Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
BRO unaweza kumfanya demu wa kawaida akawa mkali , mveshe vizur, mpendezeshe na nywele nzuri marafiki Zako nao watamtamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una umri gani we' dogo?Mimi kiukweli ni mgumu wa kuhonga kwa hiyo najipatia wa kawaida sana..ni kupunguza ugumu tu..
Laki 480k unajua ni kiasi gani? Una level gani ya elimu?Mademu Wazuri invoice zao ni kubwa Sana,Mimi nishaombwa laki 480,000
Hakuna kitu kama hicho, jamaa hana hela tu.Ni kwa sababu wewe mwenyewe siyo mkali.
Hakuna, ukute ni bahili japo ana helaNdege wanaofanana huruka pamoja.
Laki 480k unajua ni kiasi gani? Una level gani ya elimu?
Nyie wa jf sii ndio wale ambao mnasema mwanaume asipo nihonga millioni mbususu yangu ataishia kuisikia tuu🤣🤣🤣Sasa unataka kina nani na sisi ndo tupo mkuu?
Piem yako iko wazi kwanza?
Kidogo, ila nina mashaka na degree yako ya uhasibu. Hujui hata kuandika ulichoandika, unawezaje ku deal na issues zinazo involve tarakimu za pesa? Huchanganyi mambo kweli?
- acha ukanjanja kwani hujaelewa ni 480,000/-?
- Nina degree ya uhasibu,MBA na CPA (T) umeridhika?
Mimi nilisema lini jamani au ndo samaki mmoja akioza🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nyie wa jf sii ndio wale ambao mnasema mwanaume asipo nihonga millioni mbususu yangu ataishia kuisikia tuu🤣🤣🤣
- Kwani hapa Niko ofisini?Kidogo, ila nina mashaka na degree yako ya uhasibu. Hujui hata kuandika ulichoandika, unawezaje ku deal na issues zinazo involve tarakimu za pesa? Huchanganyi mambo kweli?
You + **** = Kupendwa tena kupendwa kweliMi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?
Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
[emoji1787] mama wewe ni mchokozi.Atakua sio mfupi kweli?[emoji23][emoji23]
Sasa unataka kina nani na sisi ndo tupo mkuu?
Piem yako iko wazi kwanza?
Sana....Dah unaishi maisha magumu sana.
Hiv tunaposema uanze kwa kujipenda mwenyew ni ni nin maan yke naomb ufafanuzi Zaid nijifunzeYou + **** = Kupendwa tena kupendwa kweli
Hapo kwenye nyota maelezo yake ni haya [emoji116]
Nakuhakikishia, Ukianza kwa kujipenda na kujijali we mwenyewe zaidi basi hao unaowahitaji utawapata tena kwa urahisi zaidi. Na tena watakutengenezea mazingira mazuri ya kuwapata mwisho wa siku utarudi kutoa ushuhuda tena humu JF kwa jukwaa la kula tunda kimasihara.
Tafuta fedha mademu wakali watakutafuta, wakishoboka chapa,piga chini then endelea kukimbizana na hela.Mi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?
Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.
Uzi huu bila picha yako na ya mfano wa mwanamke panga pangua aliye mbovu, utakuwa ni batiliMi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna wenzangu unakuta wanapata sana zali la mentali, mimi najiuliza nakosea wapi?
Shida nini? Naumia sana kwa kweli. Maana najikuta naishia kuumia roho yu kila wakati naona wenzangu wanakula piece kali. Mimi wapi nipo tu nahangaika na pangu pakavu tia mchuzi. Ushauri wenu wapenzi.