Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Aliwafokea wizara ya fedha walioteketeza mapesa wakati serikali ikiwa kwenye mei mosi hakupata sapoti toka kwa bosi.Inaweza kuwa yeye anahisi hivyo.
nahisi anapwaya sana.
U genuine wa George Simbachawene labda ni upi?George naona yupo genuine. Atafaa.
Kassim Majaliwa Majaliwa nahisi hayupo genuine.
Atalizingumzuaje Sasa ilihali.waliooewa ni Waarabu...unategemea Nini!unalizungumziaje suala la DP Bi mkubwa
Ndo mmeanza hivyo eeh?
Halafu nani ataenda kutatua migogoro ya jamii.
Umfuatilii kila mgogoro ambao mawaziri wakishindwa yeye ndio anatumwa kusawazisha.
Ule wa Kariakoo ulikuwa mjini tu, kuna mingine mingi maji yakifika shingoni serikalini anarushwa yeye sema aina airtime vile za media. Ila huko kwenye mgogoro ni tatizo.
Tatizo wa chawa wa mama mnadhani kuendesha nchi ni kazi rahisi sana. Solution yenu ya kila tatizo huwa ni maskini waliongopewa na Magufuli hao awajui kitu. Wananchi washaanza kuisusa mikutano ya CCM.
Mjadala wa bandari nafasi yaķe ilichukuliws na Dk MwekitiHisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Thubutuuu! Hakuna wa kumgusa Majaliwa. Majaliwa is there to stay. Hii nchi siyo nyumba ya mtu.Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.
Sijawahi kuzisikia.Izi story tumeziskia muda sana alafu bado hatoki muda wake umebaki kidogo akimaliza hii kumi tu itakua imetosha.
Huyu mama siyo weak tu, ni majuma kabisa 😂Kwasababu katiba yetu inatupa marais DHAIFU.
kwahiyo Waziri Mkuu akiwa HODARI analazimishwa KUDHOOFISHWA.
Tuliona kipindi cha JK, Lowassa alikuwa FIRM Prime Minister akaundiwa Zengwe akalazimiswa ng'atuka.
Magufuli alikuwa Rais IMARA, alikuwa na Majaliwa Imara hivyo hakuna aliyehisi mwenzake anataka mpoka sifa.
MAMA ni WEAK.... anahitaji the WEAKEST PM, otherwise atajihisi na anajihisi hata sasa anafunikwa na PM.
Hisia zangu zinazonionesha kuwa Kassim Majaliwa Majaliwa anapwaya sana katika timu ya Mama Samia hazijaja bure, bali nimekuwa nikimtazama na kumfatilia sana utendaji wake katika hii miaka miwili akiwa chini ya Mama Samia, kwa
kumliganisha na hapo alipokuwa chini ya mwendazake.
Hata hivi sasa namuona akiwa bungeni kwenye hotuba ya bajeti akiwa ni kama mtu ambae hana raha kabisa, ni kama mtu aliyechoka na anajisukuma tu, siioni kabisa hamasa binafsi.
Ama anaumwa ama mengine zaidi.
Huu siyo utabiri bali ni uchambuzi wangu binafsi wa kawaida tu. nimeona nimsanuwe.