Sikia tu kwa mtu wakuu hichi kichapo cha goli 5 sijui tumeteleza wapi

Sikia tu kwa mtu wakuu hichi kichapo cha goli 5 sijui tumeteleza wapi

Zile pasi walizokuwa wanapasiana pale katikati kina yao , lomalisa nzengeli , Pacome , muda , aucho ,aziz ki nilijua wachezaji wa simba wanasinzia na usingizi mzito au wamebwia unga
dah chief, ngoma alimezwa mnoo
 
Mwenzio KMC na JKT akinyolewa 5G wewe Kolowizard tia maji kichwani, Simba walipoteleza ni kuleta ubishi wa kijinga na kugoma kutia maji wakidai eti wale waliopigwa kama ngoma 5G ni wazembe!

Leo 5G imeibukia Mbumbumbu fc Msimbazi baada ya kupotea kidogo!!

Simba inapaswa "kuamkua" babiye Yanga Pira GAMONDI!!
 
Huyo Kocha awajibike haraka Na akiondoka aende na hao wachezaji wote walocheza leo,
Tutasajiri upya!
 
Back
Top Bottom