jamaa huwa wanaishi fast life🥳🥳🥳
 
Hiyo ni kwa waafrika wajingajinga tu, hayo majina ukiyakuta new zealand au Denmark utakuwa na mtazamo tofauti, and i know why.
 
Back
Top Bottom