Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #41
umeona ukumbushie mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona ukumbushie mkuu
Yaaani hapo baaadooKwanza mpira haramu
Pacome kahusika katika magoli yote, huyu jamaa wameshindwa kabisa kafanya anavyotaka na kutengenezea wachezaji wenzie nafasi za kwenda kushambulia mbele. Kwangu ndio man of match leoPacome
Azizi key
Max, ahahahahaaaa huwezi kukaba wote weyeeeeee
Pacome kahusika katika magoli yote, huyu jamaa wameshindwa kabisa kafanya anavyotaka na kutengenezea wachezaji wenzie nafasi za kwenda kushambulia mbele. Kwangu ndio man of match leo
Naona kelele zimekuwa nyingiumeona ukumbushie mkuu
wachambuzi ndio kabisaa huku kwenye media wanaongea lolote litokalo mdomoniNaona kelele zimekuwa nyingi
Huyo ni mtu hatari Sana... Alihitaji kupewa kiungo katili Kama kanoute atembee nae ila alimkuta kiungo lonyalonya hareact faster kwenye matukio ko amejigeuzia tu.Pacome kahusika katika magoli yote, huyu jamaa wameshindwa kabisa kafanya anavyotaka na kutengenezea wachezaji wenzie nafasi za kwenda kushambulia mbele. Kwangu ndio man of match leo
its so sad chief ,jamaa ndio man of the mechi upande wanguHuyo ni mtu hatari Sana... Alihitaji kupewa kiungo katili Kama kanoute atembee nae ila alimkuta kiungo lonyalonya hareact faster kwenye matukio ko amejigeuzia tu.
Labda ndoo ya rangi yenye chata la NBCkibaya zaidi huu mwaka kama club nataka nichukue ndoo ya NBC
Pole sana. Mwaka gani mkongwe?
Waache wataongea watachoka watascha itabaki historiawachambuzi ndio kabisaa huku kwenye media wanaongea lolote litokalo mdomoni
daah haya bwana
Juzi kati tu hapo 2012Pole sana. Mwaka gani mkongwe?
Tatizo Ahmed ally anaongea sana akitupaisha viwango ambacho sio vyetu
Team is full of propaganda [emoji23]
Tim ilikuwa ina thamani ya kiasi ganiiJuzi kati tu hapo 2012
Simba kuna tatizo pale ...inawezekana wanamadai...mAhmed ally kwa kwl anafanya kazi yake vizuri....ila mazingira ya ofisini kwake wanamwangusha Sana tu