Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Yes ilikuwa offside, kuna goli pia kulikuwa na faulo kwenye build upna lile goli lanne was clear offside, lkn poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes ilikuwa offside, kuna goli pia kulikuwa na faulo kwenye build upna lile goli lanne was clear offside, lkn poa
Unataka thamani au matokeo uto?Tim ilikuwa ina thamani ya kiasi ganii
Simba tumepigwa 5 kavu bila wese zinauma sio poa,Juzi kati tu hapo 2012
2012 tuliwachapa 5-0Pole sana. Mwaka gani mkongwe?
Kwa mtazamo wangu simba iache kujikweza ipige kazi.....yaani Ukiwa bora unaonekana tu kwa sasa YANGA yupo kwenye formSimba kuna tatizo pale ...inawezekana wanamadai...m
Thamani ya vikosi kipindi hichoUnataka thamani au matokeo uto?
5 kavu ilikuwa kichapo walichopigwa Uto 2012Simba tumepigwa 5 kavu bila wese zinauma sio poa,
kweli mkuu na wavimbe wapasuke mkuuWaache wataongea watachoka watascha itabaki historia
Unataka kuanza kupunguza magoli matano ni mengi hadi Penati mtasema mboni Manura aliifuata akaitoa Ila refa akaita Kati,Yes ilikuwa offside, kuna goli pia kulikuwa na faulo kwenye build up
Anaongea sana sasa domo lina ujauzito sijui ataongea niniAhmed ally kwa kwl anafanya kazi yake vizuri....ila mazingira ya ofisini kwake wanamwangusha Sana tu
havihusiani wapi uliona wakiangalia historia ya H2H za klabu mbili huwa wanaangalia thamani za klabu zilipokutana wewe uto?Thamani ya vikosi kipindi hicho
PacomeSimba Kuna tatizo la uongozi, pesa zipo lakini wanasajili magarasa
Umesema vyemakweli mkuu na wavimbe wapasuke mkuu
Mnakufa tena round ijayo ni lini vile? Ole wenu mloge mvua inyeshe mafungu mafungunipo najiponza machungu na ngoma ya alikiba -mnyama.
sawa yanga kwa kichapo hiki, tukutane round ijayo mbweha nyie
hawa wagalatia wametuweza leo. pacome katu tawanya vibayaNilitaka nikanywe bia ila nimeamua kulala tu. Nitaenda baadaye watu wakishalewa.
Pole nkoyi.Inaumiza sana wachezaji wametukosea sana wengine tumejificha mpaka sasa na keaho sijui huko maofisin titakaa kwa amani maaana hata simu sipokei
Mambo si magumu hivi. Ni rahisi kuona muumini anabadili dini kuliko shabiki kuhama timu.Mbona simple tu mshikaji shabikia YANGA.