Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #81
katolewa second half alimezwa mnoPole nkoyi.
Hivi Mwamba wa Lusaka leo kacheza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katolewa second half alimezwa mnoPole nkoyi.
Hivi Mwamba wa Lusaka leo kacheza?
unahaki binti zuwena, kumbuka nawe tulikuchapa 5-0
acha wavimbe chiefYes ilikuwa offside, kuna goli pia kulikuwa na faulo kwenye build up
sawa sarpong tukutane next roundwe hiyo ya 2012 haiumi kama ya leo 2023, tuliza ngebu kuwa mpole tu umechapika leo
Labdah ufatilii ila wanaangaliaga Sana ..... ndoo Mana kuna watu wa marketing kwenye timuhavihusiani wapi uliona wakiangalia historia ya H2H za klabu mbili huwa wanaangalia thamani za klabu zilipokutana wewe uto?
AahaaaaaaHao ndiyo PIRA OBJECTIVE FC, tatizo leo ni tarehe 5.
Overconfidence pia inawafelisha.....Mfano pep. Guardiola ana mfumo mmoja ukitosheka na mafanikio ruksa kuondoka simba Wana ile imani kuwa kjn wa 2001 ndoo huyo huyo wa 2007 .....Simba Kuna tatizo la uongozi, pesa zipo lakini wanasajili magarasa
Asije akawa kaanguka kwa pressurenilikua na mshkaji wangu kwenye banda umiza kila akicheki upepo wa game ni full ku sweat na kutetemeka
Tafuta H2H ya Man U na Man city uone kama utaletewa na thamani za klabu au matokeo tu walipokutanaLabdah ufatilii ila wanaangaliaga Sana ..... ndoo Mana kuna watu wa marketing kwenye timu
Yaani mpaka huruma 😂 kudanganya mashabiki sijui kutaishia wapi.....Anaongea sana sasa domo lina ujauzito sijui ataongea nini
Hajachelewa hamia tu Yanga hatuna shida tunakukaribishasidhani kama kuna mtu angezania tungechapika hivi , natamani hata nishabikie muziki
Ila pia pole 5G nyiiingi ujue .....na usajili wa billion unAkula 5 mmhHauna hoja.
Jamaa fix nyingi sana sasa aelekezewe Camera sijui ataongea nini pura objective au pura nini draft?Yaani mpaka huruma 😂 kudanganya mashabiki sijui kutaishia wapi.....
Leo hiyoKwanza mpira haramu
Kawaida kwenye soka, unakumbuka thamani ya Barça ilipopigwa goli 8 na Bayern kwenye UCL?Ila pia pole 5G nyiiingi ujue .....na usajili wa billion unAkula 5 mmh
Tafuta H2H ya Man U na Man City uone kama utaletewa na thamani za klabu au matokeo tu walipokutanaIla pia pole 5G nyiiingi ujue .....na usajili wa billion unAkula 5 mmh
[emoji1787][emoji28][emoji3]Inaumiza sana wachezaji wametukosea sana wengine tumejificha mpaka sasa na keaho sijui huko maofisin titakaa kwa amani maaana hata simu sipokei