Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
Hali ni mbaya wakuu natamani kudanja, mkiona sipo hewani mjue either ni simu imezima au mimi nimezima kabisa tumekubali 5 kwelii kwa hawa wakulima wa nyanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chief ndio turuhusu 5 kweliiTatizo Ahmed ally anaongea sana akitupaisha viwango ambacho sio vyetu
Team is full of propaganda [emoji23]
nilikua na mshkaji wangu kwenye banda umiza kila akicheki upepo wa game ni full ku sweat na kutetemekaHao ndiyo PIRA OBJECTIVE FC, tatizo leo ni tarehe 5.
Haya ungeyaongelea ICU ningekuelewa. Lakini hapa,bado unaisaliti timu MaimunaHali ni mbaya wakuu natamani kudanja ,mkiona sipo hewani mjue either ni simu imezima au mimi nimezima kabisa tumekubali 5 kwelii kwa hawa wakulima wa nyanya
unahaki binti zuwena, kumbuka nawe tulikuchapa 5-0 . 2012Haya ungeyaongelea ICU ningekuelewa. Lakini hapa,bado unaisaliti timu Maimuna
Na bado hamjasema. Umechukua na neno la mropokaji wenu mbumbumbu kweli hamna dogochief ndio turuhusu 5 kwelii
Kwani shida ni nyie!? Hapana. Unajua,af mi nimeona. Kwanza hii mechi mvua imenyesha sana uwanja ukateleza. Hata hivo, mimi kwa macho yangu nimesikia Golikipa akiongea na watu wa Yanga,akasema dau halitoshi waongeze. Mechi imeuzwa sema tu sikutaka kusema kabla. Si juzi niliwambieni! Nimewaona wachezaji wa Yanga kwa mganga pale jirani na kijiweni kwetu! Wametuloga wale!! Af na jezi za leo ka zinafanana za timu pinzani. Kwa hiyo mpira haukwenda sawa.sidhani kama kuna mtu angezania tungechapika hivi , natamani hata nishabikie muziki
Tujipange hatuna timu mkuuchief ndio turuhusu 5 kwelii
Mbona simple tu mshikaji shabikia YANGA.sidhani kama kuna mtu angezania tungechapika hivi , natamani hata nishabikie muziki
Teh teh teh teh ongelea ya leo sister. Miaka 11 ndo unajisifia?unahaki binti zuwena, kumbuka nawe tulikuchapa 5-0 . 2012
sawa mkuuNa bado hamjasema. Umechukua na neno la mropokaji wenu mbumbumbu kweli hamna dogo
always next time ,we will back strongerTeh teh teh teh ongelea ya leo sister. Miaka 11 ndo unajisifia?
Hapokelewi. Apite tu aende Kagera akale miwaMbona simple tu mshikaji shabikia YANGA.