Wewe sema wapi umeiona video majasiri wa JF wakaichukue watuwekee na sisi tuone sio wewe unaogopa ogopa kwani utafungwa na nani anonymous anakujua nani?Sasa kiherehere cha kufungua uzi umekitoa wapi?
Hata connection tu hio sinaAu na wewe ni muhusika?
Hana mwanasheria wa kumushauri kabla haja fanya jambo lolote,au andhani kuwa naibu waziri wa katiba na sheria basi hahitaji kuwa na mwanasheria wa kumsimamia!?VIDEO YA PAULINE GEKUL AKIWA AMEMTEKA KIJANA HASHIM NA KUANZA KUMUHOJI AKIWA KAMVUA SURUALI NA CHUPI..!
Katika hali ya kushangaza Jana Jeshi la Polisi limekabidhiwa Video fupi ya Jinsi Pauline Gekul alipokuwa Naibu waziri Katiba na Sheria
Akiwa amemteka kijana Hashimu Ally na Kuanza kumuhoji huku Gekul akiwa mkononi amemshikia Bastola kijana Hashimu akiwa hana suruali wala chupi kisha kuanza kumlazimisha kuikalia chupa ya Coca-Cola.
Video inasikia Sauti ya Gekul mwenyewe akiwa anamuhoji kijana, tena juu ya tuhuma na vitu vya Kijinga alivyo pigiwa ramli na mganga wa kienyeji kuwa Kuna mtu anamroga kibiashara.
Tizama video chini Kijana Hashimu anaonekana akiwa hama nguo za chini (Suruali na Chupi) huku Pauline Gekul akiendelea kumuhoji maswali.
Jeshi la polisi limekabidhiwa Video hii Jana na Pauline Mwenyewe kama sehemu yake ya Utetezi katika mahojiano na Jeshi la Polisi.
Akiwa Gekul anataka kuhalalisha kumteka, kushikia Bastola na Kimkalisha kijana juu ya chupa ya Coca-Cola kulifanya kijana aseme kweli kuwa katumwa amroge.
SHENZI SANAAAAAAA
Siyo tu kwamba Pauline ni Gaidi, Jambazi na katili kwa Video hii utagundua kuwa pia Pauline Gekul HANA AKILI
unawezaje kupeleka Ushahidi wa namna hii ambao ndiyo unathibitishia Dunia kuwa hajaonewa bali katenda kweli Ukatili dhidi ya Kijana Hashimu Ally.
Sheria ifate mkondo wakeSisi ni wanadamu na tunatenda makosa kila iitwapo leo
Asamehewe tu huyo dada P
Kwa sasa atakuwa na msongo wa mawazo na tayali kesapoteza pakubwa
Pole dada desii maisha ndivyo yalivyo.
Kuna ntu ana kiherere kama wewe hapa JF? Ulivyo boya unafikiri kila kitu ni cha kusambaza. Angekuwa ni ndugu yako ungefurahi watu kusambaza sura yake?Sasa kiherehere cha kufungua uzi umekitoa wapi?
Kumbe sheria zinatungwa na CCM?πππKuna ntu ana kiherere kama wewe hapa JF? Ulivyo boya unafikiri kila kitu ni cha kusambaza. Angekuwa ni ndugu yako ungefurahi watu kusambaza sura yake?
Anyway, ma-CCM mnatunga sheria halafu hamzijui
Hiyo. Serikali ni ya kina nani?Kumbe sheria zinatungwa na CCM?πππ
Ni vema umelielewa hiloHiyo. Serikali ni ya kina nani?
hii kesi itaisha kwa lawama zaidi dhidi ya mahakamaKwa mshangao mkubwa, nimeoni picha ya kijana husika kwenye clip akihojiwa na mwanamke anaetajwa kuwa ni Pauline (haonekani katika video) na kwa maelezo ni kuwa clip hiyo yenye kuonyesha sura ya huyo kijana akihojiwa na Pauline imesambazwa na Pauline na watu wake.
Sasa huku sio ndio kujimaliza?
Hii clip haiwezi kutumika kama sehemu ya ushahidi?
Kwa sauti inayosikika, itahitaji utaalamu kuithibitisha kuwa ni ya Pauline?
Je, huyu Mtuhumiwa na watu wake, hapa hajafanya kosa lingine kusambaza hiyo video yenye sura ya huyo kijana?
Anyway, labda wahusika watajitokeza kukana au kutoa maelezo kuhusu hiyo clip.
Kwa maelezo ya Martin Maranja Masese, video hiyo imepostiwa WhatsApp na yeye huku ndio alikoipata.
Labda watajitokeza kukana au kutoa ufafanuzi.
View attachment 2826611