Sijui niite bahati au nini hii?

Hayo mambo yanazungumzika, kama hauamini muulize ferooz wa Mkasa wa Boss.
Mkasa wa boss ilikuwa kipindi kile U DIDY haujashika kasi,sahivi ukikamatwa wadau unawapa sababu ya kukufanyia ufirauni

#man mke wa mtu sio asee jamaa afanye mitikasi mingine hata hivyo mbona wasimbe wengi tu mtaani
 
Mkasa wa boss ilikuwa kipindi kile U DIDY haujashika kasi,sahivi ukikamatwa wadau unawapa sababu ya kukufanyia ufirauni

#man mke wa mtu sio asee jamaa afanye mitikasi mingine hata hivyo mbona wasimbe wengi tu mtaani
Sawa
 
Mtego huo,
Utapigwa mashine na faini juu, au utashushwa mshipa. Jichanganye.
Umekosa kabisa mwanamke single?!
 
Piga simu Kwa ndugu wawe karibu ili wakuveshe pampers ukishatatuliwa kama pazia la hekalu
Pazia la hekalu tena
Unataka pazia gani
 
Huyo ni single maza braza acha kuhadaika.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…