Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

There is no happy ending for a simp.
 
Halafu linaandika kama lishoga lililoitwa na baasha wake ambae yupo serikalini
Halijui dhima nzima ya kataa ndoa linakurupuka kutoka huko lisenge kikuma yaani hili lingechelewa kidogo kuzaliwa hata siku tatu lingezaliwa na mkia kabisa wa kenge... K* uma la mamaake..
 
Jitahidi siku Moja Moja unakaa na matajiri wakueleze sikia ndugu Ukiwa na pesa kama Mimi ukiona Mwanamke kwa ndoa kwa HESHIMA fika jua Utasomesha wadogo zake watatu, utawatafutia kazi, baba yake mdogo anayekubalika katika vikao atakushawish ujenge nyumba ya kufika ukweni, Mchungaji wao atakupigia simu nakujitambulisha kwako mwisho kizinga, kwenu utawasahau MWISHO UTAKUJA KUJUA AU KUSHUHUDIA MKE WAKO ANATEMBEA NA BODA BODA.... ukiwa tajiri unakataa ndoa unaajiri mfanyakazi beki tatu safi unampa 50000 kwa mwezi
 
Binafsi huwa nikihuzulia Sherehe za Maharusi automatic naanza kumuonea huruma kijana hata wazazi ukiangalia vizuli utagundua Upande wa Ke wanafuraha zaidi kuliko Upande wa Me, hapo unatujua tu ni nani kalivaa
 
Sijasoma Hadii mwisho ila nagongea nyundo kwenye msumari

KATAAA NDOA LINDA KIBUNDA LINDA AFYA YA AKILI NA MWILI

RUDIA KUSOMA NILICHOANDIKA X30
 
Hatukatai mahusiano ya mwanamke na mwanaume. Hatukatai malezi ya baba na mama. Hayo yote yanaweza kufanyika bila ndoa. Ambacho hatukubaliani nacho ni ule mkataba wa kitapeli kwa mwanaume uliopewa jina la ndoa
Naelewa hilo. Usisahau kwamba ili kila mtu anatakiwa awe mshiriki kamili wa mahusiano yenu. Ndoa peke yake ndio inampa mtu uhuru na kujiachia kushiriki majukumu yote maana ni mmiliki halali wa hiyo taasisi (ndoa) anapokuwa sio mmiliki halali ndipo mengi hutokea, hamkawii kulalamika oooo anajenga kwao, ooo anaenda kuniroga, ooo hachangii loloote na mengine kibaooo. Ugumu mnauleta wenyewe kwa misimamo ilisiyoangalia athari zake.
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ wahi Milembe. Mtu kama huyu unategemea ataoana na nani... hata akitangaza ndoa lazima akimbiwe! na hao ambao unadai utawachapa na kuwazalisha lazima wawe wehu kama wewe...
Ndio maana nilisema wengi wanaoshabikia hiyo slogan ya kukataa ndoa ila wanataka kuzalisha na kukwepa majukumu eti mikataba ya ndoa itawafilisi.. ni wasiojielewa kama wewe.. ndoa itakufilisi nini mtu kama wewe... hujijui tuuu sana sana ingekusaidia kujishape ili uishi kama baba mwenye commitment
 
Ndoa ni karatasi tu, kusainoshana cheti haimaanishi kwamba hamtaachana, hamtakua na ubinafsi uko ndoa au hautatombewa. Kila siku watu wanapeana talaka mahakamani, kila siku wake za watu wanatombwa mtaani. Kikubwa ni bond yenu tu yaani kupendana, kuheshimiana, kuvumiliana n.k wala sio hicho cheti cha ndoa. Mababu na mabibi zetu waliishi pamoja mpaka uzee na kifo bila kusainishana cheti chochote.
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…