Sijui kwanini ila most guys wenye majina haya huwa ni watundu sana, streetsmart, vicheche na wanapenda kuendesha crown/benz sedan

Mkuu umeamua kunitaja๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ
 
Kutana majina ya
Frank - waongo balaa
Albert - hawachagui la kusema na wapi kwa kusema
Prisca - mabingwa kukatisha route
Amina -kipaji cha uchonganishi
Edson - udokozi wa mali ya uma
Edson hapo umedanganya mkuu๐Ÿฅฒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ