Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #141
cheeka sana ,siku yenu yajaWakulima wa nyanya😀😀 mmekomeshwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cheeka sana ,siku yenu yajaWakulima wa nyanya😀😀 mmekomeshwa
sawa maiko sarpongi una haki ya kuongeaAaah we Ahmed Ally tulio unaua washabiki huku, leo wamevimba macho kwa machozi acha kuwaambia kitu ambacho hakipo ubingwa wa juzi mliotolewa na Al Ahly upo?
Maombolezo Fc mmepewa jina jipya, kila mnapoenda kugusa ni vilio tucheeka sana ,siku yenu yaja
sina huo muda wa kurudia hii gemuHapana kaliangalie tena, Mzize aliua offside trik
sawa ndio futbol , ongeeni tu utohMaombolezo Fc mmepewa jina jipya, kila mnapoenda kugusa ni vilio tu
Hilo tunafuta itakua Yanga 4 Simaba 1, hapo vipi unajiskiaje sasa.na lile goli lanne was clear offside, lkn poa
sawa chief nawapongeza sanaHilo tunafuta itakua Yanga 4 Simaba 1, hapo vipi unajiskiaje sasa.
Imeuma chomoa umeshindwa kuchomoa umechomoa 1 tu zingine zote zimezama ndanisawa ndio futbol , ongeeni tu utoh
SImBA 1 vs YANGA 5 FTWewe jamaa mbona haujajibu swali langu
Hana hoja za msingi ujue......yaani kama watu wanachekelea unbeaten afu ubingwa hawabebiIhefu kafungwa na Azam
Ihefu kafungwa na Simba
Yanga kafungwa na Ihefu
Yanga kamkanda Azam
Yanga kamkanda Maombolezo Fc
Hapo vipi?
Ndio mpira ulivyoIhefu kafungwa na Azam
Ihefu kafungwa na Simba
Yanga kafungwa na Ihefu
Yanga kamkanda Azam
Yanga kamkanda Maombolezo Fc
Hapo vipi?
Kuna shabiki wa Simba aliyepinga hayo matokeo?SImBA 1 vs YANGA 5 FT
Kulia kupokezana au sio? Mlicheka sana Yanga kufungwa na Ihefu sasa Jana kawatia adabu mnalia Mwezi mzimaNdio mpira ulivyo
Umesema vyema mkuuKulia kupokezana au sio?
Mnaomboleza sasaUmesema vyema mkuu
Na tuchezaji twenu twakuokota mlitarajia Nini?Hali ni mbaya wakuu natamani kudanja ,mkiona sipo hewani mjue either ni simu imezima au mimi nimezima kabisa tumekubali 5 kwelii kwa hawa wakulima wa nyanya