Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #121
sio poa chiefPiga mwizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio poa chiefPiga mwizi
Pira objective, piga mpaka wasemesio poa chief
pamoja chiefPira objective, piga mpaka waseme
Kwa hiyo kawaida hata timu yenye thamani kubwa kufungwa goli nyingi hutokeaBarca ilikuwa na thamani ya Euro 989 wakati Bayern Munich Euro 100 tu ....bado hujasema
Ubingwa hampati hata kwa kubahatisha,japo huu mwaka kwa njia yoyote tunatwaa ubingwa
utajua hujui chief, note this broUbingwa hampati hata kwa kubahatisha,
Umeashindwa kujibu swali langu unazunguka tu .....timu yenye thamani kubwa kwa mech ya Leo ni YANGAKwa hiyo kawaida hata timu yenye thamani kubwa kufungwa goli nyingi hutokea
Umeona sasa umesema mpaka uingie in deep kuonyesha sio jambo muhimu zaidi ni matokeoUshasema H2H lazima iwe match tu.....ila ukitaka kuangalia in deep utaangamia squad list n.k
Kila mchezaji akianguka ni faulo? Vipi ile kapombe aliposhikilia mguu wa mchezaji wa Yanga kwenye 18 haikuwa clear penalt? Saivi mnahamia kwenye waamuzi?Yes ilikuwa offside, kuna goli pia kulikuwa na faulo kwenye build up
Sawa kama ulimaanisha hivyo. Kwa hiyo unasemaje mlipofungwa na Ihefu?Umeashindwa kujibu swali langu unazunguka tu .....timu yenye thamani kubwa kwa mech ya Leo ni YANGA
Simba 1 vs YANGA 5 FTSawa kama ulimaanisha hivyo. Kwa hiyo unasemaje mlipofungwa na Ihefu?
Wakulima wa nyanya😀😀 mmekomeshwaHali ni mbaya wakuu natamani kudanja ,mkiona sipo hewani mjue either ni simu imezima au mimi nimezima kabisa tumekubali 5 kwelii kwa hawa wakulima wa nyanya
Wewe jamaa mbona haujajibu swali languSimba 1 vs YANGA 5 FT
Hapana kaliangalie tena, Mzize aliua offside trikna lile goli lanne was clear offside, lkn poa
Sawa tume wasikia tume toa hizo mbili ubao una somekaje[emoji81][emoji81][emoji81]Yes ilikuwa offside, kuna goli pia kulikuwa na faulo kwenye build up
Aaah we Ahmed Ally tulio unaua washabiki huku, leo wamevimba macho kwa machozi acha kuwaambia kitu ambacho hakipo ubingwa wa juzi mliotolewa na Al Ahly upo?utajua hujui chief, note this bro
Ihefu kafungwa na AzamKwa hiyo unasemaje mlipofungwa na Ihefu?