Unatoa Chama unaingiza onana kwanini usifungwe,
Beki inakatika kuliko yondo sister kwann usifungwe,
Manula hajakava kuwasiliano na mabeki mechii hakutakiwa kuja kujaribiwa!
Over confidence ya hovyo ndiyo imewagharimu kushindwa kumuheshimu mpnzani!
Pia wachezaji hawachezi kama team, utaona kibu muda wote anashuti tu mahali pa kutoa basi yote hayo ni kuichosha team!
Referee wa mchongo kaingia na maelekezo, ili kubalance ligi iwe na mvuto yanga alitakiwa kushinda hii gemu, kadi za njano ni moja ya silaha ya ARAJIGA kufanikisha hilo,
Kwa msioelewa ARAJIGA alipangwa kwenye hii mechi kwa maelekezo maalum!
Simba na yanga ni stabilizer team kwenye taiga hill, Isingekuwa rahisi kwa simba Leo kupata ushindi!
ROBERTINO HAKUWAHESHIMU WAPINZANI NDIYO MAANA KACHAPWA